Akamatwa kwa kutomsomesha bintiye
MKAZI wa Kijiji cha Mponvu, Kata ya Mtakuja wilayani Geita, Samweli Bupina (40) amekamatwa na polisi kwa kosa la kukataa kumsomesha binti yake Mengi Samweli (17). Bupina anadaiwa baada ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper27 Jun
Mbaroni kwa kumbaka bintiye
NA DOROTHY CHAGULA, MUSOMA MKAZI wa Musoma mkoani Mara, Emmanuel Lucas, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumbaka kwa nyakati tofauti binti yake wa miaka 19 (jina linahifadhiwa) na kumwambukiza ukimwi. Lucas (52), anatuhumiwa kufanya kitendo hicho kuanzia mwaka 2007 na kumsababishia binti yake kupata maambukizi ya ukimwi. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara, Paul Kasabago, alisema mtuhumiwa huyo alikuwa akimbaka binti yake huyo mara kwa mara hadi kupata ujauzito, ambapo mtoto...
10 years ago
BBCSwahili17 Jul
Afungwa miaka 8 kwa kumuoza bintiye
10 years ago
GPLASHITAKIWA KWA KUMTIA MIMBA BINTIYE
11 years ago
Habarileo23 Apr
Aua bintiye kwa kupalilia vibaya shamba
MKAZI wa Kijiji cha Ng'ereng'ere Kata ya Nyamaraga wilayani Tarime katika Mkoa wa Mara, Michael Bokoyo (64) anatuhumiwa kumuua binti yake mwenye umri wa miaka 10 kwa mpini wa jembe akimtuhumu kupalilia shamba vibaya.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/li0jpfi0h9nMo*2PoeNvM8ZMrvgOVQ*bsnVi2subCuT*CnadrrkQ*ry46A8P8HFbibwnjYZwC3WSMmnYhXl6QNoF2QZCvrCP/IMG20150113WA0015.jpg?width=650)
MWANAMKE AKAMATWA KWA UNGA WA BIL.2 NYUMBANI KWA MBUNGE
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Mchungaji wa kanisa akamatwa kwa tuhuma ya kumficha ndani mtoto wake kwa miaka 12
Kijana mkazi wa kijiji cha Itaja tarafa ya Mgori wilayani Singida, Timotheo David (30), akiwa amelazwa wodi namba nne hospitali ya mkoa wa Singida baada ya kuletwa na jeshi la polisi siku mbili zilizopita. Inadaiwa kuwa Timotheo baada ya kuugua Malaria kali mwaka 2003 na kuchanganyikiwa akili, alifungiwa ndani chumbani toka wakati huo hadi juzi alipotolewa na polisi na kuletwa hospitalini. Kwa mujibu wa Kaimu Mganga mfawidhi hospitali ya mkoa, Dk.Napaiya Petro, Timotheo hana ugonjwa wo wote...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSWpCIjID-F4cASti*RDamlg8ENh*yn7tprQ6GrmCwcd2DBPQFNkSh0WmEzVRhKJxfbHBiuT0lJxg0L033vSU8TJGrzLg4S*/jik.jpg?width=650)
BABA ASAKWA UBAKAJI WA BINTIYE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lfASdeYLW4djS6elzPkC3oFMv4s-DaW5bI3HKnpDBnjP-6SbXe0mZkvuvDwO4ICvdqDSRcaYkdq1WuSB1Vem-nNKSOLQL5wE/AK47.jpg?width=650)
AKAMATWA KWA KUKODISHA BUNDUKI KWA MAJAMBAZI