ALIYEZAA NA SHILOLE AIBUKA
![](http://api.ning.com:80/files/aX2yEHaS8JmNGdNGvYS1B9X15twvTdA2YWGOfTOV1mRdCDmBmM0CUprlpCg1DOt8xUYwuD*EzDnRej8ymX54nsmF536B3foL/shilole.jpg?width=650)
Denis Mtima, aliyekuwa Igunga, Tabora KWA mara ya kwanza, mzazi mwenza na msanii wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Elias Makala ameibuka na kujinadi hadharani wilayani Igunga, Tabora. Tukio hilo lilitokea Februari 14, mwaka huu (Valentine’s Day) ambapo Shilole aliyekuwa amekwenda kufanya shoo mkoani humo, alishindwa kuzuia hisia zake baada ya mzazi mwenzake huyo kujitokeza na kujikuta...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies04 Jul
Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole
Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9wY6nHswW4*h-GO5gwHi6yHTGmj2RuQhdN*AbWotMHDUhUor83SJve7mojsYwbYzX5xd0yIzmdT-TGLbVfJtEpiffD2LhhT/shilole.jpg?width=650)
SHILOLE AIBUKA NA ‘SERENGETI BOY’ MPYA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KjzU17zlGiZaSmWxPS4uCIrw7oJzmpMv8JKPRKSQ5x**uOpU5sHv7tT87G8kIBRnSsfn7gcf-JTM-P3-cxLT-xhKiS6jjXzt/riyama.jpg)
ALIYEZAA NA RIYAMA ANASWA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vDJBYwRNjtApz6syzf3f2fL81qzyHWTr-yNxsaLuUdZJrW3aa-ijnhr2lwx7m0LJ6BF3FuDnNnWt3Rp--cynRlm/UWAZI.jpg)
ALIYEZAA NA ASKOFU WA KKKT ATAKA D.N.A
11 years ago
Mwananchi23 May
Aliyezaa mtoto wa ajabu Handeni alonga
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt4ALmDck2OvJDxn5wQHwOfQH0d-NAvuSknFP-gL8w9*PHdVncNe8E42shJYdObAt-MCMawrPvPmqsPOWE1DvNL4/BACKRISASI.gif?width=650)
ALIYEZAA NA NAY ANASWA NA KIDUME UGANDA
10 years ago
Bongo Movies11 May
Kauli ya Shilole na Mchumba Wake Juu ya Picha Chafu za Shilole Akiwa Stejini
Haya ndiyo maelezo ya wawili hao kuhusiana na picha za mwanadada shilole zikimuonyesha wazi sehemu ya kifua chake wakati akiwa stejini anatumbuiza huko nchini Ubelgiji.
Show ni movement na uwezi mkataza mtu kupiga picha ukiwa kwa stage'na kuna nguo za show na nguo za kutoka out kikawaida'ukiruka ruka sana sidiria ni rahisi kuchomoka akina dada mnafaham na mtu yupo stejini anakua hajitambui kama nini kimetokea coz yupo stejin kwenye mood ya kazi na kila mtu ni binadamu na ndio mana wengine...
10 years ago
Bongo515 Dec
Shilole: Sio kwamba nimeacha kuigiza ila nafatutia timing, asema filamu ijayo itakuwa ni true story (Shilole In Dar)
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya corona: Mwanamke Aliyezaa watoto wawili na Assange kwa siri ubalozini aeleza hofu yake