BETHIDEI YAWAGOMBANISHA DAVINA, SHOSTI’AKE
![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39cWyx4MAGp4ipPMUSpGI1ipZtOns5T7DV7qTNE1N0hyhsqDa0tbWAkJufr-pMxroqrfj7-XGr6SSZYDfkouInS3/none.jpg?width=650)
Stori: Na Hamida Hassan SHEREHE ya bethidei ya msanii wa filamu Vivian Minza ambaye ni shosti wa Halima Yahya ‘Davina’ iliyofanyika Mei 1, mwaka huu imedaiwa kuwa ndiyo chanzo cha kuvunja urafiki wa wawili hao. Msanii wa filamu Bongo, Halima Yahya ‘Davina’. Imeelezwa kuwa kutofautiana kwao ni Davina kutokwenda katika sherehe hiyo, ili kujiridhisha na madai hayo, paparazi wetu alimtafuta Davina,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aQiEB6*6GDC1cbTQTCsIafZakVs78I3v0abhkUpAYfVWaT3kSwy1Uk6ew-iasv43egMyqgvg0gtfKdQuVLhJtp6/2.jpg?width=650)
BETHIDEI YA MTOTO WA DAVINA NISHA ATIA AIBU
10 years ago
Bongo Movies20 Apr
Davina Akanusha Habari “Davina Amchokonoa Wema” Adai ni Uchonganishi
Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ ameonyesha kushitushwa na habari zilizoripotiwa leo nagezeti moja la udaku limeripoti habari yenye kishwa cha habari “Davina Amchokokoa Wema” kitu ambacho Davina amedai ni uchanganishi kati yake na Staa mwenzake Wema Sepetu.
Gazeti hilo limedai kuwa Davina alisema kuwa anamshukuru Mungu kwa mawanae kutimiza miaka miwili kwani kuna watu wanatafuta watoto mpaka sasa hawajapata.
Davina aliyaongea hayo katika birthday ya mwanae iliyofanyika ...
9 years ago
Global Publishers07 Jan
Alisafiri mpokee basi ajue ulimmisi shosti
Shangingi mie nimerejea tena leo na mada mpya kabisa, unaweza kuwa umeshajifunza kwa kungwi wako lakini kwangu ndiyo kwanza nagusia, hivyo usinichoke, wewe soma taratibu nikujuze mambo muhimu kwani wanawake wengi tukishaolewa ndiyo tunaona tumefika.
Wapo walioolewa na wanaume wanaofanya kazi za kusafiri, pia wapo ambao waume zao hupendelea kusafiri pale anapopata likizo ofisini kwake, shosti, mume akisafiri anakuwa amepata upenyo wa kupumzika na kelele zako nyumbani na za watoto wenu, sasa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2VGrzzXedu1z5NTlxXEnVg*e3S84T-4b86qVoyDl2T1BKVF5vP-MKFp0MUPIO7MHRaDnoxiXu8aFXlaDn9PSFSlA7rqWjZ8e/meninah.jpg?width=650)
MENINAH KUMWANIKA MCHUMB’AKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h2SvCI1KJvOqVYUFqHIfsodsyAJqI1VH3ipAnWHjv8ig1z5B9Q5KoVb-y*0qDIYl9NuFu0sLP0XqQ85nBJfiUzDA423KaWV3/back.jpg)
BABA’AKE CHEKA AANGUA KILIO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wBi6IgNyVl8wtwChnt1OalfND5crqiZ6FBxqxpNZN9Uq9G3weTH8zUEw4Cwj8Yi5-2Jht0FtLH3l4ZZNGRNi9apqde*gBTKE/wolper.jpg?width=650)
WOLPER AKATAA SHOBO KWA MCHUMBA ‘AKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kZzo8PgK6ncfurr7tpA4-CyWAyD7ItAgolaz-Rhf694AsMMHwg4G2K*z6TcDV3i8W9h0A8UEQF*1jklXfghfzVUBPpBqjzn6/Linah.gif?width=650)
LINAH AJIWEKA KWA KAKA’AKE ZARI
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-_imGRabQYUc/VcaN8XrFbxI/AAAAAAAAC3g/_EYDnCFiK0s/s72-c/Screenshot_2015-08-08-18-02-20.png)
Mwamvita Makamba aumbuliwa mchana kweupee na X-bestfriend ake!
![](http://2.bp.blogspot.com/-_imGRabQYUc/VcaN8XrFbxI/AAAAAAAAC3g/_EYDnCFiK0s/s320/Screenshot_2015-08-08-18-02-20.png)
Ujumbe kwa wasichana na wadada wa Kitanzania: Ridhika na ulicho nacho. Msipende kuiga maisha ya IG wengi wanaishi maisha ya kufoji hayana huwalisia wowote. Na wale wadada ambao mnakatishwa tamaa na hizi fake life somo hili hapa! Wanasema ukiona vya elea juwa vimeundwa! Tatizo si kuelea tatizo ni nani aliye viunda?! Sasa nibora...