Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwamvita Makamba aumbuliwa mchana kweupee na X-bestfriend ake!

Ile nyumba ya kifahari ambayo ilifunguliwa kwa maulid. shambra-shambra, na mbwe mbwe za hali ya juu tukiaminishwa kuwa ni yake kumbe mmmh! Jisomee mwenye hapo chini:

Ujumbe kwa wasichana na wadada wa Kitanzania: Ridhika na ulicho nacho. Msipende kuiga maisha ya IG wengi wanaishi maisha ya kufoji hayana huwalisia wowote. Na wale wadada ambao mnakatishwa tamaa na hizi fake life somo hili hapa! Wanasema ukiona vya elea juwa vimeundwa! Tatizo si kuelea tatizo ni nani aliye viunda?! Sasa nibora...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Happy Birthday Mwamvita Makamba

971526_459297197491108_899586007_n

Our friendship is made of gold and it will never rust, will stay precious until the world turns to dust.

Happy Birthday and may your every wish come true!

 

10 years ago

Mwananchi

Mwamvita Makamba anusurika kifo Afrika Kusini

Mtoto wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Yusufu Makamba, Mwamvita Makamba amenusurika kifo nchini Afrika Kusini baada ya kundi la watu wasiojulikana kuvamia gari lake na kumrushia risasi.

 

10 years ago

Michuzi

Moto wa burudani kuwaka Coco beach mwaka mpya kesho mchana kweupee!

Wapenzi wa burudani  ya muziki wa kizazi kipya  watapata burudani ya fungua mwaka kutoka kwa magwiji wa muziki wa kizazi kipya ambao wanatamba nchini katika tamasha la  wazi la maisha murua na Vodacom katika ufukwe wa Coco beach jijini Dar es Salaam.Baadhi ya magwiji hao ni Profesa J,Temba,Chege,Roma Mkatoliki na wengineo wengi.
Tamasha hili  litakalokutanisha magwiji wa bongo fleva ambalo limeanza kuwa gumzo la  jiji kutokana na kuwa na burudani za aina mbalimbali kwa ajili ya kukonga nyoyo...

 

10 years ago

GPL

LINAH & RECHO WAFANYA MAMBO YA AIBU KWEUPEE

Estelina Sanga ‘Linah’ na shostito wake, Winfrida Josephate ‘Recho’ wakilishana keki kwa mdomo.
Na MUSA MATEJA/ijumaawikienda Hamnazo? Masistaduu wa Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’ na shostito wake, Winfrida Josephate ‘Recho’, wamefanya mambo ya aibu mbele ya kadamnasi. Tukio hilo la aibu lililoshuhudiwa na Ijumaa Wikienda, lilijiri hivi karibuni usiku kwenye bwawa la...

 

10 years ago

GPL

MENINAH KUMWANIKA MCHUMB’AKE

Stori: Andrew Carlos
BAADA ya kuandamwa na skendo kuwa anatoka kimapenzi na mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, mkali wa Bongo Fleva, Meninah Abdulkareem ‘Meninah la Divah’ amesema yuko mbioni kumtambulisha mchumba wake. Meninah Abdulkareem ‘Meninah la Divah’. Akipiga stori na gazeti hili, Meninah ambaye ni zao kutoka shindano la kuibua vipaji vya kuimba, Bongo Star Search...

 

11 years ago

GPL

BETHIDEI YAWAGOMBANISHA DAVINA, SHOSTI’AKE

Stori: Na Hamida Hassan SHEREHE ya bethidei ya msanii wa filamu Vivian Minza ambaye ni shosti wa Halima Yahya ‘Davina’ iliyofanyika Mei 1, mwaka huu imedaiwa kuwa ndiyo chanzo cha kuvunja urafiki wa wawili hao. Msanii wa filamu Bongo, Halima Yahya ‘Davina’. Imeelezwa kuwa kutofautiana kwao ni Davina kutokwenda katika sherehe hiyo, ili kujiridhisha na madai hayo, paparazi wetu alimtafuta Davina,...

 

10 years ago

GPL

BABA’AKE CHEKA AANGUA KILIO

NA DANSTAN SHEKIDELE/Morogoro WATOTO wa bondia bingwa wa dunia anayetambuliwa na shirikisho la WBE, Francis Cheka aliye gerezani, wamemliza babu yao, Boniface Cheka ambaye ni baba mzazi wa mwanamasumbwi huyo wakati alipowatembelea nyumbani kwao, kwa mara ya kwanza tangu kutolewa kwa hukumu hiyo wiki mbili zilizopita. Baba wa bondia Francis Cheka Boniface Cheka akiwa mwenye huzuni. Mzee huyo ambaye makazi yake yako Dar es Salaam...

 

10 years ago

GPL

LINAH AJIWEKA KWA KAKA’AKE ZARI

Musa Mateja
MREMBO anayefanya poa kunako Bongo Fleva, Estelinah Sanga ‘Linah’, anadaiwa  ‘kujiegesha’ kimahaba kwa shemeji yake Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ aitwaye William Bugeme ‘Boss Mtoto’ ambaye ni kaka wa Zarina Hassan ‘Zari’ kiukoo. Ndani ya Ukumbi wa Triple 7 uliyopo Kawe  jijini Dar hivi karibuni, paparazi wetu aliwaona wakiingia sambamba na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani