Mwamvita Makamba anusurika kifo Afrika Kusini
Mtoto wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Yusufu Makamba, Mwamvita Makamba amenusurika kifo nchini Afrika Kusini baada ya kundi la watu wasiojulikana kuvamia gari lake na kumrushia risasi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog04 Jun
Happy Birthday Mwamvita Makamba
Our friendship is made of gold and it will never rust, will stay precious until the world turns to dust.
Happy Birthday and may your every wish come true!
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-_imGRabQYUc/VcaN8XrFbxI/AAAAAAAAC3g/_EYDnCFiK0s/s72-c/Screenshot_2015-08-08-18-02-20.png)
Mwamvita Makamba aumbuliwa mchana kweupee na X-bestfriend ake!
![](http://2.bp.blogspot.com/-_imGRabQYUc/VcaN8XrFbxI/AAAAAAAAC3g/_EYDnCFiK0s/s320/Screenshot_2015-08-08-18-02-20.png)
Ujumbe kwa wasichana na wadada wa Kitanzania: Ridhika na ulicho nacho. Msipende kuiga maisha ya IG wengi wanaishi maisha ya kufoji hayana huwalisia wowote. Na wale wadada ambao mnakatishwa tamaa na hizi fake life somo hili hapa! Wanasema ukiona vya elea juwa vimeundwa! Tatizo si kuelea tatizo ni nani aliye viunda?! Sasa nibora...
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Wasomi: Kifo cha Nelson Mandela hakitaathiri siasa za Afrika Kusini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycMvbjqO9ikayxyhkFlpUsFWWvI4dwIoFrr8zgIAJIHoxvu4sdrX4OfB8ili-oe*tEnuukJodGgoEuhImI7E1BOQ/msung.gif?width=650)
MSUNGU ANUSURIKA KIFO
10 years ago
GPLANUSURIKA KIFO UBUNGO
10 years ago
GPLMAMA ANUSURIKA KIFO
11 years ago
Habarileo14 Dec
Lowassa anusurika kifo
ABIRIA kadhaa akiwemo Waziri Mkuu wa zamani ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, wamenusurika kufa baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupasuka matairi yote manne ya nyuma wakati ilipokuwa ikitua katika Uwanja wa Ndege wa Arusha uliopo eneo la Kisongo, jana mchana.
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
Mbowe anusurika kifo ajalini
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka jijini Mwanza kwenda wilayani Ngara, Kagera kupata ajali. Ajali hiyo ilitokea jana...
11 years ago
GPL24 Mar