WOLPER AKATAA SHOBO KWA MCHUMBA ‘AKE
![](http://api.ning.com:80/files/wBi6IgNyVl8wtwChnt1OalfND5crqiZ6FBxqxpNZN9Uq9G3weTH8zUEw4Cwj8Yi5-2Jht0FtLH3l4ZZNGRNi9apqde*gBTKE/wolper.jpg?width=650)
Na Mayasa Mariwata THE Ijumaa Sexiest Girl 2012, Jacqueline Wolper amesema kuwa, ana imani kubwa na mpenzi wake wa sasa aliyemtambulisha kwa jina la G Modo akiamini atampoza machungu aliyoyapata kutoka kwa mpenzi wake wa zamani, Abdallah Mtoro ‘Dallas’ huku akiwatahadharisha mashosti zake kutoleta shobo (kuwa mbali naye). Jacqueline Wolper. Akipiga stori na paparazi wetu hivi karibuni, Wolper alisema anafikia...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55IZuotpOleYHwgBmkuy*eWvV2MEPVKDvxj6lfpWgAVMJv0hnvQjhnyGaF7xwDDkuKxakSo9D8mesgiIZMSS1v7X/wolpeee.jpg?width=650)
WOLPER AMTAMBULISHA MCHUMBA MPYA
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/5jUGfjGXSLA/default.jpg)
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Wolper Alia na Wolper “FEKI” Kwa Kuwachuna Watu Kwa Kutumia Jina Lake!!
"Jacq fake huyu anaomba pesa sana na kajisajili Jacq Massawe na na mie jina langu ni Jacq Wolper Massawe so kuweni makini na kama mkiweza nisaidieni kumwambia chochote kwani inaniweka pabaya sana mimi kiukweli naweza kujakutana na mtu akanikaba kwakumchuna bila mafanikio hahahha aichekeshi ila huo ndo ukweli kwamba ananitafutia matatizo huyu binadam naukimpigia nisaut i yangu kabisa na ananijua kuliko navyojijua yani kila napoenda anajua.
Huyu jamani anaomba sana pesa tigo pesa na whatsap...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kZzo8PgK6ncfurr7tpA4-CyWAyD7ItAgolaz-Rhf694AsMMHwg4G2K*z6TcDV3i8W9h0A8UEQF*1jklXfghfzVUBPpBqjzn6/Linah.gif?width=650)
LINAH AJIWEKA KWA KAKA’AKE ZARI
11 years ago
Michuzi18 Feb
KIJANA MTANASHATI ATAFUTA MCHUMBA WA KUOA: Ona picha yake na sifa za mchumba huyo anayemtaka apo chini
![](https://4.bp.blogspot.com/-yF_B61RPSXE/UwNobcg0nQI/AAAAAAAABqg/22IqbDfuLN4/s1600/OSCAR.jpg)
Master Oscar John
Mimi ni kijana wa kitanzania ambaye nimekulia katika maadili ya kidini na malezi mazuri ya kifamia, napenda nichukue fursa hii nitangaze nafasi ya mchumba ambaye kama ata kidhi vigezo vyangu atakuwa ndio mke wangu wa ndoa. Kifupi mi ni mtaalam wa IT naishi Dar es salaam. Mchumba ninaye mtaka ni vema awe amekulia malezi ya kidini kwa sababu mimi ni mcha Mungu na napenda kusali kwa hiyo napenda na yeye awe hivyo, malezi yangu ni ya dini ya kikristo ni vema na yeye akawa...
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Kijana akataa kula kwa mwaka mmoja
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtGCNXxluIenDwFa8MPbZupCURw5IVJPbeMsOceWSkvXEQ5CAL02-yrnIWCp0o6nisDQra5HvHacUeu2-z10ulEr/MTOTO.jpg?width=650)
MAUAJI SIKUKUU! MCHUMBA AUAWA KWA KUCHOMWA VISU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2VGrzzXedu1z5NTlxXEnVg*e3S84T-4b86qVoyDl2T1BKVF5vP-MKFp0MUPIO7MHRaDnoxiXu8aFXlaDn9PSFSlA7rqWjZ8e/meninah.jpg?width=650)
MENINAH KUMWANIKA MCHUMB’AKE