Afrika isitumike kama ‘kichaka’ mikataba ya makubaliano ya COP 21!!
Wasanii wakiigiza moja ya maigizo ambayo yanaelezea namna ya mapambano dhidi ya Mabadiliko ya Tabianchi yanavyoathiri za Afrika. katika igizo hilo lililokuwa likielezea namna Mwanamke anavyotegemea msaada kutoka kwa mmewe ambaye mwishoni anamgeukia kutokana na kuto mnufaisha ndani ya nyumba hivyo ndugu na jamaa wa karibu pamoja na waliokuwa msaada kwa mwanaume kusaidiana kumshambulia mwanamke aondoke ndani ya nyumba. Igizo hilo lilichezwa jana Desemba 10.2015 katika banda la Afrika na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-mUfC1Jhqtpo/Uv06tiNVMZI/AAAAAAAFNDw/RUzU8Veowrc/s72-c/unnamed+(9).jpg)
TIC YASAINI MIKATABA YA MAKUBALIANO YA UWEKEZAJI NA WAKUU WA MIKOA YA KANDA YA ZIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-mUfC1Jhqtpo/Uv06tiNVMZI/AAAAAAAFNDw/RUzU8Veowrc/s1600/unnamed+(9).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Dr4VMbcMRNY/Uv06sPkqp3I/AAAAAAAFNDc/KEu7B0W4NFU/s1600/unnamed+(10).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8XONTZxJWEQ/VNCem4aqFjI/AAAAAAACzPc/s7XW7Kq_12c/s72-c/unnamed.jpg)
Huawei na Umoja wa Afrika zasaini makubaliano kuboresha miundombinu ya teknohama Afrika
![](http://2.bp.blogspot.com/-8XONTZxJWEQ/VNCem4aqFjI/AAAAAAACzPc/s7XW7Kq_12c/s1600/unnamed.jpg)
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Mikataba inavyoweza kurejesha ukoloni mpya Afrika
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Uhuru Kenyatta: Mazungumzo na Marekani hayataathiri makubaliano ya biashara huru Afrika
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Chonde polisi isitumike kisiasa
WIKI mbili zilizopita tuliandika kuhadharisha Jeshi la Polisi kujiepusha na siasa za maji taka, za kutumiwa kuvihujumu vyama vya upinzani vinapofanya harakati zao halali kwa wananchi kwa mujibu wa sheria....
9 years ago
Dewji Blog05 Sep
Makamu wa Rais Dkt. afungua kongamano la Afrika kuhusu makubaliano ya rasimu mpya ya dunia, jijini Dar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi Kongamano la Afrika kuhusu Makubaliano ya Rasimu mpya ya Dunia inayohusu Usimamizi wa Masuala ya Tabianchi. Kongamano hilo lilianza jana Sept 3, 2015 kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar esSalaam. (Picha na OMR).
Baadhi ya Washiriki wa Kongamano hilo wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati akihutubia.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...
10 years ago
Habarileo07 Dec
CCM yasema hoja ya Escrow isitumike kuhadaa wananchi
KASHFA ya utoaji wa fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoibukia bungeni Dodoma na wahusika kuamriwa kuwajibika, imeelezwa kuwa si hoja ya msingi tena ya kuwahadaa wananchi katika mikutano ya kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa jijini Arusha.
11 years ago
BBCSwahili16 Jul
Adai ardhi kama ufalme wake Afrika