Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ama Tibisii mtoto si rizki

Jabir Idrissa, KARIBU msomaji usikilize taarifa ya khabari inayowajia kutokea hapa Bwagamoyo. Khabari ya Kwanza – Tarehe 5 Oktoba 2015 –Taarifa ya Khabari ya Saa 2 usiku ya shirika letu la utangazaji la TBC1 ambalo tunaligharamia […]

The post Ama Tibisii mtoto si rizki appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mkunga 'amkata' mtoto mchanga shingo Uganda: Je ni uzembe ama bahati mbaya?

Maafisa wa polisi nchini Uganda wanachunguza kisa kimoja ambapo mkunga mmoja aliripotiwa kumuhudumia visivyo mama mjamzito

 

11 years ago

Michuzi

MTOTO WA AJABU AZAWALIWA IRINGA HAFAHAMIKI KAMA WA KIUME AMA WA KIKE ,MAMAKE AOMBA MSAADA

Sophia Kindamba akiwa na mwanae Junior Richard Rutta
..................................... MTOTO Junior Richard Rutta ambaye jinsia yake haieleweki anatafuta msaada utakaomuwezesha kufanyiwa uchunguzi katika hospitali ya CCBRT, jijini Dar es Salaam. Mtoto huyo mwenye miaka miwili na miezi saba anaishi na mama yake mzazi, Sophia Kindamba, mtaa wa Mtwivilla, mjini Iringa. Akiomba msaada huo, mama yake alisema jitihada za madaktari wa hospitali ya Taifa ya Muhimbili kuchunguza na hatimaye...

 

10 years ago

Vijimambo

FAHAMU: Namna ya kujibashiria rizki yako kwa kutumia kiganja cha mkono wako

Imeandaliwa na John Haule wa Rumours AfricaMstari wa rizki katika Wiki jana tuliuzungumzia mstari wa maisha au Life Line. Tuliona faida za kuutumia mstari huo kujijua ulivyo na kujua unatakiwa ufanyaje ili kufanikisha mambo yako maishani, na pia tuliona hasara za kutojua kuusoma mstari huo pia.Wapo walionipigia kutaka kujua kuwa niliwezaje kujua rais wa zamani wa Libya Kanali Muhammar Gadaffi, na rais wa zamani wa Uganda Idd Amin Dada wana alama nilizowatajia ilihali si rahisi kuwasogelea...

 

9 years ago

GPL

WAMEROGWA AMA?

Jux na Vee Money. Andrew Carlos PATA picha upo eneo tulivu, masikioni umeweka ‘headphones’ na unasikiliza nyimbo za wakali wa muziki Bongo, unaanza na nyimbo za Juma Musa ‘Jux’ kisha unafuatia za mkali wa Hip Hop, Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’.Hamu inakuwa haijaisha vizuri kwa upande wa Hip Hop, unaamua kusikiliza nyimbo za Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’ kisha unachukuwa juisi na kumalizia fundo la mwisho. Nikki wa...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Ama G – Nimebadilika

59ecd0dc-6b19-4fc3-a29a-b2e43b1c3d49

Wimbo mpya wa msanii Ama G unaitwa “Nimebadilika”. Producer Maneck

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Mwananchi

Sukari ama chumvi?

Nakuomba editori, utangaze vitu hivi, Naandika ushairi, kwa furaha si ugomvi, Asili ya kusubiri, ni utowe utauvi, Ama sukari na chumvi, chumvi ni kitu muhimu.

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Ama G — Anatamani

Kazi Mpya kutoka kwa msanii Ama G wimbo unaitwa “Anatamani” video imeongozwa director Nisher

 

10 years ago

Raia Tanzania

Ama zao au zetu — Lowassa

MGOMBEA urais wa Chadema ambaye pia anawakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amesema vyama vinavyounda umoja huo visipochukua dola katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, havitaweza kuchukua tena kwa miaka 50 ijayo.

Akizungumza Makao Makuu ya Chama Cha Wananchi (CUF) Buhuruni jijini Dar es Salaam jana mbele ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumpokea alipofika katika ofisi hizo kwa mara ya kwanza, Lowassa alisema ni lazima Ukawa wahakikishe wanashinda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani