Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Adebayor atinga magoli mawili

Na kuisadia klabu yake ya Tottenham kuilaza Swanswa kwa magoli 3-1

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

TIMU ZA FC BONGO NA FC KILIMANJARO ZILITOKA SARE YA MABAO MAWILI MAWILI KATIKA MECHI ILIYOFANYIKA KTK JIJI LA HELSINKI NCHINI FINLAND

Mechi ilianza kwa kasi na dakika 1 tu ya mchezo fc bongo walipata bao lao la kwanza kwa mkwaju wa penalt lililofungwa na mchezaji wao machachari Abass Kunha.
Kilimanjaro ilikuja juu na kufanikiwa kusawazisha kwa kona iliyopigwa na Richard Joseph ambayo ilimshinda nguvu kipa wa fc Bongo baada ya purukushani ndani ya lango hilo.
Kipindi cha pili kilianza kwa nguvu na kwenye dkk ya 80 Abass Kunha aliongeza bao la pili, vijana wa kilimanjaro waliongeza nguvu na baada ya dkk 5 wakafanikiwa kukomboa...

 

10 years ago

GPL

SAKATA LA ADEBAYOR NA FAMILIA YAKE: ADEBAYOR KUMWAGA 'UBUYU' MWINGINE WA MDOGO WAKE ROTIMI

Adebayor ametupia picha hii Facebook na kuahidi kutoa sehemu ya 2 ya stori ya kaka yake Rotimi. SAKATA la straika wa Klabu ya Tottenham ya nchini Uingereza, Emmanuel Adebayor na familia yake limechukua sura mpya ambapo staa huyo ameahidi kutoa sehemu ya pili ya stori 'ubuyu' mwingine kuhusu kaka yake mwingine aitwaye Rotimi Adebayor muda muafaka ukifika. Adebayor ameahidi kutoa ubuyu huo ikiwa ni siku chache tangu aachie waraka...

 

9 years ago

BBCSwahili

Rooney : magoli yatakuja tu!

Mchezaji wa Manchester United Wayne Rooney amesema ''magoli yatakuja'' baada ya kuanza msimu mpya bila ya kufunga goli lolote.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ukame wa magoli wamuandama Suarez

Suarez aeleza kutofurahishwa na kitendo cha kutozifumania Nyavu na kung'ara kwa mambo msimu huu. Anasema ukame umekithiri

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA YAINYUKA NDANDA FC MAGOLI 3- 0

 Ramadhani Singano akitafuta mbinu za kuwatoka wachezaji wa Ndanda FC katika mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Simba ilishinda 3-0. (Pichana Francis Dande) Mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi akimiliki mpira mbele ya beki wa Ndanda FC. Mchezaji wa Ndanda FC akimiliki mpira.
 Wachezaji wa Simba wakishangilia.Kipa wa Ndanda FC akijaribu kuokoa moja ya hatari langoni mwake.

 

10 years ago

BBCSwahili

sheria ya magoli ya ugenini irekebishwe

Meneja wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger amesema sheria ya mabao ya ugenini inapaswa kutumika baada ya muda wa nyongeza

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal watingwa magoli matano na Bayern

Arsenal wana kibarua kigumu kufuzu kwa hatua ya muondoano Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya baada ya kupokezwa kichapo kikubwa na Bayern Munich.

 

9 years ago

BBCSwahili

Rooney avunja rekodi ya magoli England

Wayne Rooney ameivunja rekodi ya upachikaji mabao ya muda wote katika timu ya taifa ya England, iliyokuwa ikishikiliwa na Sir Bobby Charlton.

 

9 years ago

BBCSwahili

Barcelona wafungwa magoli manne La Liga

Barcelona wamepata kichapo kikubwa zaidi La Liga enzi ya Luis Enrique baada ya kulazwa 4-1 na Celta Vigo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani