ALA PASAKA KWA KICHAPO

ISSA MNALLY Kijana mmoja aliyetambuliwa kwa jina moja la Anton, Jumapili ya Pasaka alikula sikukuu kwa kupewa kichapo na wananchi wenye hasira kwa madai kuwa ni kibaka.Tukio hilo lililotokea saa 12 asubuhi maeneo ya Sinza Afrikasana ambapo walioshuhudia tukio hilo walimwambia mwandishi wetu kuwa, kijana huyo aliyefahamika mtaani hapo kama muokota chupa, ilidaiwa kuwa alikurupushwa kutoka katika nyumba moja ambako alienda kwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
KIBAKA ALA KICHAPO KWA WIZI WA TAA ZA GARI UPANGA, DAR
9 years ago
Michuzi
MTU MMOJA ALA KICHAPO KWA TUHUMA ZA KUJIDAI AFISA WA TRA
Mtu huyo alijitambulisha kuwa ni Afisa wa TRA,lakini akatuhumiwa kuwa ni tapeli aliyetaka kufanya tukio la kiuhalifu kwenye moja ya Maduka yaonekayo mbele ya gari hilo,tukio hilo limetokea hivi punde maeneno ya Tabata Segerea. Mtuhumiwa huyo ambaye jina lake halikuweza kufahamika ...
10 years ago
GPL
BODABODA ALA KICHAPO!
10 years ago
GPL
ALA KICHAPO, ACHIMBIWA KABURI
10 years ago
GPL
ALA KICHAPO KISA MUME WA MTU
10 years ago
GPL
KISA HAUSIGELI, NJEMBA ALA KICHAPO
11 years ago
Dewji Blog12 Oct
Kinana anywa chai nyumbani kwa balozi wa shina, ala msosi kwa mama lishe Iringa
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipata mlo nyumbani kwa Balozi Lucas Mtumbuka (kushoto)wa Shina namba moja eneo la Mkimbizi, alipokwenda kumtembelea yeye na wananchama wake wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM, Jimbo la Iringa Mjini.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Kinana akichukua mhogo ambao ni sehemu ya vyakula alivyoandaliwa na balozi.
Watoto wakipanda kwenye uzio wa nyumba ili wapate...
11 years ago
Michuzi.bmp)
10 years ago
VijimamboMwenyekiti kwa Pinda ala kipigo
Uapishaji wenyeviti wa serikali za mitaa katika Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam kwa mara nyingine umekumbwa na vurugu zilizosababisha...