Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ama zao au zetu — Lowassa

MGOMBEA urais wa Chadema ambaye pia anawakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amesema vyama vinavyounda umoja huo visipochukua dola katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, havitaweza kuchukua tena kwa miaka 50 ijayo.

Akizungumza Makao Makuu ya Chama Cha Wananchi (CUF) Buhuruni jijini Dar es Salaam jana mbele ya maelfu ya wananchi waliojitokeza kumpokea alipofika katika ofisi hizo kwa mara ya kwanza, Lowassa alisema ni lazima Ukawa wahakikishe wanashinda...

Raia Tanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

KATAA UMEME FAMILY YAWAKEMEA WATU WANAOTUMIA PICHA ZAO KWENYE BIASHARA ZAO ZA MADAWA YA KUPUNGUZA UZITO

Kiongozi wa Kikundi cha Kataa Unene Family (KUF) ambaye pia ni mwandishi na mtangazaji wa Televison ya Taifa (TBC1), Angella Msangi amekemea tabia ya baadhi ya wafanyabiashara wanaotumia picha zao ili waweze kuuza biashara zao za madawa ya kupunguza uzito. Akizungumza  kwa masikitiko makubwa, Kiongozi huyo alisema kuwa kuna wafanyabiasha ambao si waaminifu wamekuwa wakichukua picha zao katika mitandao ya jamii na sehemu nyingine na kutangazia biashara zao kuwa hao wametumia dawa zao na...

 

9 years ago

GPL

WAMEROGWA AMA?

Jux na Vee Money. Andrew Carlos PATA picha upo eneo tulivu, masikioni umeweka ‘headphones’ na unasikiliza nyimbo za wakali wa muziki Bongo, unaanza na nyimbo za Juma Musa ‘Jux’ kisha unafuatia za mkali wa Hip Hop, Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’.Hamu inakuwa haijaisha vizuri kwa upande wa Hip Hop, unaamua kusikiliza nyimbo za Nickson Simon ‘Nikki wa Pili’ kisha unachukuwa juisi na kumalizia fundo la mwisho. Nikki wa...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Ama G — Anatamani

Kazi Mpya kutoka kwa msanii Ama G wimbo unaitwa “Anatamani” video imeongozwa director Nisher

 

9 years ago

Mwananchi

Sukari ama chumvi?

Nakuomba editori, utangaze vitu hivi, Naandika ushairi, kwa furaha si ugomvi, Asili ya kusubiri, ni utowe utauvi, Ama sukari na chumvi, chumvi ni kitu muhimu.

 

9 years ago

Bongo5

Music: Ama G – Nimebadilika

59ecd0dc-6b19-4fc3-a29a-b2e43b1c3d49

Wimbo mpya wa msanii Ama G unaitwa “Nimebadilika”. Producer Maneck

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

10 years ago

Vijimambo

Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”


HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO Hamfrey Polepole na Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa wamekabana kwa hoja kali kuhusu uamuzi wa Chadema na Ukawa kwa ujumla kumpokea Edward Lowassa na kumpa nafasi ya kugombea Urais.Polepole na Msigwa walikutana jana katika kipindi cha ‘Mada Moto’ kinachorushwa na kituo cha runinga cha Chanel Ten kujadili mada iliyotajwa kama ‘Lowassa Ndani ya CCM’.Polepole alionesha msimamo wake wa kumkataa Edward Lowassa kuwa...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ama Tibisii mtoto si rizki

Jabir Idrissa, KARIBU msomaji usikilize taarifa ya khabari inayowajia kutokea hapa Bwagamoyo. Khabari ya Kwanza – Tarehe 5 Oktoba 2015 –Taarifa ya Khabari ya Saa 2 usiku ya shirika letu la utangazaji la TBC1 ambalo tunaligharamia […]

The post Ama Tibisii mtoto si rizki appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Vijimambo

Zitto: Mwisho ama mwanzo.

Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Kabwe Zitto, jana alitangaza kujiuzulu ubunge kwa kusambaza waraka kwa vyombo vya habari.

Baadaye Zitto alikwenda bungeni katika kikao cha jioni kwa ajili ya kuwaaga wabunge wenzake na kuwaeleza sababu za uamuazi wake.

Hata hivyo, kabla ya kuwasili bungeni akisubiri kupewa fursa ya kuwaaga wabunge, aliwaeleza waandishi wa habari kwamba Spika wa Bunge, Anne Makinda amemzuia kuchukua uamuzi huo na kwamba yeye (Zitto) alikuwa akiendelea kumshawishi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,ni Wellbeck ama Van Persie?

Je,Welbeck atageuka na kuwa mwiba dhidi ya kilabu yake ya zamani?

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani