Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bajeti EALA ya dola mil 124

BUNGE la Afrika Mashariki (EALA) jana lilisoma bajeti yake ya dola za Marekani 124,069,625 . Bajeti hiyo imesomwa baada ya vuta nikuvute iliyotokana na harakati za kutaka kumng’oa Spika wa Bunge hilo, Magreth Zziwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TBL YATOA SH. MIL 124 KUDHAMINI WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI

 Meneja Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Emma Oriyo (kulia), akimkabidhi Kamanda wa Kikosi cha Polisi cha Usalama Barabarani, DCP, Mohamed Mpinga, mfano wa hundi yenye thamani ya sh. milioni 124, 6. za kudhamini upimaji wa afya za madereva wa masafa marefu nchini na kugharamia mafunzo kwa waendesha Bodaboda 300 wa Mkoa wa Tanga, wakati wa maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama itakayofanyika mkoani Tanga Agosti 3-7 mwaka huu. Kushoto ni Mnadhimu Mkuu wa Kikosi...

 

9 years ago

Habarileo

Serikali yachunguza ufisadi wa dola mil 6

SERIKALI inachunguza ufisadi wa Dola za Marekani milioni sita, ambazo Benki ya Stanbic Tanzania pamoja na Kampuni ya Egma ya nchini, iliongeza katika malipo ya ada ya mkopo, ambao Serikali iliomba kwa Benki ya Standard ya Uingereza mwaka 2013.

 

10 years ago

Mtanzania

AFB wapokea dola mil 20 kupanua uwekezaji

afbNa Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

KAMPUNI ya Huduma za Kifedha ya AFB inayojihusisha na kutoa ushauri na huduma za kifedha kwa wajasiriamali imeingia mkataba wa dola milioni 20 za Marekani na Kampuni ya GEMCORP, inayojihusisha na uwekezaji wenye mtazamo wa masoko.

Akizungumzia mkataba huo jana, Mkurugenzi wa AFB, Karl Westvig, alisema amefarijika kuingia mkataba huo uliokuja wakati muafaka kwao.

“Uwekezaji huu wenye mantiki kutoka kwa GEMCORP utatoa mchango mkubwa katika kuleta maendeleo...

 

10 years ago

Habarileo

Mradi umeme wa upepo kutumia dola mil.132

MKUU wa Kitengo cha Miundombinu na Nishati kutoka Shirika la Maendeleo la Taifa (NDC) , Pascal Malesa amesema serikali inatarajia kutumia Dola za Marekani milioni 132 kukamilisha mradi wa kuzalisha umeme wa upepo wenye uwezo wa Megawati 50 ifikapo mwakani.

 

9 years ago

Global Publishers

Thamani ya Tanzanite iliyokamatwa KIA yafikia Dola za Marekani mil 1.2

picha mbiliKatibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Omar Chambo (wa kwanza kulia) akiangalia moja ya mashine zinazotumika katika shughuli za uchimbaji madini katika eneo la Mirelani mkoani Manyara wakati alipotembelea eneo hilo mara baada ya kumaliza kikao kikao chake na Kamati za Ulinzi na Usalama za mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara ambazo zimeamua kufanya kazi kwa pamoja ili kudhibiti utoroshaji wa madini ya Tanzanite.picha mojaChambo akitembelea baadhi ya vitalu vya uchimbaji madini ya...

 

9 years ago

Bongo5

The CEO: Filamu inayofanyika kwenye nchi zaidi ya tano Afrika, bajeti yake ni dola milioni 1

Kwa miaka mingi filamu za Afrika zimekuwa zikitumia bajeti ndogo kutokana na uchumi. Hata Nollywood ambao kiwanda chao kinadaiwa kuwa na thamani ya dola bilioni 4.3 au asilimia 1.2 la pato la taifa, bado imeendelea kuwa na filamu za kawaida. Hata hivyo kuna filamu iliyopo kwenye hatua za utengenezaji iitwayo ‘The CEO’ inaweza kuja kuwa […]

 

9 years ago

StarTV

Taifa lapata dola za kimarekani mil. 500 kwa mwaka kilimo cha Mbogamboga, Matunda, Maua

Sekta ya kilimo cha mbogamboga matunda na maua nchini kimekuwa na mchango mkubwa katika ukuzaji maendeleo kwa kuliingizia taifa kiasi cha dola za kimarekani milioni mia tano kwa mwaka.

Ukuaji wa sekta hiyo umekuwa ni chachu ya kuvutia wawekezaji katika sekta nyingine za maendeleo hapa nchini.

Katika uzinduzi wa jarida litakalohusika kusambaza habari zihusuzo  kilimo cha mbogamboga, maua na matunda  uzinduzi uliofanyika jijini Arusha kwa kuwakutanisha wadau wa kilimo kutoka ndani na nje ya...

 

10 years ago

Vijimambo

INDIA YAIPA TANZANIA MKOPO WA DOLA MIL. 268 KWA AJILI YA MRADI WA MAJI KATIKA MIJI YA TABORA, IGUNGA, NZEGA NA SIKONGE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) akiwa ameshikilia cheti kwa pamoja na Mwenyekiti wa Makampuni ya Kamal, Bw. Gagan Gupta. Bw. Gupta ni mfanyabiashara kutoka India ambaye amewekeza nchini Tanzania alikabidhiwa cheti cha kutambua mchango wake katika kukuza uchumi wa Tanzania. Cheti hicho alikabidhiwa siku ya Alhamisi jijini Delhi.
Na Ally Kondo, Delhi


Serikari za Tanzania na India zimewekeana saini Hati za Makubaliano kwa ajili ya kushirikiana...

 

5 years ago

Michuzi

BAJETI YA FEDHA ZAIDI YA DOLA MILIONI 94 YAPITISHWA JUMUIYA YA SADC, MAWAZIRI WAWEKA MKAKATI KUKABILI CORONA...WAZIRI PROF. KABUDI ATOA NENO

Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii

JUMUIYA ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika(SADC)imepitisha bajeti ya fedha ya Dola za Marekani milioni 94,913,815 kwa mwaka 2020/ 2021.

Akizungumza mbele ya waandishi wa habari baada ya kikao cha Baraza la Mawaziri wa Jumuiya hiyo Katibu Mtendaji wa Jumuiya hiyo Dk.Stergomena Tac amesema fedha hizo zitatumika kwenye masuala mbalimbali yanayohusu Jumuiya.

"Pamoja na ajenda mbalimbali ambazo zimejadiliwa ,pia Jumuiya imepitisha bajeti ya fedha kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani