ALIYEZAA NA RIYAMA ANASWA!
![](http://api.ning.com:80/files/KjzU17zlGiZaSmWxPS4uCIrw7oJzmpMv8JKPRKSQ5x**uOpU5sHv7tT87G8kIBRnSsfn7gcf-JTM-P3-cxLT-xhKiS6jjXzt/riyama.jpg)
Hakuna siri ya wawili duniani! Baada ya staa wa sinema za Kibongo, Riyama Ally kumfichaficha mwanaume aliyezaa naye kwa muda mrefu, hatimaye jamaa huyo amenaswa. Staa wa sinema za Kibongo, Riyama Ally akiwa na mpenzi wake anayefahamika kwa jina moja la Haggy . Tukio hilo lililopigwa chabo na ‘mtu wetu’ lilijiri wikiendi iliyopita kwenye Ukumbi wa Chabruma uliopo Mabibo, Dar ambako kulikuwa na bethidei ya mtoto wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt4ALmDck2OvJDxn5wQHwOfQH0d-NAvuSknFP-gL8w9*PHdVncNe8E42shJYdObAt-MCMawrPvPmqsPOWE1DvNL4/BACKRISASI.gif?width=650)
ALIYEZAA NA NAY ANASWA NA KIDUME UGANDA
9 years ago
Bongo Movies03 Sep
Riyama Anaswa Laivu!
KANASWA! Staa wa filamu Bongo, Riyama Ally kwa mara ya kwanza amenaswa laivu na kijana aliyemtambulisha kama mwandani wake, akimtaja kwa jina la Idd Mwalimu Mzee, anayemzidi umri kwa miaka saba, Amani linaandika.
Sapraizi’ hiyo ilitokea saa sita mchana Jumatatu wiki hii nyumbani kwa muigizaji huyo, Mabibo jijini Dar, akiweka wazi kuwa muda wowote kuanzia sasa watafunga ndoa, kwani anampenda kwa dhati mpenziwe huyo, aliyesema ni msanii wa muziki wa Kizazi Kipya, akifanya Hip Hop.
“Yeah,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aX2yEHaS8JmNGdNGvYS1B9X15twvTdA2YWGOfTOV1mRdCDmBmM0CUprlpCg1DOt8xUYwuD*EzDnRej8ymX54nsmF536B3foL/shilole.jpg?width=650)
ALIYEZAA NA SHILOLE AIBUKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NjHDmKPq-vDJBYwRNjtApz6syzf3f2fL81qzyHWTr-yNxsaLuUdZJrW3aa-ijnhr2lwx7m0LJ6BF3FuDnNnWt3Rp--cynRlm/UWAZI.jpg)
ALIYEZAA NA ASKOFU WA KKKT ATAKA D.N.A
11 years ago
Mwananchi23 May
Aliyezaa mtoto wa ajabu Handeni alonga
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya corona: Mwanamke Aliyezaa watoto wawili na Assange kwa siri ubalozini aeleza hofu yake
10 years ago
Bongo Movies04 Jul
Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole
Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...
11 years ago
Michuzi26 Apr
MAMA ALIYEZAA WATOTO WANNE APELEKWA KATIKA KITUO MAALUMU NA WATOTO WAKE WAWILI WALIOBAKI KWA AJILI YA UANGALIZI.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SDhgST2Am3WKSjyltRAkvklhv2pdg*GlKDZbdKuVmBinTuOoyJR93N-52R3J7lkGwuLg520aQ8gSGMGlRJN96eDYrD3J6BQ8/RIYAMA.gif?width=650)
RIYAMA LAIVU!