Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AI:Upinzani unanyanyaswa Burundi

Shirika la kimataifa la kutetea haki za binaadamu , Amnesty International,linasema kuwa maafisa wa usalama nchini Burundi wametumia vyuma na tindikali kushambulia watu wanaoshukiwa kuunga mkono upinzani wakati wa kampeni za hivi karibuni za kuelekea ucha

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

UN yalaumu Serikali na upinzani Burundi

Umoja wa Mataifa umesema wakuu wa serikali ya Burundi na viongozi wa upinzani wanajaribu kuigawanya nchi hiyo kwa misingi ya kimbari.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani aachiliwa Burundi

Mahakama nchini Burundi imemwachilia kwa dhamana Frederic Bamvuginyumvira aliyekabiliwa na kashfa ya ngono na ulaji rushwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani auawa Burundi

Kiongozi wa chama kidogo cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Msemaji wa upinzani auawa Burundi

Msemaji wa chama cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi katika mji mkuu wa Bujumbura.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa upinzani atekwa nyara Burundi

Mbunge wa zamani katika bunge la Afrika mashariki Francois Bizimana ameripotiwa kutekwa nyara siku ya jumapili mjini Bujumbura

 

10 years ago

BBCSwahili

Burundi upinzani kususia uchaguzi mkuu

Vyama vya upinzani nchini Burundi vimetangaza kususia uchaguzi mkuu unaotarajiwa kuanza wiki ijayo.

 

10 years ago

Mtanzania

Upinzani Burundi wawaonya marais EAC

(FILES) This file picture taken 05 DecemNa Fredy Azzah, Dar es Salaam
WAKATI marais wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wakitarajiwa kukutana Dar es Salaam leo kujadili mzozo wa Burundi, wapinzani wa Rais Pierre Nkurunziza, wameapa kwa kusema kuwa ni lazima kiongozi huyo ang’atuke madarakani.
Pamoja na hali hiyo pia wameonya kuwa silaha zinazozagaa kwa wanamgambo nchini humo zikusanywe kwa vile ni hatari hata kwa usalama wa nchi jirani.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

GPL

KIONGOZI WA CHAMA CHA UPINZANI BURUNDI AUAWA

Baadhi wananchi wakiwa eneo alipouawa Zedi Feruzi. KIONGOZI wa chama kidogo cha upinzani nchini Burundi ameuawa kwa kupigwa risasi katika Mji mkuu wa nchi hiyo Bujumbura. Mwili wa Zedi Feruzi amabye alikuwa kiongozi wa Chama cha Union for Peace and Development ulipatikana nje ya nyumba yake kwenye mji wa Bujumbura. Juzi Ijumaa watu wawili waliuawa katika maandamano hayo yaliyochukua wiki kadhaa huku… ...

 

10 years ago

Mwananchi

TAFRANI BURUNDI: Hofu yatanda kuuawa kiongozi wa upinzani

>Huku Serikali ikikanusha kuhusika katika mauaji ya kiongozi wa upinzani wa Burundi, baadhi ya makundi ya kisiasa yameanza kuingiwa na wasiwasi kuhusiana na hatima ya kisiasa ya nchi hiyo, wiki moja baada ya Rais Pierre Nkurunziza kusogeza mbele tarehe uchaguzi wa wabunge.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani