Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ahimiza Watanzania kujenga uzalendo

RAIA wa Korea Kusini, Mchungaji Joshua Lee amewashauri Watanzania kuweka uzalendo mbele ikiwa ni pamoja na kujitolea bila kudai fedha kwa ajili ya kujiletea maendeleo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KITWANGA AHIMIZA UBUNIFU, UZALENDO KWA SEKTA YA MADINI

Kaimu Kamishna Msaidizi wa Madini, Sehemu ya Uchumi na Biashara ya Madini, Aloyce Tesha (Kulia) akitoa maelezo kwa Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (Kushoto) kuhusu utendaji kazi katika sekta hiyo. Naibu Waziri Kitwanga aliwatembelea Watumishi wa Idara ya Madini kuzungumza nao na kukagua utendaji kazi wao.Naibu Waziri wa Nishati na Madini (Madini), Charles Kitwanga (wa kwanza Kulia), akifafanua jambo kwa Viongozi wa Idara ya Madini alipokutana nao kujadili...

 

5 years ago

Michuzi

MILIONI 800 ZATUMIKA KUKARABATI CHUO CHA UALIMU BUSTANI, WAZIRI NDALICHAKO AHIMIZA UZALENDO


Charles James, Michuzi TV

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof Joyce Ndalichako amewataka wanachuo nchini kuipenda Nchi yao na kuwa mabalozi wazuri katika kuitetea na kutangaza kazi kubwa inayofanywa na serikali katika kuwatumikia watanzania.

Prof Ndalichako ameyasema hayo leo wilayani Kondoa Mkoani Dodoma wakati alipofanya ziara ya kutembelea Chuo Cha Ualimu Bustani kwa ajili ya kukagua maendeleo yake na kuzungumza na wanafunzi wake.

Akizungumza  baada ya kukagua miradi ya maendeleo...

 

5 years ago

CCM Blog

WAITARA AWATAKA WATANZANIA KUWA NA UZALENDO ULIOPITILIZA MAPAMBANO DHIDI YA CORONA

NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mwita Waitara, akizungumza katika mkutano huo. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema.

Na Richard Mwaikenda, Ukonga.

NAIBU Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mwita Waitara, amewataka Watanzania kuwa na Uzalendo uliopitiliza katika mapambano dhidi ya ugonjwa hatari wa Corona.

Amesema wawe makini na wageni wanaoingia nchini kupitia mipaka...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kila siku wanadai eti vijana hatuna uzalendo. Wao wana uzalendo kwetu?

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke, mipango miji, machinga, kero vijijini na waishiwa,

Hidaya

 

11 years ago

Habarileo

Askofu ahimiza Watanzania kuombea taifa

WATANZANIA wametakiwa kuongeza nguvu kuombea taifa kwa kile kilichoelezwa linapita katika kipindi kigumu kinachohitaji maombi.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete ahimiza Watanzania kujiandikisha BVR

Rais Jakaya Kikwete akijiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kwa kutumia mfumo mpya wa kielektroniki (Biometric Voters Register -BVR) katika kijiji cha Msoga, wilayani Bagamoyo mkoani Pwani jana. Kulia ni mwandikishaji msaidizi, Happyness Misana, Ofisa TEHAMA kutoka Ofisi ya Tume ya Taifa Uchaguzi (NEC), Mariam Rajabu (katikati) na Mbunge wa Chalinze, Ridhwani Kikwete (kushoto mwenye baraghashia). (Picha na Freddy Maro).RAIS Jakaya Kikwete amewataka Watanzania kujiandikisha, vinginevyo wasije kushangaa watakapochaguliwa viongozi wasiofaa.

 

11 years ago

Habarileo

Pengo ahimiza Watanzania kuombea Bunge la Katiba

ASKOFU Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycap Kardinali Pengo, ametuma salamu za Pasaka kwa Watanzania wote huku akisisitiza kuliombea Bunge Maalumu la Katiba.

 

10 years ago

Habarileo

Bilal ahimiza amani, umoja kwa Watanzania

MAKAMU wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal amesema kuwa ni wajibu wa kila Mtanzania kudumisha amani na umoja wa Taifa, ikiwa ni njia pekee ya kujiletea maendeleo ya haraka badala ya kuwa mabingwa wa kukosoa kila kitu.

 

11 years ago

Habarileo

Ahimiza Watanzania kuanzisha viwanda vya dawa

WATANZANIA wenye mitaji wameshauriwa kuwekeza katika viwanda vya dawa, kwani kwa sasa vimebaki viwanda vitatu tu nchini vinavyofanya kazi. Kutokana na hali hiyo, Serikali inalazimika kuagiza dawa nje ya nchi, ambapo kwa mwaka jana ilitumia zaidi ya Sh bilioni 75 kununua dawa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani