WOLPER AMTAMBULISHA MCHUMBA MPYA
![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55IZuotpOleYHwgBmkuy*eWvV2MEPVKDvxj6lfpWgAVMJv0hnvQjhnyGaF7xwDDkuKxakSo9D8mesgiIZMSS1v7X/wolpeee.jpg?width=650)
Stori: IMELDA MTEMA STAA wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper ameamua kumuweka bayana mchumba wake wa sasa anayejulikana kwa jina la G. Modo baada ya kukaa kimya muda mrefu tangu alipoachana na Abdallah Mtoro ‘Dallas’. Jacqueline Wolper akiwa na mchumba wake wa sasa G. Modo. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Wolper alisema alikuwa kimya kwa muda mrefu kwa ajili ya kutafakari kwanza maana asingeweza...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/5jUGfjGXSLA/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wBi6IgNyVl8wtwChnt1OalfND5crqiZ6FBxqxpNZN9Uq9G3weTH8zUEw4Cwj8Yi5-2Jht0FtLH3l4ZZNGRNi9apqde*gBTKE/wolper.jpg?width=650)
WOLPER AKATAA SHOBO KWA MCHUMBA ‘AKE
9 years ago
Mtanzania10 Nov
Prezzo amtambulisha mpenzi mpya
NAIROBI, KENYA
NYOTA wa muziki nchini Kenya, Jackson Makini ‘CMB Prezzo’, amemtambulisha mpenzi wake mpya kupitia akaunti yake ya Instagram.
Msanii huyo kwa sasa anajulikana kwa jina la ‘Mfalme Mswati’ kutokana na tabia yake ya kubadilisha wasichana kila baada ya muda.
Siku za hivi karibuni msanii huyo alionekana kuwa mtulivu tofauti na miaka iliyopita, ambapo msanii huyo alikuwa na sifa ya kugombanisha warembo, lakini kwa sasa amekuwa na aina mpya ya kubadilisha wasichana kila...
10 years ago
GPLWEMA AMTAMBULISHA MSANII MPYA WA KAMPUNI YAKE
10 years ago
CloudsFM29 Dec
Wema Sepetu amtambulisha msanii mpya kwenye kampuni yake ya Endless Fame
Mkurugenzi wa kampuni ya Endless Fame,Wema Sepetu,akimtambulisha msanii mpya,Ally Luna ambaye atakuwa chini ya usimamizi wa kampuni hiyo ambapo alitambulishwa usiku wa kuamkia Dec 29 kwa mashabiki kwenye ukumbi wa Kibo Complex uliopo Tegeta Dar es Salam.
Shoo hiyo ilisindikizwa na wasanii mbalimbali akiwemo , Izzo Bizness, Barnaba, Bob Junior, God Zilla, Mirror na hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye event hiyo.
Izzo B.
Bob Junior.
Petitman
Msanii Linex.
Msanii mpya wa Endless Fame,Ally Luna.
10 years ago
Vijimambo21 Jan
ROMARIO NA MCHUMBA WAKE MPYA WANASEMA UMRI NI SAWA NA 1,2,3
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/20/24DE9A0A00000578-0-image-a-12_1421756414358.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/20/24DE99E600000578-0-image-m-2_1421756280545.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/20/24DEC7F500000578-2918194-image-a-23_1421757051807.jpg)
11 years ago
Michuzi18 Feb
KIJANA MTANASHATI ATAFUTA MCHUMBA WA KUOA: Ona picha yake na sifa za mchumba huyo anayemtaka apo chini
![](https://4.bp.blogspot.com/-yF_B61RPSXE/UwNobcg0nQI/AAAAAAAABqg/22IqbDfuLN4/s1600/OSCAR.jpg)
Master Oscar John
Mimi ni kijana wa kitanzania ambaye nimekulia katika maadili ya kidini na malezi mazuri ya kifamia, napenda nichukue fursa hii nitangaze nafasi ya mchumba ambaye kama ata kidhi vigezo vyangu atakuwa ndio mke wangu wa ndoa. Kifupi mi ni mtaalam wa IT naishi Dar es salaam. Mchumba ninaye mtaka ni vema awe amekulia malezi ya kidini kwa sababu mimi ni mcha Mungu na napenda kusali kwa hiyo napenda na yeye awe hivyo, malezi yangu ni ya dini ya kikristo ni vema na yeye akawa...
10 years ago
Bongo526 Nov
Jordin Sparks amdis ex-mchumba wake Jason Derulo kwenye wimbo mpya ‘How Bout Now’ remix
10 years ago
Bongo Movies02 May
Wolper Anaswa na Kigogo Mpya!
Achilia mbali akina pedeshee Mangi, Dallas na Gee Modal, kigogo mpya wa staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper Massawe safari hii amenaswa laivu wakijiachia kwa raha zao, Risasi Jumamosi lina cha kushika mkononi.
Kwa mujibu wa chanzo cha gazeti la risasi la leo, kigogo huyo ni mtu mwenye fedha zake aitwaye Jimmy Mgaya ambaye ni Mbongo mfanyabiashara aishie nchini Afrika Kusini ‘Sauz’.
Chanzo hicho kilishusha data kuwa jamaa huyo ndiye aliyempangia Wolper nyumba ya kifahari iliyopo ushuani...