Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ANGALIA LIVE MKUTANO WA LOWASSA ARUSHA SASA HIVI


Kwa kuangalia mkutano wa Mhe. Edward Lowassa kutangaza nia Live unaoendelea sasa hivi Arusha bofya hapa

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

ANGALIA LIVE MKUTANO WA UFUNGUZI WA KAMPENI UKAWA

Watch live streaming video from chademamedia at livestream.com

 

11 years ago

Michuzi

ANGALIA MECHI ZA KOMBE LA DUNIA LIVE SASA - PORTUGAL VS GERMANY



KUANGALIA MTANANGE HUU LIVE MTANDAONI BOFYA HAPA
Angalizo: Cheki ratiba hapo chini kujua muda na mechi zitazochezwa badae

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKILIHUTUBIA LIVE BUNGE MAALUM LA KATIBA HIVI SASA MJINI DODOMA

 TAZAMA HAPA MATANGAZO YA MOJA KWA MOJA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA AKILIHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA MKOANI DODOMA JIONI HII.

 

10 years ago

Michuzi

newzz alert:mkutano wa ukawa na wanahabari hivi sasa bahari beach jijini Dar

Waandishi habari na baadhi ya viongozi wa vyama mbalimbali wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA wakimsubiri  Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassaa kwa ajili ya kujiunga na UKAWA ,baada ya muda mfupi tutawaletea  chama anchajiunga nacho.  Hivi ndivyo walivyo katika hoteli wakijiandaa na mapokezi ya Waziri Mkuu Mstaafu,Edward Lowassa katika hoteli ya bahari beachi jijini Dar es Salaam
 Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti wa Bawacha,Halima Mdee akifakari  kulia kwake ni Mzee Kimesera leo katika...

 

10 years ago

Vijimambo

VIGOGO WA CCM MAKONGORO MAHANGA + MSINDAI MGANA + OMEDEYI WAJIUNGA RASMI NA CHADEMA SASA HIVI MLIMANI CITY LIVE!

Naibu Waziri wa Kazi Mh. MahangaMwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida ambaye ni Mbunge wa zamani wa Iramba Mashariki Ndg.Mgana Msindai ametangaza kujiuzulu wadhifa wake, kujiondoa CCM na kujiunga na CHADEMA. Msindai ni miongoni mwa wafuasi "watiifu" wa Mhe.Edward Lowassa. Inadaiwa wapo wenyeviti 15 wa CCM mikoa mbalimbali watajiunga na CHADEMA, baada ya Msindai kufungua njia.Mbunge wa Arumeru CCM Olemedeyi

 

10 years ago

Michuzi

HIVI NDIVYO HALI ILIVYOKUWA JIJINI ARUSHA WAKATI MH. LOWASSA ALIPOKUWA AKIELEKEA KWENYE UWANJA WA SHEIKH AMRI ABEID KUTANGAZA NIA YA URAIS

 Sehemu ya Waendesha Bodaboda wa Jijini Arusha wakiusubiria msafara wa Mh. Lowassa, maeneo ya Uwanja wa Ndege wa Arusha.
 Abiria kwenye basi pia hawakua nyuma kuchua Taswira zako pale walipomuona Mh. Lowassa akiwa kwenye gari lake.
 Sehemu ya wakazi wa Arusha wakimshangilia Mh. Lowassa alipokuwa akipita katika barabara ya Sokoine, Jijini Arusha wakati alielekea kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid kutangaza nia.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani