Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afisaa wa Uhispania adungwa kisu Sudan

Polisi wanasema kuwa afisaa wa ubalozi wa Uhispania amepatikana akiwa amedungwa kisu na kufariki nyumbani kwake mjini Khartoum.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Afisaa mkuu wa UN azuru Sudan Kusini

Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la haki za binadamu, Navi Pillay yuko nchini Sudan Kusini kutathmini hali huko baada ya miezi minne ya mzozo .

 

11 years ago

GPL

LINAH ADUNGWA MIMBA NA MDOSI

Stori: Mwandishi Wetu
MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya, Estelinah Sanga maarufu kama Linah, anadaiwa kupewa ujauzito na kijana mmoja wa Kihindi anayejulikana kwa jina moja la Nagar. Chanzo cha uhakika kimeliambia gazeti hili kuwa msichana huyo aliyeibukia kutoka kituo cha kukuza vipaji cha THT, amekuwa karibu na Mhindi huyo anayedaiwa kuishi Mbezi jijini Dar es Salaam kwa muda mrefu sasa na kwamba mimba hiyo imeonekana...

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhispania inakabiliana na Uholanzi

Mabingwa watetezi Uhispania wamakabiliana na Uholanzi katika marudio ya fainali ya kombe la dunia la 2010.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamfalme mahakamani Uhispania

Mwana mfalme Cristina ,mtoto wa mwisho wa kike wa mfalme Juan Carlos anatarajiwa kuhojiwa kuhusiana na kashfa ya ufisadi

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhispania yaaga Brazil2014

Uhispania imeyaaga mashindano ya Brazil2014 kwa ushindi wa 3-0 dhidi ya Australia

 

11 years ago

BBCSwahili

Chile kuchuana na Uhispania

Mabingwa watetezi Uhispania wanatafuta ushindi dhidi ya Chile baada ya kushindwa na Uholanzi katika kombe la dunia Brazil.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ligi ya Uhispania yaahirishwa

Ligi kuu ya Uhispania La Liga imepigwa marufuku.

 

9 years ago

BBCSwahili

Je Catalonia itajitenga na Uhispania ?

Zaidi ya watu milioni tano wamejiandikisha kupiga kura huko Catolinia Uhispania katika uchaguzi unaotarajiwa kuwa mtihani wa umoja

 

11 years ago

BBCSwahili

Uhispania na Barca kumkosa Valdez

Mlinda mlango wa Barcelona na Uhispania Victor Valdes hatashiriki Kombe la dunia baada ya kujeruhiwa goti

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani