Jaja aota kutwaa kiatu cha dhahabu Ligi Kuu
Mshambuliaji wa Yanga, Genilson Santana ‘Jaja’ amebainisha kuwa amepata nguvu mpya kuichezea Yanga na sasa anapiga hesabu ya kuwa mfungaji bora wa Ligi Kuu msimu huu na kutwaa kiatu cha dhahabu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili14 Oct
Ronaldo atwaa kiatu cha dhahabu
Cristiano Ronaldo ametunukiwa kiatu cha Dhahabu ya kwa Ufungaji Bora huko Ulaya
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6rauvUctfaDPtJXsEIz-JKfTJGUF78SXtzMyvxb4odfm1-1q4R3K2Ba4l8rQM1fNsB2D3mU4nFNR2Knyb7sNIQd/article01F1005A400000578701_634x495.jpg?width=650)
NEYMAR ATAKAVYOBEBA KIATU CHA DHAHABU
Staa wa Brazil, Neymar. Makala
RIO DE JANEIRO, Brazil
KIULIZA washambuliaji ambao wapo ‘on fire’ kwenye michuano ya Kombe la Dunia inayoendelea nchini Brazil, haraka jina la Neymar litatajwa na wengi, staa huyo wa Brazil ameshafunga mabao manne mpaka sasa katika michuano hiyo. Kasi yake inamaanisha kuwa anaweza kuwa mfungaji bora wa michuano hiyo na kubeba kiatu cha dhahabu ambacho kinawaniwa na mastraika wengine...
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Kiatu cha dhahabu chanukia kwa Samatta
Ligi ya Mabingwa Afrika imefika patamu. Klabu ya USM Alger ya Algeria itakutana na TP Mazembe ya DR Congo katika mechi ya fainali ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika itakayochezwa kwenye Uwanja wa Du 5 Juillet mjini Algiers, Algeria kati ya Oktoba 30 na Novemba 1, 2015 na mechi ya marudiano itachezwa kwenye Uwanja wa Frederic Kibassa Maliba mjini Lubumbashi, DR Congo kati ya Novemba 6 na 8, 2015.
11 years ago
Tanzania Daima14 Apr
Bravo Azam FC kutwaa ubingwa Ligi Kuu Bara
TIMU ya Azam FC inayomilikiwa na mfanyabiashara maarufu wa jijini Dar es Salaam, Said Salim Bakhresa, jana ilitwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, ikiwa ni mara ya kwanza tangu...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-pEVEX7lZlR0/U1l0HvCgZEI/AAAAAAAFct8/tqdQPz-e1wg/s72-c/unnamed.jpg)
AZAM FC KULAMBA MILIONI 75 KWA KUTWAA UBINGWA WA LIGI KUU YA VODACOM
![](http://4.bp.blogspot.com/-pEVEX7lZlR0/U1l0HvCgZEI/AAAAAAAFct8/tqdQPz-e1wg/s1600/unnamed.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-lETRRsznAN8/Vdm0pzeyFjI/AAAAAAABFuQ/W8DZ-W3Bs1k/s72-c/Br.jpg)
MUINGEREZA MO FARAH AWASHINDA WAKENYA NA KUTWAA MEDALI YA DHAHABU
![](http://4.bp.blogspot.com/-lETRRsznAN8/Vdm0pzeyFjI/AAAAAAABFuQ/W8DZ-W3Bs1k/s640/Br.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XUU11ufxouo/Vdm0p7O76sI/AAAAAAABFuY/dvFLgjPUa1c/s640/Br1.jpg)
Hata hivyo katika mbio za mwaka huu, Farah...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania