Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WOLPER AMTAMBULISHA MCHUMBA MPYA

Stori: IMELDA MTEMA
STAA wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper ameamua kumuweka bayana mchumba wake wa sasa anayejulikana kwa jina la G. Modo baada ya kukaa kimya muda mrefu tangu alipoachana na Abdallah Mtoro ‘Dallas’. Jacqueline Wolper akiwa na mchumba wake wa sasa G. Modo. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Wolper alisema alikuwa kimya kwa muda mrefu kwa ajili ya kutafakari kwanza maana asingeweza...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WOLPER AKATAA SHOBO KWA MCHUMBA ‘AKE

Na Mayasa Mariwata
THE Ijumaa Sexiest Girl 2012, Jacqueline Wolper amesema kuwa, ana imani kubwa na mpenzi wake wa sasa aliyemtambulisha kwa jina la G Modo akiamini atampoza machungu aliyoyapata kutoka kwa mpenzi wake wa zamani, Abdallah Mtoro ‘Dallas’ huku akiwatahadharisha mashosti zake kutoleta shobo (kuwa mbali naye). Jacqueline Wolper. Akipiga stori na paparazi wetu hivi karibuni, Wolper alisema anafikia...

 

9 years ago

Mtanzania

Prezzo amtambulisha mpenzi mpya

PrezzoNAIROBI, KENYA

NYOTA wa muziki nchini Kenya, Jackson Makini ‘CMB Prezzo’, amemtambulisha mpenzi wake mpya kupitia akaunti yake ya Instagram.

Msanii huyo kwa sasa anajulikana kwa jina la ‘Mfalme Mswati’ kutokana na tabia yake ya kubadilisha wasichana kila baada ya muda.

Siku za hivi karibuni msanii huyo alionekana kuwa mtulivu tofauti na miaka iliyopita, ambapo msanii huyo alikuwa na sifa ya kugombanisha warembo, lakini kwa sasa amekuwa na aina mpya ya kubadilisha wasichana kila...

 

10 years ago

GPL

WEMA AMTAMBULISHA MSANII MPYA WA KAMPUNI YAKE

Wema Sepetu, akiwashukuru mashabiki zake kwa sapoti waliyompa kwa mwaka 2014 na kumtambulisha msanii Luna. Msanii wa Bongo Fleva, Ally Luna (kushoto), akiimba wimbo es kumsifia Wema mara baada ya kutambulishwa kuwa chini ya Kampuni ya Endless Fame.…

 

10 years ago

CloudsFM

Wema Sepetu amtambulisha msanii mpya kwenye kampuni yake ya Endless Fame

Mkurugenzi wa kampuni ya Endless Fame,Wema Sepetu,akimtambulisha msanii mpya,Ally Luna ambaye atakuwa chini ya usimamizi wa kampuni hiyo ambapo alitambulishwa usiku wa kuamkia Dec 29 kwa mashabiki kwenye ukumbi wa Kibo Complex uliopo Tegeta Dar es Salam. Shoo hiyo ilisindikizwa na wasanii mbalimbali akiwemo , Izzo Bizness, Barnaba, Bob Junior, God Zilla, Mirror na hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye event hiyo.

Izzo B.Bob Junior.Petitman

Msanii Linex.Msanii mpya wa Endless Fame,Ally Luna.

 

10 years ago

Vijimambo

ROMARIO NA MCHUMBA WAKE MPYA WANASEMA UMRI NI SAWA NA 1,2,3

Romario mwenye umri wa miaka 48 na mchumba wake ni miaka 19 inaonyesha kuwa Brazil walivyochuka ubigwa wa dunia mwaka 1994 mashindano yalifanyika Marekani. Na Romario kufunga magoli 5 kwenye mashinda hayo  mrembo huyu alikuwa ajazaliwa piga hesabu mwenyewe na utajua wako tofauti miaka ngapi chezea mapenzi wewe jipange wanaume hawazeeke.Mrembo anaitwa Dixie Pratt mwenye umri wa miaka 19 na Romario ni 48 miaka 29 zaidi ya mpenzi wake.Bata batani pande za Aruba Romario na tunda lake changa bado...

 

11 years ago

Michuzi

KIJANA MTANASHATI ATAFUTA MCHUMBA WA KUOA: Ona picha yake na sifa za mchumba huyo anayemtaka apo chini


Master Oscar John
Mimi ni kijana wa kitanzania ambaye nimekulia katika maadili ya kidini na malezi mazuri ya kifamia, napenda nichukue fursa hii nitangaze nafasi ya mchumba ambaye kama ata kidhi vigezo vyangu atakuwa ndio mke wangu wa ndoa. Kifupi mi ni mtaalam wa IT naishi Dar es salaam.  Mchumba ninaye mtaka ni vema awe amekulia malezi ya kidini kwa sababu mimi ni mcha Mungu na napenda kusali kwa hiyo napenda na yeye awe hivyo, malezi yangu ni ya dini ya kikristo ni vema na yeye akawa...

 

10 years ago

Bongo5

Jordin Sparks amdis ex-mchumba wake Jason Derulo kwenye wimbo mpya ‘How Bout Now’ remix

Jordin Sparks ametoa wimbo mpya ambao ndani yake amemzungumzia aliyekuwa mchumba wake Jason Derulo ambaye waliachana September mwaka huu baada ya kudumu kwa miaka mitatu. Haya ni baadhi ya mashairi ya wimbo huo yanayozungumzia uhusiano wao: “Remember I deleted all my other guys’ numbers out my phone for ya? / Remember when you broke your […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Wolper Anaswa na Kigogo Mpya!

Achilia mbali akina pedeshee Mangi, Dallas na Gee Modal, kigogo mpya wa staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper Massawe safari hii amenaswa laivu wakijiachia kwa raha zao, Risasi Jumamosi lina cha kushika mkononi.
Kwa mujibu wa chanzo cha gazeti la risasi la leo, kigogo huyo ni mtu mwenye fedha zake aitwaye Jimmy Mgaya ambaye ni Mbongo mfanyabiashara aishie nchini Afrika Kusini ‘Sauz’.

Chanzo hicho kilishusha data kuwa jamaa huyo ndiye aliyempangia Wolper nyumba ya kifahari iliyopo ushuani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani