Ahimiza Watanzania kujenga uzalendo
RAIA wa Korea Kusini, Mchungaji Joshua Lee amewashauri Watanzania kuweka uzalendo mbele ikiwa ni pamoja na kujitolea bila kudai fedha kwa ajili ya kujiletea maendeleo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKITWANGA AHIMIZA UBUNIFU, UZALENDO KWA SEKTA YA MADINI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-S7anPHgux_0/Xuryu2ePCdI/AAAAAAALuTw/OAzDTaXJV80TWmW2cof_SDOcHONBy3-_QCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-18%2Bat%2B6.05.34%2BAM.jpeg)
MILIONI 800 ZATUMIKA KUKARABATI CHUO CHA UALIMU BUSTANI, WAZIRI NDALICHAKO AHIMIZA UZALENDO
Charles James, Michuzi TV
WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako amewataka wanachuo nchini kuipenda Nchi yao na kuwa mabalozi wazuri katika kuitetea na kutangaza kazi kubwa inayofanywa na serikali katika kuwatumikia watanzania.
Prof Ndalichako ameyasema hayo leo wilayani Kondoa Mkoani Dodoma wakati alipofanya ziara ya kutembelea Chuo Cha Ualimu Bustani kwa ajili ya kukagua maendeleo yake na kuzungumza na wanafunzi wake.
Akizungumza baada ya kukagua miradi ya maendeleo...
5 years ago
CCM BlogWAITARA AWATAKA WATANZANIA KUWA NA UZALENDO ULIOPITILIZA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA
Na Richard Mwaikenda, Ukonga.
NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mwita Waitara, amewataka Watanzania kuwa na Uzalendo uliopitiliza katika mapambano dhidi ya ugonjwa hatari wa Corona.
Amesema wawe makini na wageni wanaoingia nchini kupitia mipaka...
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
Kila siku wanadai eti vijana hatuna uzalendo. Wao wana uzalendo kwetu?
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke, mipango miji, machinga, kero vijijini na waishiwa,
11 years ago
Habarileo31 Dec
Askofu ahimiza Watanzania kuombea taifa
WATANZANIA wametakiwa kuongeza nguvu kuombea taifa kwa kile kilichoelezwa linapita katika kipindi kigumu kinachohitaji maombi.
10 years ago
Habarileo08 Jul
Kikwete ahimiza Watanzania kujiandikisha BVR
RAIS Jakaya Kikwete amewataka Watanzania kujiandikisha, vinginevyo wasije kushangaa watakapochaguliwa viongozi wasiofaa.
11 years ago
Habarileo21 Apr
Pengo ahimiza Watanzania kuombea Bunge la Katiba
ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycap Kardinali Pengo, ametuma salamu za Pasaka kwa Watanzania wote huku akisisitiza kuliombea Bunge Maalumu la Katiba.
10 years ago
Habarileo02 Nov
Bilal ahimiza amani, umoja kwa Watanzania
MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal amesema kuwa ni wajibu wa kila Mtanzania kudumisha amani na umoja wa Taifa, ikiwa ni njia pekee ya kujiletea maendeleo ya haraka badala ya kuwa mabingwa wa kukosoa kila kitu.
11 years ago
Habarileo20 Feb
Ahimiza Watanzania kuanzisha viwanda vya dawa
WATANZANIA wenye mitaji wameshauriwa kuwekeza katika viwanda vya dawa, kwani kwa sasa vimebaki viwanda vitatu tu nchini vinavyofanya kazi. Kutokana na hali hiyo, Serikali inalazimika kuagiza dawa nje ya nchi, ambapo kwa mwaka jana ilitumia zaidi ya Sh bilioni 75 kununua dawa.