Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwamvita Makamba anusurika kifo Afrika Kusini

Mtoto wa aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Yusufu Makamba, Mwamvita Makamba amenusurika kifo nchini Afrika Kusini baada ya kundi la watu wasiojulikana kuvamia gari lake na kumrushia risasi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Happy Birthday Mwamvita Makamba

971526_459297197491108_899586007_n

Our friendship is made of gold and it will never rust, will stay precious until the world turns to dust.

Happy Birthday and may your every wish come true!

 

10 years ago

Vijimambo

Mwamvita Makamba aumbuliwa mchana kweupee na X-bestfriend ake!

Ile nyumba ya kifahari ambayo ilifunguliwa kwa maulid. shambra-shambra, na mbwe mbwe za hali ya juu tukiaminishwa kuwa ni yake kumbe mmmh! Jisomee mwenye hapo chini:

Ujumbe kwa wasichana na wadada wa Kitanzania: Ridhika na ulicho nacho. Msipende kuiga maisha ya IG wengi wanaishi maisha ya kufoji hayana huwalisia wowote. Na wale wadada ambao mnakatishwa tamaa na hizi fake life somo hili hapa! Wanasema ukiona vya elea juwa vimeundwa! Tatizo si kuelea tatizo ni nani aliye viunda?! Sasa nibora...

 

11 years ago

Mwananchi

Wasomi: Kifo cha Nelson Mandela hakitaathiri siasa za Afrika Kusini

Kifo cha Shujaa aliyepigania Uhuru wa Afrika Kusini, Nelson Mandela kimedaiwa hakitaathiri kwa namna yoyote mwelekeo wa siasa na uchumi wa nchi hiyo kwa siku zijazo.

 

10 years ago

GPL

MSUNGU ANUSURIKA KIFO


Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu Bongo, Stanley Msungu ‘Senetor’ amenusurika kifo baada ya kupata ajali na gari lake kuharibika vibaya. Msanii wa filamu Bongo, Stanley Msungu ‘Senetor’. Akipiga stori na gazeti hili, Msungu alisema anamshukuru Mungu kwani ungekuta sasa hivi ni maiti kwani ajali ilikuwa ni mbaya maeneo ya Bondeni, jijini Dar akielekea nyumbani kwake Tegeta ambapo gari lake...

 

10 years ago

GPL

ANUSURIKA KIFO UBUNGO

Pikipiki iliyopata ajali ikiwa chini. Umati wa watu ukishuhudia ajali hiyo.
Daladala iliyojitolea kumsaidia…

 

10 years ago

GPL

MAMA ANUSURIKA KIFO

Sehemu ya gari ilipogongwa. Pembeni ni uzio wa magari uliowekwa na kamapuni ya Strabag. Umati wa watu wakiwa eneo la ajali  MAMA mmoja ambaye hakufahamika jina lake mara moja, amenusurika kifo baada ya gari lake aina…

 

11 years ago

Habarileo

Lowassa anusurika kifo

ABIRIA kadhaa akiwemo Waziri Mkuu wa zamani ambaye kwa sasa ni Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, wamenusurika kufa baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupasuka matairi yote manne ya nyuma wakati ilipokuwa ikitua katika Uwanja wa Ndege wa Arusha uliopo eneo la Kisongo, jana mchana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbowe anusurika kifo ajalini

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amenusurika kifo baada ya gari alilokuwa akisafiria kutoka jijini Mwanza kwenda wilayani Ngara, Kagera kupata ajali. Ajali hiyo ilitokea jana...

 

11 years ago

GPL

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani