KIBAKA ALA KICHAPO KWA WIZI WA TAA ZA GARI UPANGA, DAR
Kibaka aliyetaka kuiba taa za gari akiwa amefungwa kamba sambamba na vifaa vyake vya uhalifu. Taa ya gari ambayo tayari ilikuwa imefunguliwa na kibaka huyo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLALA PASAKA KWA KICHAPO
5 years ago
MichuziWIZI WA BIBLIA WAMPONZA KIBAKA DAR, WANANCHI WAMPA KIPIGO 'PAKA MWIZI'
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
KIJANA mmoja aliyefahamika kwa jina la Ndonga mkazi wa Majumbasita jijini Dar es Salaam amejikuta akipokea kipigo cha 'Paka mwizi' kutoka kwa wananchi wenye hasira kali baada ya kukwapua Biblia ya muumini wa dini ya Kikristo aliyekuwa akielekea Kanisani.
Tukio hilo limetokea leo Juni 7,2020, saa 12 asubuhi Njia Panda ya Segerea eneo la reli ambapo kijana huyo kabla ya kukwapua Bibli hiyo alitoa panga lake na kisha kumpiga na ubapa wa panga mgongoni muumini huyo...
9 years ago
MichuziMTU MMOJA ALA KICHAPO KWA TUHUMA ZA KUJIDAI AFISA WA TRA
Mtu huyo alijitambulisha kuwa ni Afisa wa TRA,lakini akatuhumiwa kuwa ni tapeli aliyetaka kufanya tukio la kiuhalifu kwenye moja ya Maduka yaonekayo mbele ya gari hilo,tukio hilo limetokea hivi punde maeneno ya Tabata Segerea. Mtuhumiwa huyo ambaye jina lake halikuweza kufahamika ...
10 years ago
GPLBODABODA ALA KICHAPO!
9 years ago
GPLALA KICHAPO, ACHIMBIWA KABURI
9 years ago
GPLKISA HAUSIGELI, NJEMBA ALA KICHAPO
10 years ago
GPLALA KICHAPO KISA MUME WA MTU
10 years ago
GPLKIBAKA WA BODABODA AFA KWA KUCHOMWA MOTO DAR KWA KUIBA MKOBA
10 years ago
Habarileo13 Jun
Mkenya, Mrundi jela kwa wizi wa gari, mafuta
RAIA wa Kenya na mwingine wa Burundi waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa gari na mafuta ya petroli wamehukumiwa kwenda jela mwaka mmoja kila mmoja, huku Watanzania watatu wakiachiwa huru kwa kukosekana ushahidi.