Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ANC kinaongoza kwa asilimia 60

Maafisa wa tume ya uchaguzi wanasema kuwa baada ya hesabu ya matokeo ya awali ya nusu ya kura zilizopigwa ANC imejizolea takriban asili mia 60 ya kura zilizohesabiwa .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

ANC watoa heshima kwa mwili wa Mandela

Wanachama wa Chama cha African National Congress (ANC) wametoa heshima za mwisho kwenye mwili wa Hayati Nelson Mandela.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chama cha ANC mbele kwa kura

Chama tawala cha ANC kinaongoza kwa zaidi ya asilimia 63%, huku kile cha Democratic Alliance kikiwa na asilimia 23% katika uchaguzi mkuu wa urais.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtihani mkubwa kwa ANC, Rais Zuma bila ya Nelson Mandela

>Licha ya kuacha simanzi na majozi kwa wananchi wa Afrika Kusini na dunia nzima, kifo cha Rais wa kwanza wa kizalendo wa Afrika Kusini, Nelson Mandela ni kama kimempa nafasi ya kupumua Rais Jacob Zuma.

 

9 years ago

Michuzi

Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya uchunguzi wa DNA yaonyesha baba si mzazi halali wa mtoto

Na Beatrice Lyimo-Maelezo
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya matokeo ya uchunguzi wa makosa ya vinasaba (DNA)  yanayowasilishwa katika ofisi ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwaka yanaonyesha kuwa baba si mzazi halali wa mtoto katika kesi hizo.
Hayo yamesemwa na Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele alipokuwa akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa wadau wa wakala wa afya ya mazingira leo jijini Dar es Salaam.
“Kesi zinazopokelewa katika...

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania yajitosheleza kwa chakula kwa asilimia 124

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhandisi Christopher Chiza akizungumza na waandishi wa habari ( hawapo pichani) juu ya mafanikio ya uzalishaji wa chakula nchini kwenye viwanja vya Wakala wa Hifadhi ya Chakula wa Taifa (NFRA) jijini Dar es Salaam leo.

 Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Mhandisi Christopher Chiza akizungumza na waandishi wa habari ( hawapo pichani) kwenye viwanja vya Wakala wa Hifadhi ya Chakula wa Taifa (NFRA) jijini Dar es Salaam leo.Kushoto ni Mkuregenzi wa...

 

10 years ago

Habarileo

Malaria Mwanza yapungua kwa asilimia 62.5

KIWANGO cha maambukizi ya ugonjwa wa malaria mkoani Mwanza kimepungua kutoka wagonjwa 979,035 kwa mwaka 2009 hadi kufikia jumla ya wagonjwa 367,545 kwa mwaka 2013 sawa na asilimia 62.5.

 

10 years ago

Mwananchi

Bajeti ya Uchaguzi yaongezeka kwa asilimia 16

>Waziri wa Fedha, Saada Mkuya leo atawasilisha bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2015/16 ambayo wachambuzi wameielezea kuwa itakuwa na unafuu kwa wananchi kutokana na Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba, mwaka huu.

 

10 years ago

Habarileo

Khatib: Nimetekeleza Ilani kwa asilimia 90

MBUNGE wa Jimbo la Uzini kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Mohamed Seif Khatib amesema amefanikiwa kusimamia utekelezaji wa Ilani ya chama chake katika miradi ya kuleta maendeleo katika kipindi cha miaka 19 ya uongozi wake kwa asilimia 90.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani