Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afrika isitumike kama ‘kichaka’ mikataba ya makubaliano ya COP 21!!

DSC_4351

Wasanii wakiigiza moja ya maigizo ambayo yanaelezea namna ya mapambano dhidi ya Mabadiliko ya Tabianchi yanavyoathiri za Afrika. katika  igizo hilo lililokuwa likielezea namna Mwanamke anavyotegemea msaada kutoka kwa mmewe ambaye mwishoni anamgeukia kutokana na kuto mnufaisha ndani ya nyumba hivyo ndugu na jamaa wa karibu pamoja na waliokuwa msaada kwa mwanaume kusaidiana kumshambulia mwanamke aondoke ndani ya nyumba. Igizo hilo lilichezwa jana Desemba 10.2015 katika banda la Afrika na...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TIC YASAINI MIKATABA YA MAKUBALIANO YA UWEKEZAJI NA WAKUU WA MIKOA YA KANDA YA ZIWA

 Makamu wa Rais,Dkt. Mohammed Gharib Bilal (kulia) akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),Julieth Kairuki wakati alipotembelea Banda la Kituo hicho kwenye Maonyesho ya Kongamano la Uwekezaji yaliyoanza jana kwenye hoteli ya Malaika jijini Mwanza .Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza,Mh. Everist Ndikilo ambaye ndie Mwenyeji wa Kongamano hilo.  Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC),Julieth Kairuki (katikati) akisaini Mikataba ya...

 

10 years ago

Michuzi

Huawei na Umoja wa Afrika zasaini makubaliano kuboresha miundombinu ya teknohama Afrika

Makamu wa Rais wa kampuni ya Huawei katika idara inayohusika na mahusiano ya serikali Ulimwenguni, Bw. David Harmon (wapili kushoto) akipeana mkono na Makamu Mweyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika Bw. Erastus Mwencha (wapili kulia), mara baada ya kusaini makubaliano yatakayosaidia kuongeza  ushirikiano baina yao katika kuimarisha maendeleo katika miundombinu ya teknolojia ya Habari na Mawasiliano (teknohama). Hafla ya kusaini makubaliano hayo ilifanyika mjini Addis Ababa, Ethiopia....

 

11 years ago

Mwananchi

Mikataba inavyoweza kurejesha ukoloni mpya Afrika

Ilikuwa miaka 12 na sasa zimesalia takriban siku 90 au miezi mitatu ili mwisho wa kutia saini mkataba wa uhusiano wa kibiashara baina ya Umoja wa Ulaya (EU) na nchi zinazoendelea (EPAs) ifike.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uhuru Kenyatta: Mazungumzo na Marekani hayataathiri makubaliano ya biashara huru Afrika

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta na mwenyeji wake Donald Trump wa Marekani wamekutana na kuratibu majadiliano ya mkataba wa biashara huru kati ya mataifa hayo mawili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chonde polisi isitumike kisiasa

WIKI mbili zilizopita tuliandika kuhadharisha Jeshi la Polisi kujiepusha na siasa za maji taka, za kutumiwa kuvihujumu vyama vya upinzani vinapofanya harakati zao halali kwa wananchi kwa mujibu wa sheria....

 

9 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. afungua kongamano la Afrika kuhusu makubaliano ya rasimu mpya ya dunia, jijini Dar

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Kongamano la Afrika kuhusu Makubaliano ya Rasimu mpya ya Dunia inayohusu Usimamizi wa Masuala ya Tabianchi. Kongamano hilo lilianza jana Sept 3, 2015 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar esSalaam. (Picha na OMR).

3

4

Baadhi ya Washiriki wa Kongamano hilo wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati akihutubia. 

5

5B

6

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...

 

10 years ago

Habarileo

CCM yasema hoja ya Escrow isitumike kuhadaa wananchi

KASHFA ya utoaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoibukia bungeni Dodoma na wahusika kuamriwa kuwajibika, imeelezwa kuwa si hoja ya msingi tena ya kuwahadaa wananchi katika mikutano ya kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa jijini Arusha.

 

11 years ago

BBCSwahili

Adai ardhi kama ufalme wake Afrika

Mwanamme mmoja kutoka Marekani amedai umiliki wa kipande kidogo cha ardhi barani Afrika kama ufalme wake kwa sababu bintiye anataka kuwa binti mfalme.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani