Aliyedaiwa kufa kwa ebola azikwa
Mwili wa Salome Richard (17) aliyefariki dunia katika Hospitali Teule ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza akidaiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa ebola ulizikwa juzi katika makaburi ya misheni mjini hapa chini ya uangalizi maalumu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Aug
Aliyehisiwa kufa kwa ebola azua mjadala Geita
Utata umegubika kifo cha Bertha Boniface (25) ambaye amefia Hospitali ya Wilaya Geita, kutokana na uvumi kuwa kifo chake kinatokana na ugonjwa wa ebola. Hata hivyo, madai hayo yamekanushwa na uongozi wa wilaya hiyo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tV6jtHhMLWxGcTy-9hUVyF38Ip4r5yQ54hk9vqx4hwI7cv1o42e0xA5FacLLe0eanZULbhRDHdE-yQdKgJ5LrkVsCIliF0NR/kifo.jpg?width=650)
KIFO TATA! ALIYEDAIWA KUUAWA KWA KIPIGO CHA POLISI, UKWELI WAJULIKANA
Haruni Sanchawa na Makongoro Oging’
KIFO cha mfanyabiashara aliyeshikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Stakishari, Ukonga jijini Dar es Salaam, Liberatus Damiani Temu (55) kilichodaiwa kilitokana na kipigo kutoka kwa askari wa kituo hicho sasa ukweli umejulikana. Waombolezaji wakitoa heshima za mwisho kwa marehemu, Liberatus Damiani Temu (55) anayedaiwa kufariki kiutata.
Chanzo makini kililiambia gazeti hili kuwa...
10 years ago
Habarileo11 Feb
Ajinyonga hadi kufa kwa gauni la mkewe kwa wivu
MKAZI wa kijiji cha Nyakabanga kata ya Butelankuzi, Bukoba vijijini, Eliud Charles (30) anadaiwa kujinyonga hadi kufa kwa kutumia gauni la mkewe, Velidiana Eliud kutokana na wivu wa mapenzi.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3cG9Qtne91Q/VcjjLSIWrJI/AAAAAAAHvzY/OBk5UkY5LAE/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
NEWS ALERT: MKIMBIZI KUTOKA BURUNDI AFARIKI MKOANI KIGOMA KWA UGONJWA USIOJULIKANA, AZIKWA KWA TAHADHARI KUBWA
Habari na picha na Editha Karlo, wa Globu ya Jamii Kigoma
MTU mmoja ambaye ni raia kutoka nchi ya Burundi amefariki usiku wa kuamkia leo katika hospitali ya Kigoma kwa ugonjwa usiojulikana.
Mgonjwa huyo amezikwa leo jioni kwa tahadhari zote zihusuzo magonjwa ya kuambukizwa.
Nguo, vitanda, mashuka na vitu vyake vyote alivyokuwa akitumia wakati wa uhai wake vimechomwa moto mara tu baada ya mwili wake kuzikwa eneo la Masanga nje kidogo ya mji wa Kigoma.
(Picha zinaonesha hatua mbalimbali toka...
![](http://2.bp.blogspot.com/-3cG9Qtne91Q/VcjjLSIWrJI/AAAAAAAHvzY/OBk5UkY5LAE/s320/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Mgonjwa huyo amezikwa leo jioni kwa tahadhari zote zihusuzo magonjwa ya kuambukizwa.
Nguo, vitanda, mashuka na vitu vyake vyote alivyokuwa akitumia wakati wa uhai wake vimechomwa moto mara tu baada ya mwili wake kuzikwa eneo la Masanga nje kidogo ya mji wa Kigoma.
(Picha zinaonesha hatua mbalimbali toka...
9 years ago
Mwananchi20 Aug
Aliyedaiwa kujifanya daktari afariki dunia
Aliyekamatwa kwa tuhuma za kujifanya daktari Desemba 8, mwaka jana katika Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu na Upasuaji wa Ubongo (Moi), Dismas Macha amefariki dunia katika Hospitali ya Temeke, Dar es Salaam.
10 years ago
Mwananchi04 Mar
Komba azikwa kwa tingatinga
>Safari ya mwisho ya mbunge wa Mbinga Magharibi jana ilihitimishwa saa 9.25 alasiri wakati mwili wake ulipofunikwa na mfuniko mkubwa wa zege uliobebwa na gari maarufu kwa jina la “kijikoâ€.
11 years ago
Michuzi18 Jun
UHAMIAJI WAKANUSHA JUU YA MHAMIAJI ALIYEDAIWA KUTOROSHWA
![IMG-20140618-WA0007](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/Nw2tH3F2BKXR7zEDR2zgqZGVnBtwl_RrYyTE27oxOQXP05Sz3vgSudB12QGKSoF_fEgEPdzgpEJiNOhoFwgJe1csikZs9Pqd0Pm-i86FdNrjAE9QtXCJ0Ktl0OCGV_wr0LLTO5_rlVhB=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140618-wa0007.jpg?w=627&h=470)
![IMG-20140618-WA0006](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/4CnZQ_28lRHTTytfHyho_EliryV_vXPPI5oq177tACisV_uTb0CFmbXYoBmv22IpQBBz7qeYb8V1mEexRd-0krDl0fhBuXxdvuCNqIJEUAyJyf2TUADQk_TmzlhadONOFC18=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140618-wa0006.jpg?w=627)
![IMG-20140618-WA0008](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/a88yesYwv8Zw0XBaT9ajv4YkU-2GD9YjbFErBvgj8H8MStQ9_78wR5q8eQ0vAT5LuvBTeSFCT4WzjYM4QlMY38AaUFEw8eLoSaLBCQKAE9VIo5LhC7ecsNs2xo-dwvT-3yzmxl-4nzOg=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/06/img-20140618-wa0008.jpg?w=627&h=470)
Afisa Uhamiaji wa mkoa wa Arusha Daniel Nanomba amekanusha vikali taarifa za aliyekuwa Meneja Mauzo wa kampuni ya Tanzanite One,Jaques Beytel anayedaiwa kutoroshwa na kueleza kuwa mtu huyo alipatiwa notice ya kuondoka nchi ambapo Juni 10 mwaka huu...
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Uchunguzi kifo cha aliyedaiwa kupigwa na polisi wakwama
Uchunguzi wa mwili wa marehemu Liberatus Matemu(55), aliyefia katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) akidaiwa kupigwa na askari polisi wa Kituo cha Stakishari umeshindwa kufanyika jana baada ya kutokea utata wa nani anatakiwa kulipa gharama za matibabu Sh260,000.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Uf5Jdma8M33kYTSd6sLgUZr**d-z97HrHDBwwVdeKph3W2mMERjkj1mE6SqA4XJWMYd4185LGddfQvfUKcolUbTciizWanKY/FRONTUWAZI.jpg?width=650)
GAIDI WA KISOMALI AUAWA, AZIKWA KWA SIRI
Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa, Pwani
MTU ambaye ametajwa kuwa ni gaidi mwenye asili ya Kisomali (jina lake halikupatikana) ambaye imeelezwa alijeruhiwa kwa risasi katika mapambano kati ya magaidi na askari wa Kituo cha Polisi Stakishari, Dar Julai 12, mwaka huu, amefariki dunia na kuzikwa kwa siri, Uwazi liko kazini. Â ....Soma zaidi===>http://bit.ly/1OsgsTp ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania