AMANI ABDALLAH: Abuni mashine ya kutengeneza, kukausha mihuri 20 kwa dakika 10
MARA nyingi tumezoea vitu vizuri vinavyotumia teknolojia ya kisasa kuvumbuliwa na wataalamu kutoka Bara la Asia, Ulaya na Amerika, lakini nimefanikiwa kukutana na mvumbuzi wa Kitanzania aliyetengeneza mashine ya kutengeneza...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Dec
KIDT wapokea mashine ya kutengeneza kuni
TAASISI ya Mfuko wa Maendeleo ya Viwanda Kilimanjaro (KIDT) ya mjini Moshi, imepokea msaada wa mashine ya kisasa ya kutengeneza kuni kwa kutumia pumba za mpunga na mbao yenye thamani ya Sh milioni 100 ikiwa ni msaada kutoka Serikali ya Japan.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-axyXHrus7cs/XsJIAseKQuI/AAAAAAALqno/fIfodW0efW4V1Zz0s2YB3pN0XR1TMjWVgCLcBGAsYHQ/s72-c/4.1.jpg)
COSTECH yamwezesha Mbunifu kutengeneza mashine ya kuchenjua dhahabu
![](https://1.bp.blogspot.com/-axyXHrus7cs/XsJIAseKQuI/AAAAAAALqno/fIfodW0efW4V1Zz0s2YB3pN0XR1TMjWVgCLcBGAsYHQ/s640/4.1.jpg)
TANZANIA ni nchi ya nne kwa uchimbaji wa dhahabu Afrika huku ikitajwa kuwa na hazina kubwa ya madini mengine kama vile Almasi na Tanzanite.
Kwa miaka mingi, kabla sheria ya madini haijafanyiwa marekebisho bado, kwa mwaka 2017, Sekta hiyo ilikuwa inachangia chini ya asilimia tano kwenye pato la Taifa.
Kwa sasa mipango ya serikali ni kuifanya sekta ya madini ichangie kwenye pato la Taifa kwa asilimia 10...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AprmhSM1Xo0/Xr061SfzDvI/AAAAAAALqMw/PakIfwV4YkUDYlPuXbVDIJ3RFbQnMKcggCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
COSTECH yamwezesha Mbunifu kutengeneza mashine inayoweza kupima magonjwa ya moyo
![](https://1.bp.blogspot.com/-AprmhSM1Xo0/Xr061SfzDvI/AAAAAAALqMw/PakIfwV4YkUDYlPuXbVDIJ3RFbQnMKcggCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mKp8B6IcMis/Xr062PEo2oI/AAAAAAALqM0/nF_Y_dejE4Ao0BjTtWq9UTF6CnKTfPnBgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
Na COSTECHTAKWIMU za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonesha kuwa kila mwaka wastani wa watu milioni 58 hupoteza maisha duniani kote. Vifo vya watu milioni 41 sawa na asilimia 71 ya vifo vyote kwa mwaka husababishwa na magonjwa yasiyoambukiza yakiwemo magonjwa ya moyo, kisukari, figo na shinikizo la damu.
Magonjwa ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3yYN1qIGCeU/XqU-JL1MguI/AAAAAAALoQE/N4FceQkP5ugVUBTUmY-2oH5XoS-5NPkdgCLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpg)
WAZIRI BASHUNGWA AWAAGIZA TEMDO KUTENGENEZA MASHINE ZA KUKAMUA MIWA NA KUCHAKATA ZAO LA MKONGE.
Mhe. Bashungwa aliyasema hayo mkoani Arusha alipokuwa akizindua mashine 14 za kisasa zinazoendeshwa kwa mfumo wa kompyuta yaani CNC zikiwa na thamani ya shilingi milioni 600 zilizotolewa...
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Msomi abuni twisheni kwa njia ya mtandao
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-OIOmqw_EcQo/VhYWSkPvhlI/AAAAAAAH9i4/2vaw8GE3uE8/s72-c/7a747a1914654b38a86e091312247b0a.jpg)
KIWANDA CHA KUKAUSHA NYETI ZA NG'OMBE CHAFUNGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-OIOmqw_EcQo/VhYWSkPvhlI/AAAAAAAH9i4/2vaw8GE3uE8/s640/7a747a1914654b38a86e091312247b0a.jpg)
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Mihuri yatia doa upigaji kura
9 years ago
StarTV18 Nov
Wafanyabiashara waaswa kuziwekea mihuri bidhaa zao
Wizara ya Viwanda na Biashara imewataka wafanyabiashara kuanza utaratibu wa kuweka mihuri katika bidhaa zao ili kudhibiti utengenezwaji wa bidhaa bandia ambazo hazina viwango vya kitaifa na kimataifa.
Hatua hiyo itasaidia kuimarisha soko la nje kutokana na bidhaa na malighafi za Tanzania kuwa na ubora unaokidhi mahitaji ya masoko mbalimbali duniani.
Sekta ya viwanda na biashara inatajwa kuwa sekta ambayo itaiwezesha Tanzania kuimarika kiuchumi kwa maendeleo ya taifa, Wizara ya Viwanda...