Alisafiri mpokee basi ajue ulimmisi shosti
Shangingi mie nimerejea tena leo na mada mpya kabisa, unaweza kuwa umeshajifunza kwa kungwi wako lakini kwangu ndiyo kwanza nagusia, hivyo usinichoke, wewe soma taratibu nikujuze mambo muhimu kwani wanawake wengi tukishaolewa ndiyo tunaona tumefika.
Wapo walioolewa na wanaume wanaofanya kazi za kusafiri, pia wapo ambao waume zao hupendelea kusafiri pale anapopata likizo ofisini kwake, shosti, mume akisafiri anakuwa amepata upenyo wa kupumzika na kelele zako nyumbani na za watoto wenu, sasa...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo521 Oct
Msanii anayetaka kuwa wa kimataifa ni lazima ajue kiingereza — Diamond
5 years ago
BBCSwahili27 May
Ndege huyu alisafiri vipi umbali mrefu zaidi duniani?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39cWyx4MAGp4ipPMUSpGI1ipZtOns5T7DV7qTNE1N0hyhsqDa0tbWAkJufr-pMxroqrfj7-XGr6SSZYDfkouInS3/none.jpg?width=650)
BETHIDEI YAWAGOMBANISHA DAVINA, SHOSTI’AKE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bWJUE6SzqcI/VDoMiwxomkI/AAAAAAAGpcQ/BE5Xqrlky5I/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
salamu kutoka kwa mama bishanga na shosti yake Julie kutoka Liberia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0gGC4ZQuxjOijoYvaKbMzMDa-a2Z*mKmfHr88NhhiDHWlHqmFLsSGdM8npzxyonDMbCyHJTSymhLqtCYok*mmStmTOZJDe0i/zaricopy.jpg?width=650)
MUME WA ZARI ANASA KWA SHOSTI WA ZARI
10 years ago
VijimamboDEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA
Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...