ankal akila quality time na bintiye
![](http://4.bp.blogspot.com/-PH83XZTwdW4/VDGRebKYkiI/AAAAAAAGoIY/9_xTH_Qhs5k/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Ratiba inaporuhusu kupata kamuda ka kupumua Ankal hupiga makubazi na kula quality time na familia yake. Hapo ni ufukweni akicheza na bintiye Sellah katika kusherehekea sikukuu ya Iddi.Wewe je? Unakumbuka kuwa na familia wakati wa mapumziko? Ni muhimu, usisahau hilo....
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M5eIeogaRC4/UwUAtE-2exI/AAAAAAAFOGw/QloBugfai44/s72-c/IMG_1366.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-a3f6lkFY4_Y/U_5PwceQX4I/AAAAAAAGEvs/NRtG4hG_keQ/s72-c/IMG_1413.jpg)
Birthday Wishes to Ankal from Mrs Ankal
![](http://3.bp.blogspot.com/-a3f6lkFY4_Y/U_5PwceQX4I/AAAAAAAGEvs/NRtG4hG_keQ/s1600/IMG_1413.jpg)
Mrs Ankal.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NHPaItPS5Egf9zNTG8Y8oQToQgcDByx*6Iaw77Ajr-qp0JRIpWzRawOPIfLe0VihctkRhIcZHB88-*VacPyMP6n9eo0Y9L-P/Diamond.jpg?width=650)
PICHA YA DIAMOND AKILA MISHIKAKI GUMZO
Stori: Musa Mateja
PICHA ya staa wa Nasema Nao, Nasibu Abdul ‘Diamond’ inayomuonesha akila mishikika uswahilini imezua gumzo la aina yake mitandaoni. Staa wa Nasema Nao, Nasibu Abdul ‘Diamond’ akila mishikika uswahilini. Picha hiyo ambayo ilipigwa mwaka mmoja uliopita maeneo ya Tip Top, Manzese jijini Dar, imeibua mjadala mpya juzikati kwenye mitandao ya kijamii ambapo wengine walimpongeza kwa kitendo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0EnpUkUMSVwHbhdkNiCqPWDjTtG13wCNwGio81J4TcGqAMVQiB2LWpGbOQo0RES*PjZRmKAVbQ9xqv2EE-wTvwrpHVQc*wt/CHIKO.gif)
JUMA CHIKOKA LAIVU AKILA KITIMOTO
Stori:MUSA MATEJA MSANII wa kitambo ndani ya Bongo Movies, Juma Chikoka, amenaswa akila nyama ya nguruwe (kitimoto) huku ikiaminika kuwa ana imani isiyotumia mnyama huyo. Msanii kitambo ndani ya Bongo Movies, Juma Chikoka akijimegea kipande cha nyama (kitimoto). Tukio hilo lilijiri hivi karibuni maeneo ya Sinza jijini Dar ambapo msanii huyo alijumuika na marafiki zake pasipo kujua paparazi wa kujitegemea alikuwa akifanya kazi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSWpCIjID-F4cASti*RDamlg8ENh*yn7tprQ6GrmCwcd2DBPQFNkSh0WmEzVRhKJxfbHBiuT0lJxg0L033vSU8TJGrzLg4S*/jik.jpg?width=650)
BABA ASAKWA UBAKAJI WA BINTIYE
Bw. Salum anayesakwa na polisi kwa tuhuma za kumbaka na kumpachika mimba binti yake wa kambo.
Waandishi wetu
MUNGU wangu! Mwanaume mmoja mkazi wa Mwenge jijini Dar es Salaam aliyefahamika kwa jina moja la Salum, anasakwa na polisi kwa tuhuma za kumbaka na kumpa ujauzito bintiye wa kambo (jina limehifadhiwa). Binti anayedaiwa…
11 years ago
Tanzania Daima23 Mar
Akamatwa kwa kutomsomesha bintiye
MKAZI wa Kijiji cha Mponvu, Kata ya Mtakuja wilayani Geita, Samweli Bupina (40) amekamatwa na polisi kwa kosa la kukataa kumsomesha binti yake Mengi Samweli (17). Bupina anadaiwa baada ya...
11 years ago
Uhuru Newspaper27 Jun
Mbaroni kwa kumbaka bintiye
NA DOROTHY CHAGULA, MUSOMA MKAZI wa Musoma mkoani Mara, Emmanuel Lucas, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumbaka kwa nyakati tofauti binti yake wa miaka 19 (jina linahifadhiwa) na kumwambukiza ukimwi. Lucas (52), anatuhumiwa kufanya kitendo hicho kuanzia mwaka 2007 na kumsababishia binti yake kupata maambukizi ya ukimwi. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Paul Kasabago, alisema mtuhumiwa huyo alikuwa akimbaka binti yake huyo mara kwa mara hadi kupata ujauzito, ambapo mtoto...
10 years ago
GPLASHITAKIWA KWA KUMTIA MIMBA BINTIYE
MAHAKAMA moja mjini Bungoma nchini Kenya imemshtaki ofisa mmoja wa wadi ya Bukembe kwa kulala na mwanawe wa kike mwenye umri wa miaka 14 kwa zaidi ya miaka miwili baada ya mkewe kufariki mwaka 2013. Kulingana na gazeti la The Standard nchini Kenya, mwathiriwa ambaye ni mjamzito wa miezi minne amesema kuwa mshukiwa huyo ambaye ni babaake amekuwa akimlazimisha kufanya mapenzi naye kila usiku na kumuonya kwamba angemdhuru iwapo...
10 years ago
BBCSwahili17 Jul
Afungwa miaka 8 kwa kumuoza bintiye
Raia mmoja wa Australia ambaye alipanga ndoa ya kiislamu kumuoza bintiye mdogo mwenye umri wa miaka 12 amehukumiwa miaka minane jela.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania