Nassari asimulia ajali, Ndesamburo kununua chopa mpya
Wakati Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari akisema anashindwa kuamini kilichotokea na kunusurika katika ajali ya helikopta juzi, mmiliki wa chopa hiyo, Philemon Ndesamburo amesema atanunua nyingine haraka kabla ya kuanza kampeni za Uchaguzi Mkuu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Apr
Aliyenusurika ajali ya Mbeya asimulia
>Mmoja wa majeruhi wa ajali iliyoua watu 19, Mariam Manfredy (28) aliyevunjika mguu wa kushoto, anasimulia ajali hiyo na kusema chanzo ni mwendo kasi na kuungua kwa breki.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-JS8QdqhESnE/VHmngCEtcMI/AAAAAAACTnQ/FdDpKE6-sgA/s72-c/IMG-20141129-WA0012.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA AJALI YA CHOPA HUKO KIPUNGUNI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-JS8QdqhESnE/VHmngCEtcMI/AAAAAAACTnQ/FdDpKE6-sgA/s640/IMG-20141129-WA0012.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SSgFe52WCfU/VHmniqqcLDI/AAAAAAACTnY/Q-lXePaEB1I/s640/IMG-20141129-WA0013.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gEk1iDnKHs8/VHmnk1vBUbI/AAAAAAACTng/PhQe7sZUSDM/s640/IMG-20141129-WA0010.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_2XNkXrpB3U/VHmnoGWJlUI/AAAAAAACTno/L1_u5LKbVAc/s640/IMG-20141129-WA0014.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-QB5_Z352R9k/VHmn1h7ULvI/AAAAAAACTnw/Bq7dPmcCWs4/s640/IMG-20141129-WA0016.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dY528PzjmCA/VHmn3g_uaJI/AAAAAAACTn4/ND4j5g9DvfM/s640/IMG-20141129-WA0015.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-dR0eox5NjjM/VZwVs9SxtrI/AAAAAAAAe88/lvyH7R9PPok/s72-c/nasari.jpg)
MBUNGE WA ARUMERU JOSHUA NASSARI NA AJALI YA HELKOPTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-dR0eox5NjjM/VZwVs9SxtrI/AAAAAAAAe88/lvyH7R9PPok/s640/nasari.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-7jDi1s21z2g/VZwOO6Q4SjI/AAAAAAAAe8s/_ukTjSgGjeU/s640/nasari.jpg)
Aidha taarifa hizo zinaeleza kuwa Mbunge huyo kwa Tiketi ya Chadema, na rubani wake walitoka wakiwa wazima na wapo katika Hospitali ya Kanila la Kilutheri ya Selian ya jijini Arusha.
Father Kidevu Blog inatoa pole kwa Mbunge huyo na Wapigakura...
11 years ago
Mwananchi14 Dec
Majeruhi asimulia chanzo cha ajali
Majeruhi wa basi la Burudani lililouwa watu 12 na kujeruhi wengine 93 katika Kijiji cha Taula, Kwedizinga wilayani Handeni, Tanga, wamesema chanzo cha ajali hiyo ni dereva kuendesha mwendo kasi.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rKPxTfGE80g/VZwWnsD1xAI/AAAAAAAHnmk/vxdVKeXuT4U/s72-c/20150707111148.jpg)
NEWS ALERT: MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI APATA AJALI YA CHOPA JIONI YA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-rKPxTfGE80g/VZwWnsD1xAI/AAAAAAAHnmk/vxdVKeXuT4U/s640/20150707111148.jpg)
Taarifa kamili itawajia baadae kidogo.
10 years ago
Vijimambo14 Oct
Bwana harusi asimulia walivyonusa kifo ajali ya mtumbwi
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/10/UOKOJI.jpg)
Akizungumza na NIPASHE katika mahojiano maalum jana, Hamis alisema baada ya kuona mtumbwi ukizama, alimrukia mkewe na kumshika mkono na kisha kuanza kuogelea naye hadi nchi kavu na hivyo kunusurika kifo.
Kutokana na hali hiyo, anasema anamshukuru Mungu kwa yeye na mkewe, Mariamu (24),...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oL9z5v5x1bY/ViDk68ifZEI/AAAAAAAIAYc/-NjTz1zrYS8/s72-c/chopa-2.jpg)
STOP PRESS: MBUNGE WA LUDEWA MHE DEO FILIKUNJOMBE AFARIKI KATIKA AJALI YA CHOPA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oL9z5v5x1bY/ViDk68ifZEI/AAAAAAAIAYc/-NjTz1zrYS8/s320/chopa-2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LqfJnyU--Zc/ViDk6rqWqjI/AAAAAAAIAYo/M4MKIn4JBv8/s1600/2461.jpg)
Mbunge wa Ludewa Mhe Deogratias Haule Filikunjombe (chini) amefariki dunia katia ajali ya Chopa katika hifadhi ya wanyama ya Selous, pamoja na rubani Kepteni William Silaa (juu kulia), mfanyakazi wa halmashauri ya wilaya ya Ludewa na ndugu yake Marehemu Filikunjombe ambao majina hayajapatikana mara moja.
Mhe. Deo Filikunjombe, rubani na na abiria wengine walipata matatizo ya engine ya chopa namba 5Y-DKK jana jioni wakitokea Dar kuelekea Ludewa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-LRkymnZeQmg/ViDk62H1T2I/AAAAAAAIAYg/Sko6AMTonqU/s320/f2-1.jpg)
5 years ago
BBCSwahili10 Mar
Ajali ya ndege ya Ethiopia: Mwandishi wa BBC Emmanuel Igunza asimulia alichoshuhudia
Ripoti ya awali iliyotolewa na mamlaka nchini Ethiopia imelaumu waundaji wa ndege ya Boeing 737 Max
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-2wDvB38MGZQ/VZwLW46RXOI/AAAAAAABRVA/Wl_eoKkOEew/s72-c/11707567_947512988646029_4873653115882288148_n.jpg)
MBUNGE JOSHUA NASSARI AMEPATA AJALI BAADA YA HELIKOPTA ALIYOKUWA AKIITUMIA KUKUMBWA NA DHORUBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-2wDvB38MGZQ/VZwLW46RXOI/AAAAAAABRVA/Wl_eoKkOEew/s640/11707567_947512988646029_4873653115882288148_n.jpg)
Kwa taarifa za mwanzo zinasemekana mbunge huyo amenusurika na amepata majeraha madogo lakini mmoja Wa abiria wake kavunjika mguu.Mbunge amekimbizwa katika Hosptali ya Selian na kwa mujibu wa Katibu wa mbunge hajaumia sana ila abiria wawili mmoja anajulikana kwa jina la Eve ambaye ni mmoja wa viongozi wa BAWACHA jimboni kaumia mbavu na mwingine...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania