Aliyenusurika ajali ya Mbeya asimulia
>Mmoja wa majeruhi wa ajali iliyoua watu 19, Mariam Manfredy (28) aliyevunjika mguu wa kushoto, anasimulia ajali hiyo na kusema chanzo ni mwendo kasi na kuungua kwa breki.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Aliyenusurika kwenye tukio la kukanyagana asimulia
10 years ago
Mwananchi28 Jul
Polisi aliyenusurika Sitakishari asimulia alivyoua jambazi akiwa majeruhi wa risasi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwJPaxQ43zv*u8PCj6Qv0Sj14YbEnHhBscx1s2s-t8v7Qnjl2wa47VkDcRr4RiDi4gJAjex5jW3U5gKhg5dhPS24/f.jpg?width=650)
MTOTO ALIYENUSURIKA KWA MKONO WA MUNGU! AJALI YA KONTENA MAFINGA
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Majeruhi asimulia chanzo cha ajali
10 years ago
Mwananchi09 Jul
Nassari asimulia ajali, Ndesamburo kununua chopa mpya
10 years ago
Vijimambo14 Oct
Bwana harusi asimulia walivyonusa kifo ajali ya mtumbwi
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/UOKOJI.jpg)
Akizungumza na NIPASHE katika mahojiano maalum jana, Hamis alisema baada ya kuona mtumbwi ukizama, alimrukia mkewe na kumshika mkono na kisha kuanza kuogelea naye hadi nchi kavu na hivyo kunusurika kifo.
Kutokana na hali hiyo, anasema anamshukuru Mungu kwa yeye na mkewe, Mariamu (24),...
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Ajali ya ndege ya Ethiopia: Mwandishi wa BBC Emmanuel Igunza asimulia alichoshuhudia
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YhkBkmnZCiOOymhQvvuozeGWZFE3ILVhBMd4LKvZVSgyYBaABdYvwyflZmAq7MsZz-L8Psf0VtZkkZSXJG3WNWC/AJALI1.jpg?width=650)
AJALI YA MALORI MKOANI MBEYA
10 years ago
Mtanzania30 Aug
Ajali mbaya yaua 10 Mbeya
![Askari wa usalama barabarani na raia wakiangalia gari aina ya Toyota Hiace iliyopata ajali eneo la Mbalizi mkoani Mbeya na kusababisha vifo vya watu 10 na wengine kujeruhiwa. Picha na Pendo Fundisha](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/ajali-mbeya.jpg)
Askari wa usalama barabarani na raia wakiangalia gari aina ya Toyota Hiace iliyopata ajali eneo la Mbalizi mkoani Mbeya na kusababisha vifo vya watu 10 na wengine kujeruhiwa. Picha na Pendo Fundisha
Na Pendo Fundisha, Mbeya
WATU 10 wakiwemo watoto wadogo wawili, wamekufa papo hapo baada ya gari dogo la abiria aina ya Toyota Hiace kulivaa lori aina ya Fuso katika eneo la Mbalizi mkoani Mbeya.
Katika ajali hiyo iliyotokea jana saa 4 asubuhi, watu saba walijeruhiwa miongoni mwao wakiwa katika...