AFB wapokea dola mil 20 kupanua uwekezaji
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
KAMPUNI ya Huduma za Kifedha ya AFB inayojihusisha na kutoa ushauri na huduma za kifedha kwa wajasiriamali imeingia mkataba wa dola milioni 20 za Marekani na Kampuni ya GEMCORP, inayojihusisha na uwekezaji wenye mtazamo wa masoko.
Akizungumzia mkataba huo jana, Mkurugenzi wa AFB, Karl Westvig, alisema amefarijika kuingia mkataba huo uliokuja wakati muafaka kwao.
“Uwekezaji huu wenye mantiki kutoka kwa GEMCORP utatoa mchango mkubwa katika kuleta maendeleo...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Tigo kuwekeza dola milioni 1 kupanua huduma zake Zanzibar
Kaimu Meneja Mkuu mpya wa Tigo Bi. Cecile Tiano.
Tigo Tanzania imepanga mwaka huu kujenga minara 10 mipya ya simu yenye thamani ya dola milioni moja (1) katika visiwa vya Zanzibar kama moja ya mikakati yake ya upanuzi wa huduma zake nchini.
Hii ilitangazwa leo na Kaimu Meneja Mkuu mpya wa Tigo Bi. Cecile Tiano wakati alipotembelea Zanzibar kwa mara ya kwanza kukutana na wadau wa kampuni kisiwani hapo.
Bi. Tiano alisema kwamba minara hii mipya 10 ni uwekezaji mkubwa ambao kampuni hiyo...
11 years ago
Habarileo07 Jun
Mil 200/- zatengwa kupanua kituo cha afya Kirando
SERIKALI imetenga Sh milioni 200 kwa ajili ya upanuzi wa Kituo cha Afya cha Kirando mwambao mwa Ziwa Tanganyika wilayani Nkasi mkoani Rukwa katika mwaka ujao wa fedha.
9 years ago
Habarileo02 Dec
Serikali yachunguza ufisadi wa dola mil 6
SERIKALI inachunguza ufisadi wa Dola za Marekani milioni sita, ambazo Benki ya Stanbic Tanzania pamoja na Kampuni ya Egma ya nchini, iliongeza katika malipo ya ada ya mkopo, ambao Serikali iliomba kwa Benki ya Standard ya Uingereza mwaka 2013.
11 years ago
Habarileo05 Jun
Bajeti EALA ya dola mil 124
BUNGE la Afrika Mashariki (EALA) jana lilisoma bajeti yake ya dola za Marekani 124,069,625 . Bajeti hiyo imesomwa baada ya vuta nikuvute iliyotokana na harakati za kutaka kumng’oa Spika wa Bunge hilo, Magreth Zziwa.
10 years ago
Habarileo09 Mar
Mradi umeme wa upepo kutumia dola mil.132
MKUU wa Kitengo cha Miundombinu na Nishati kutoka Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) , Pascal Malesa amesema serikali inatarajia kutumia Dola za Marekani milioni 132 kukamilisha mradi wa kuzalisha umeme wa upepo wenye uwezo wa Megawati 50 ifikapo mwakani.
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Thamani ya Tanzanite iliyokamatwa KIA yafikia Dola za Marekani mil 1.2
Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Omar Chambo (wa kwanza kulia) akiangalia moja ya mashine zinazotumika katika shughuli za uchimbaji madini katika eneo la Mirelani mkoani Manyara wakati alipotembelea eneo hilo mara baada ya kumaliza kikao kikao chake na Kamati za Ulinzi na Usalama za mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara ambazo zimeamua kufanya kazi kwa pamoja ili kudhibiti utoroshaji wa madini ya Tanzanite.
Chambo akitembelea baadhi ya vitalu vya uchimbaji madini ya...
9 years ago
StarTV17 Dec
Taifa lapata dola za kimarekani mil. 500 kwa mwaka kilimo cha Mbogamboga, Matunda, Maua
Sekta ya kilimo cha mbogamboga matunda na maua nchini kimekuwa na mchango mkubwa katika ukuzaji maendeleo kwa kuliingizia taifa kiasi cha dola za kimarekani milioni mia tano kwa mwaka.
Ukuaji wa sekta hiyo umekuwa ni chachu ya kuvutia wawekezaji katika sekta nyingine za maendeleo hapa nchini.
Katika uzinduzi wa jarida litakalohusika kusambaza habari zihusuzo kilimo cha mbogamboga, maua na matunda uzinduzi uliofanyika jijini Arusha kwa kuwakutanisha wadau wa kilimo kutoka ndani na nje ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-4lRkb1_s7OI/VYQrmAV5xgI/AAAAAAAAe4Y/1xFfthN7mro/s72-c/INDIA%2B341.jpg)
INDIA YAIPA TANZANIA MKOPO WA DOLA MIL. 268 KWA AJILI YA MRADI WA MAJI KATIKA MIJI YA TABORA, IGUNGA, NZEGA NA SIKONGE
![](http://3.bp.blogspot.com/-4lRkb1_s7OI/VYQrmAV5xgI/AAAAAAAAe4Y/1xFfthN7mro/s640/INDIA%2B341.jpg)
Na Ally Kondo, Delhi
Serikari za Tanzania na India zimewekeana saini Hati za Makubaliano kwa ajili ya kushirikiana...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--Uc4jte378c/U3xnivx9IjI/AAAAAAAFkKY/JOpYaxyy5zA/s72-c/unnamed+(9).jpg)
BALOZI KAMALA AKUTANA NA MENEJA WA UWEKEZAJI WA TAASISI YA UWEKEZAJI YA WALLONIA YA UBELGIJI
![](http://3.bp.blogspot.com/--Uc4jte378c/U3xnivx9IjI/AAAAAAAFkKY/JOpYaxyy5zA/s1600/unnamed+(9).jpg)