Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LINAH ADUNGWA MIMBA NA MDOSI

Stori: Mwandishi Wetu
MSANII nyota wa muziki wa kizazi kipya, Estelinah Sanga maarufu kama Linah, anadaiwa kupewa ujauzito na kijana mmoja wa Kihindi anayejulikana kwa jina moja la Nagar. Chanzo cha uhakika kimeliambia gazeti hili kuwa msichana huyo aliyeibukia kutoka kituo cha kukuza vipaji cha THT, amekuwa karibu na Mhindi huyo anayedaiwa kuishi Mbezi jijini Dar es Salaam kwa muda mrefu sasa na kwamba mimba hiyo imeonekana...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

LINAH: NASAKA MIMBA

Na Musa Mateja
STAA wa Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’ juzikati ameweka wazi nia yake ya kusaka mtoto, Risasi Mchanganyiko linakushushia. Estelina Sanga ‘Linah’. Akizungumza na  mwandishi wetu Desemba 9, mwaka huu jijini Dar, Linah alisema tangu alipoingia kwenye muziki hakuwahi kufikiria kushika ujauzito kwa kuwa alikuwa bado hajajiandaa kufanya hivyo. Nyota huyo ambaye aliwahi kuzama ...

 

11 years ago

GPL

MIMBA YA LINAH YACHOROPOKA

SIKU chache baada ya kuripotiwa kuwa, msanii wa Bongo Fleva, Astelinah Sanga ‘Linah’ amenasa ujauzito wa mdosi aitwaye Nagar, Amani limenyetishiwa kuwa ujauzito huo umechoropoka. Astelinah Sanga ‘Linah’. Kwa mujibu wa chanzo, ujauzito huo umechoropoka hivi karibuni na kumfanya  Linah kukosa raha kwa kuwa ndoto yake ilikuwa kupata mtoto. “Ni kweli Linah alikuwa na ujauzito lakini umetoka na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Afisaa wa Uhispania adungwa kisu Sudan

Polisi wanasema kuwa afisaa wa ubalozi wa Uhispania amepatikana akiwa amedungwa kisu na kufariki nyumbani kwake mjini Khartoum.

 

9 years ago

GPL

MDOSI APORA MKE WA MTU

Gladness Mallya na Hamida Hassan Jamaa mmoja anayefanya kazi kwenye kiwanda kimoja cha plastiki jijini Dar aliyejulikana kwa jina moja la Ramesh mwenye asili ya kiasia (Mdosi), anadaiwa kumpora mke wa mtu na kuishi naye kinyumba na kuiacha ndoa yao ikiyumba, Ijumaa lina ushahidi.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1PbpCBB

 

10 years ago

GPL

MDOSI AMFANYIA MBAYA DEREVA WAKE

Chande abdallah na deogratius mongela Mdosi mmoja ambaye ni bosi wa kampuni moja ya kusafirisha mafuta jijini Dar aliyefahamika kwa jina la Jetti anasakwa na polisi kwa RB; CHA/RB/5871/2015 SHAMBULIO LA MWILI akidaiwa kumfanyia kitu mbaya deveva wake aitwaye Deogratius.  Soma zaidi===>http://bit.ly/1enyBms

 

10 years ago

Vijimambo

NILIWAHI KUTOA MIMBA MOJA TU YA KANUMBA KWA VILE NILIKUWA MDOGO SANA, WANAO SEMA NIMETOA MIMBA NYINGI NI WAONGO






Anazungumzia ishu ya kupata mtoto ndani ya EFM Radio Jana... Anasema watu wanaomsema hapati mimba kwa kuwa ametoa sana mimba, ni uongo kwa kuwa ameshatoa mimba moja tu tena ya Kanumba na kwa kuwa alikuwa mdogo.
Anasema ndoto yake ilikuwa kuzaa na Diamond ila hakuwahi kupata ujauzito ila ameangaika sana kupata na Diamond na wamehustle together kumpata mtoto ila haikuwezekana.
Anasema tangu hapate hiyo mimba ya Kanumba hakuna mwanaume ambaye ameshawai kumpa ujauzito. Anachukia sana watu...

 

11 years ago

GPL

LINAH: KWAHERI THT

Stori: SHAKOOR jONGO
Mwanamuziki ambaye ni zao la Jumba la Vipaji Tanzania ‘THT’ Estalina Sanga ‘Linah’ ameaga rasmi jumba hilo ambapo inadaiwa kwa sasa atakuwa chini ya Kampuni ya No Fake Zone ‘NFZ’ inayoendesha shughuli zake nchini Afrika Kusini. Mwanamuziki ambaye ni zao la Jumba la Vipaji Tanzania ‘THT’ Estalina Sanga ‘Linah’ Akizungumza na Ijumaa msemaji wa...

 

10 years ago

GPL

MAI AMCHOKONOA LINAH

Gladness Mallya
KATIKA kinachoonekana kama kumchokonoa nyota wa muziki Estalina Sanga ‘Linah’, mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’ ameunga mkono kitendo cha Wema Sepetu kumchukua mpenzi wa Mbongo Fleva huyo Nangari Kombo. Mtangazaji maarufu Bongo, Maimartha Jesse ‘Mai’. Mai aliweka picha ya Wema akiwa na Kombo kwenye ukurasa wake wa Instagram na kumpongeza kwa kumpata ingawa...

 

11 years ago

GPL

LINAH:NAFUNGA NDOA SOON

Stori: Musa Mateja
MSANII mwenye sauti mwanana anayetesa kwenye Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’, amefunguka kuwa, ndoa yake na mpenzi wake Nagari Kombo ‘Kaka wa Bongo’ inanukia. Linah akipozi na mpenzi wake Nagari Kombo wakati wa utoaji tuzo za Kili. Linah alisema hayo wikiendi iliyopita aliponaswa akijiachia na Kaka wa Bongo katika Ukumbi wa Mlimani City, Dar ambapo mpango mzima wa Tuzo za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani