Afisaa wa Uhispania adungwa kisu Sudan
Polisi wanasema kuwa afisaa wa ubalozi wa Uhispania amepatikana akiwa amedungwa kisu na kufariki nyumbani kwake mjini Khartoum.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Afisaa mkuu wa UN azuru Sudan Kusini
Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la haki za binadamu, Navi Pillay yuko nchini Sudan Kusini kutathmini hali huko baada ya miezi minne ya mzozo .
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8XZ9tNduvb3G6EZR2Y-IIZiB0dt5YxYnuRoAKXATF00qUv79nnG3*kA3rR8*wJd7hRuB9UC*-oG7mA1FBSMVUx7tWLes4aI3/linah.jpg?width=650)
LINAH ADUNGWA MIMBA NA MDOSI
Stori: Mwandishi Wetu
MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya, Estelinah Sanga maarufu kama Linah, anadaiwa kupewa ujauzito na kijana mmoja wa Kihindi anayejulikana kwa jina moja la Nagar. Chanzo cha uhakika kimeliambia gazeti hili kuwa msichana huyo aliyeibukia kutoka kituo cha kukuza vipaji cha THT, amekuwa karibu na Mhindi huyo anayedaiwa kuishi Mbezi jijini Dar es Salaam kwa muda mrefu sasa na kwamba mimba hiyo imeonekana...
11 years ago
BBCSwahili13 Jun
Uhispania inakabiliana na Uholanzi
Mabingwa watetezi Uhispania wamakabiliana na Uholanzi katika marudio ya fainali ya kombe la dunia la 2010.
11 years ago
BBCSwahili08 Feb
Mwanamfalme mahakamani Uhispania
Mwana mfalme Cristina ,mtoto wa mwisho wa kike wa mfalme Juan Carlos anatarajiwa kuhojiwa kuhusiana na kashfa ya ufisadi
11 years ago
BBCSwahili24 Jun
Uhispania yaaga Brazil2014
Uhispania imeyaaga mashindano ya Brazil2014 kwa ushindi wa 3-0 dhidi ya Australia
11 years ago
BBCSwahili18 Jun
Chile kuchuana na Uhispania
Mabingwa watetezi Uhispania wanatafuta ushindi dhidi ya Chile baada ya kushindwa na Uholanzi katika kombe la dunia Brazil.
10 years ago
BBCSwahili07 May
9 years ago
BBCSwahili27 Sep
Je Catalonia itajitenga na Uhispania ?
Zaidi ya watu milioni tano wamejiandikisha kupiga kura huko Catolinia Uhispania katika uchaguzi unaotarajiwa kuwa mtihani wa umoja
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Uhispania na Barca kumkosa Valdez
Mlinda mlango wa Barcelona na Uhispania Victor Valdes hatashiriki Kombe la dunia baada ya kujeruhiwa goti
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania