Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BETHIDEI YAWAGOMBANISHA DAVINA, SHOSTI’AKE

Stori: Na Hamida Hassan SHEREHE ya bethidei ya msanii wa filamu Vivian Minza ambaye ni shosti wa Halima Yahya ‘Davina’ iliyofanyika Mei 1, mwaka huu imedaiwa kuwa ndiyo chanzo cha kuvunja urafiki wa wawili hao. Msanii wa filamu Bongo, Halima Yahya ‘Davina’. Imeelezwa kuwa kutofautiana kwao ni Davina kutokwenda katika sherehe hiyo, ili kujiridhisha na madai hayo, paparazi wetu alimtafuta Davina,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BETHIDEI YA MTOTO WA DAVINA NISHA ATIA AIBU

Gladness Mallya na Imelda Mtema
POMBE si chai! Msemo huu ulitimia hivi karibuni baada ya staa wa filamu za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ kuzidiwa na kilevi na kuanza kushindana kukata mauno na kusababisha azingirwe na wanaume waliovutiwa naye. Staa wa filamu za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ akikata mauno. Tukio hilo la aina yake lilitokea Jumatano iliyopita katika sherehe ya bethidei ya mtoto wa msanii...

 

10 years ago

Bongo Movies

Davina Akanusha Habari “Davina Amchokonoa Wema” Adai ni Uchonganishi

Staa wa bongo movies, Halima Yahaya ‘Davina’ ameonyesha kushitushwa na habari zilizoripotiwa leo nagezeti moja la udaku limeripoti habari yenye kishwa cha habari “Davina Amchokokoa Wema” kitu ambacho Davina amedai ni uchanganishi kati yake na Staa mwenzake Wema Sepetu.

Gazeti hilo limedai kuwa Davina  alisema kuwa  anamshukuru Mungu kwa mawanae kutimiza miaka miwili kwani kuna watu wanatafuta watoto mpaka sasa hawajapata.

Davina aliyaongea hayo katika birthday ya mwanae iliyofanyika ...

 

9 years ago

Global Publishers

Alisafiri mpokee basi ajue ulimmisi shosti

shutterstock_321381809Shangingi mie nimerejea tena leo na mada mpya kabisa, unaweza kuwa umeshajifunza kwa kungwi wako lakini kwangu ndiyo kwanza nagusia, hivyo usinichoke, wewe soma taratibu nikujuze mambo muhimu kwani wanawake wengi tukishaolewa ndiyo tunaona tumefika.

Wapo walioolewa na wanaume wanaofanya kazi za kusafiri, pia wapo ambao waume zao hupendelea kusafiri pale anapopata likizo ofisini kwake, shosti, mume akisafiri anakuwa amepata upenyo wa kupumzika na kelele zako nyumbani na za watoto wenu, sasa...

 

10 years ago

GPL

MENINAH KUMWANIKA MCHUMB’AKE

Stori: Andrew Carlos
BAADA ya kuandamwa na skendo kuwa anatoka kimapenzi na mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, mkali wa Bongo Fleva, Meninah Abdulkareem ‘Meninah la Divah’ amesema yuko mbioni kumtambulisha mchumba wake. Meninah Abdulkareem ‘Meninah la Divah’. Akipiga stori na gazeti hili, Meninah ambaye ni zao kutoka shindano la kuibua vipaji vya kuimba, Bongo Star Search...

 

10 years ago

GPL

BABA’AKE CHEKA AANGUA KILIO

NA DANSTAN SHEKIDELE/Morogoro WATOTO wa bondia bingwa wa dunia anayetambuliwa na shirikisho la WBE, Francis Cheka aliye gerezani, wamemliza babu yao, Boniface Cheka ambaye ni baba mzazi wa mwanamasumbwi huyo wakati alipowatembelea nyumbani kwao, kwa mara ya kwanza tangu kutolewa kwa hukumu hiyo wiki mbili zilizopita. Baba wa bondia Francis Cheka Boniface Cheka akiwa mwenye huzuni. Mzee huyo ambaye makazi yake yako Dar es Salaam...

 

11 years ago

GPL

WOLPER AKATAA SHOBO KWA MCHUMBA ‘AKE

Na Mayasa Mariwata
THE Ijumaa Sexiest Girl 2012, Jacqueline Wolper amesema kuwa, ana imani kubwa na mpenzi wake wa sasa aliyemtambulisha kwa jina la G Modo akiamini atampoza machungu aliyoyapata kutoka kwa mpenzi wake wa zamani, Abdallah Mtoro ‘Dallas’ huku akiwatahadharisha mashosti zake kutoleta shobo (kuwa mbali naye). Jacqueline Wolper. Akipiga stori na paparazi wetu hivi karibuni, Wolper alisema anafikia...

 

10 years ago

GPL

LINAH AJIWEKA KWA KAKA’AKE ZARI

Musa Mateja
MREMBO anayefanya poa kunako Bongo Fleva, Estelinah Sanga ‘Linah’, anadaiwa  ‘kujiegesha’ kimahaba kwa shemeji yake Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ aitwaye William Bugeme ‘Boss Mtoto’ ambaye ni kaka wa Zarina Hassan ‘Zari’ kiukoo. Ndani ya Ukumbi wa Triple 7 uliyopo Kawe  jijini Dar hivi karibuni, paparazi wetu aliwaona wakiingia sambamba na...

 

10 years ago

Vijimambo

Mwamvita Makamba aumbuliwa mchana kweupee na X-bestfriend ake!

Ile nyumba ya kifahari ambayo ilifunguliwa kwa maulid. shambra-shambra, na mbwe mbwe za hali ya juu tukiaminishwa kuwa ni yake kumbe mmmh! Jisomee mwenye hapo chini:

Ujumbe kwa wasichana na wadada wa Kitanzania: Ridhika na ulicho nacho. Msipende kuiga maisha ya IG wengi wanaishi maisha ya kufoji hayana huwalisia wowote. Na wale wadada ambao mnakatishwa tamaa na hizi fake life somo hili hapa! Wanasema ukiona vya elea juwa vimeundwa! Tatizo si kuelea tatizo ni nani aliye viunda?! Sasa nibora...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani