Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afganistani kupambana na Ubakaji

Afganistani inachukua hatua ya kukabiliana na kundi linadaiwa kuhusika na ubakaji.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

WASHIRIKI WARSHA YA MASHIRIKIANO YA TANAPA NA VYOMBO VYA ULINZI NA USALAMA KATIKA KUPAMBANA NA UHALIFU WA UNAOLENGA MALIASILI WATOA MICHANGO YAO KATIKA KUPAMBANA NA UJANGILI.

Meneja Mawasiliano wa Hifadhi za Taifa,TANAPA Pascal Shelutete akikaribisha mijadala kwa washiriki katika warsha ya Mashirikiano kati ya TANAPA na Vyombo vya Ulinzi na Usalama Baadhi ya Washiriki katika Warsha hiyo wakifuatilia kwa makini majadiliano.Mhifadhi mkuu Mtango Mtaiko akiwasilisha mada kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu TANAPA ,Allan Kijazi juu ya majukumu na changamoto zinazoikabiri TANAPA kwa ujumla.Meneja Ulinzi wa Hifadhi za Taifa ,TANAPA ,Emily Kisamo akiwasilisha mada juu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kosa la ubakaji — 2

Katika sehemu ya kwanza ya makala hii ya ubakaji, nilisema kwamba kwa mujibu wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu Penal code CAP 16  R.E2002; neno kubaka lina maana pana ukilinganisha...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ubakaji 'Silaha ya vita'

Viongozi wanakutana kuchukua hatua madhubuti dhidi ya visa ubakaji na unyanyasaji wa kimapenzi unaotumika kama silaha wakati vita

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubakaji kukomeshwa,DR Congo

Makamanda wa jeshi la Jamhuri ya Demokasi ya Congo,wamesaini maazimio yanayolenga kukomesha vitendo vya ubakaji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ubakaji watoto Zanzibar

Vitendo vya udhalilishaji watoto ikiwemo ubakaji visiwani Zanzibar vimeelezwa kuongezeka na kuleta athari kwa watoto hao.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CCM na ubakaji wa demokrasia

DODODMA, uliteuliwa mwaka 1972 kuwa makao makuu ya chama na serikali enzi za chama cha ukombozi; yaani, Tanganyika Africans National Union (TANU) na baadaye Chama Cha Mapinduzi (CCM). Tangu hapo,...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kizimbani kwa ubakaji


NA EMMANUEL MOHAMED
MKAZI wa Dar es Saalam Juma Omary, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kujibu shitaka la ubakaji.
Omary (65), alisemewa shitaka hilo jana, mahakamani hapo na Mwendesha Mashitaka Faustine Sylvester mbele ya Hakimu Boniphace Lihamwike.
Sylvester alidai kuwa mshitakiwa alitenda kosa hilo Agosti 19, mwaka huu, muda usiofahamika, katika mtaa wa Mkunguni, Kinondoni.
Mshitakiwa alikana shitaka hilo na alirudishwa rumande, baada ya kushindwa kutimiza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ubakaji waongezeka Pwani

JUMLA ya matukio 438 yameripotiwa mkoani Pwani kwa kipindi cha mwaka mmoja uliopita ambapo kati ya hayo 301 ni ya ubakaji ambayo yanaonekana kuongezeka. Akizungumzia juu ya utekelezaji wa masuala...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ubakaji waongezeka Ilala

KILA siku wastani wa watoto watano wananajisiwa katika Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam. Kaimu Katibu Mkurugenzi wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Gladnes Munuo alisema hayo jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani