ANC kinaongoza kwa asilimia 60
Maafisa wa tume ya uchaguzi wanasema kuwa baada ya hesabu ya matokeo ya awali ya nusu ya kura zilizopigwa ANC imejizolea takriban asili mia 60 ya kura zilizohesabiwa .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili14 Dec
ANC watoa heshima kwa mwili wa Mandela
11 years ago
BBCSwahili09 May
Chama cha ANC mbele kwa kura
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Mtihani mkubwa kwa ANC, Rais Zuma bila ya Nelson Mandela
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YF3zdS6M3KY/VnfI7f7yaDI/AAAAAAAINow/TCS_6bCm_QE/s72-c/samwel-Manyele1.png)
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya uchunguzi wa DNA yaonyesha baba si mzazi halali wa mtoto
![](http://2.bp.blogspot.com/-YF3zdS6M3KY/VnfI7f7yaDI/AAAAAAAINow/TCS_6bCm_QE/s400/samwel-Manyele1.png)
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya matokeo ya uchunguzi wa makosa ya vinasaba (DNA) yanayowasilishwa katika ofisi ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwaka yanaonyesha kuwa baba si mzazi halali wa mtoto katika kesi hizo.
Hayo yamesemwa na Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele alipokuwa akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa wadau wa wakala wa afya ya mazingira leo jijini Dar es Salaam.
“Kesi zinazopokelewa katika...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v2quA0hhCZk/VAjTZb0V8xI/AAAAAAAGeTE/cJWbluIbTd4/s72-c/1.jpg)
Tanzania yajitosheleza kwa chakula kwa asilimia 124
![](http://1.bp.blogspot.com/-v2quA0hhCZk/VAjTZb0V8xI/AAAAAAAGeTE/cJWbluIbTd4/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zLL88XA8_6Q/VAjTZZngDpI/AAAAAAAGeTM/iWO86hcd8e0/s1600/2.jpg)
10 years ago
Habarileo20 Sep
Malaria Mwanza yapungua kwa asilimia 62.5
KIWANGO cha maambukizi ya ugonjwa wa malaria mkoani Mwanza kimepungua kutoka wagonjwa 979,035 kwa mwaka 2009 hadi kufikia jumla ya wagonjwa 367,545 kwa mwaka 2013 sawa na asilimia 62.5.
10 years ago
Mwananchi11 Jun
Bajeti ya Uchaguzi yaongezeka kwa asilimia 16
10 years ago
Habarileo25 Dec
Khatib: Nimetekeleza Ilani kwa asilimia 90
MBUNGE wa Jimbo la Uzini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Mohamed Seif Khatib amesema amefanikiwa kusimamia utekelezaji wa Ilani ya chama chake katika miradi ya kuleta maendeleo katika kipindi cha miaka 19 ya uongozi wake kwa asilimia 90.