Adebayor atinga magoli mawili
Na kuisadia klabu yake ya Tottenham kuilaza Swanswa kwa magoli 3-1
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jhHRq1Zv5Oo/Vd3FLoPUkUI/AAAAAAAH0OU/Lc5wZWOU4Kc/s72-c/IMG-20150823-WA0028.jpg)
TIMU ZA FC BONGO NA FC KILIMANJARO ZILITOKA SARE YA MABAO MAWILI MAWILI KATIKA MECHI ILIYOFANYIKA KTK JIJI LA HELSINKI NCHINI FINLAND
Mechi ilianza kwa kasi na dakika 1 tu ya mchezo fc bongo walipata bao lao la kwanza kwa mkwaju wa penalt lililofungwa na mchezaji wao machachari Abass Kunha.
Kilimanjaro ilikuja juu na kufanikiwa kusawazisha kwa kona iliyopigwa na Richard Joseph ambayo ilimshinda nguvu kipa wa fc Bongo baada ya purukushani ndani ya lango hilo.
Kipindi cha pili kilianza kwa nguvu na kwenye dkk ya 80 Abass Kunha aliongeza bao la pili, vijana wa kilimanjaro waliongeza nguvu na baada ya dkk 5 wakafanikiwa kukomboa...
Kilimanjaro ilikuja juu na kufanikiwa kusawazisha kwa kona iliyopigwa na Richard Joseph ambayo ilimshinda nguvu kipa wa fc Bongo baada ya purukushani ndani ya lango hilo.
Kipindi cha pili kilianza kwa nguvu na kwenye dkk ya 80 Abass Kunha aliongeza bao la pili, vijana wa kilimanjaro waliongeza nguvu na baada ya dkk 5 wakafanikiwa kukomboa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tZHhhMhD8MBTZAla8n8zHIc*ttVdGy5N4E74bE4EUbHJLeNN1plWrLxkD8w9yPoaeK8B-wIN-EPcYHDNy1mxM0YNQuQDs1Ip/ADEBAYOR.jpg?width=550)
SAKATA LA ADEBAYOR NA FAMILIA YAKE: ADEBAYOR KUMWAGA 'UBUYU' MWINGINE WA MDOGO WAKE ROTIMI
Adebayor ametupia picha hii Facebook na kuahidi kutoa sehemu ya 2 ya stori ya kaka yake Rotimi. SAKATA la straika wa Klabu ya Tottenham ya nchini Uingereza, Emmanuel Adebayor na familia yake limechukua sura mpya ambapo staa huyo ameahidi kutoa sehemu ya pili ya stori 'ubuyu' mwingine kuhusu kaka yake mwingine aitwaye Rotimi Adebayor muda muafaka ukifika. Adebayor ameahidi kutoa ubuyu huo ikiwa ni siku chache tangu aachie waraka...
9 years ago
BBCSwahili20 Aug
Rooney : magoli yatakuja tu!
Mchezaji wa Manchester United Wayne Rooney amesema ''magoli yatakuja'' baada ya kuanza msimu mpya bila ya kufunga goli lolote.
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Ukame wa magoli wamuandama Suarez
Suarez aeleza kutofurahishwa na kitendo cha kutozifumania Nyavu na kung'ara kwa mambo msimu huu. Anasema ukame umekithiri
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-bSIWEMwam_E/VT0GOakQ_QI/AAAAAAABX1M/QCqckSK81MM/s72-c/2.jpg)
SIMBA YAINYUKA NDANDA FC MAGOLI 3- 0
![](http://2.bp.blogspot.com/-bSIWEMwam_E/VT0GOakQ_QI/AAAAAAABX1M/QCqckSK81MM/s1600/2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-7bO2WoeHLUo/VT0GO2rbjrI/AAAAAAABX1E/dzhTGLipR80/s1600/3.jpg)
10 years ago
BBCSwahili19 Mar
sheria ya magoli ya ugenini irekebishwe
Meneja wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger amesema sheria ya mabao ya ugenini inapaswa kutumika baada ya muda wa nyongeza
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Arsenal watingwa magoli matano na Bayern
Arsenal wana kibarua kigumu kufuzu kwa hatua ya muondoano Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya baada ya kupokezwa kichapo kikubwa na Bayern Munich.
9 years ago
BBCSwahili09 Sep
Rooney avunja rekodi ya magoli England
Wayne Rooney ameivunja rekodi ya upachikaji mabao ya muda wote katika timu ya taifa ya England, iliyokuwa ikishikiliwa na Sir Bobby Charlton.
9 years ago
BBCSwahili24 Sep
Barcelona wafungwa magoli manne La Liga
Barcelona wamepata kichapo kikubwa zaidi La Liga enzi ya Luis Enrique baada ya kulazwa 4-1 na Celta Vigo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania