Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Apple yazindua programu ya muziki

Kampuni ya Apple imebuni programu tumizi mpya inayojumuisha maktaba ya kupeperusha muziki moja kwa moja kwenye internet.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Apple yazindua app ya muziki kuipiga Spotify

Kampuni ya Apple imebuni programu tumizi mpya inayojumuisha maktaba ya kupeperusha muziki moja kwa moja kwenye internet.

 

10 years ago

BBCSwahili

Programu kuharibu vifaa vya apple

Programu inayoharibu mifumo ya kompyuta inayoaminika kutoka uchina inalenga kompyuta na vifaa vingine vya kampuni ya Apple

 

10 years ago

GPL

VODACOM TANZANIA YAZINDUA PROGRAMU YA MZIIKI NDANI YA ZARI WHITE PARTY

Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa (katikati) akimsikiliza jambo Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Diamond Platinumz (kulia) na balozi wa Mziiki ambayo ni programu ya simu za mkononi (mobile app) ya Vodacom  Tanzania iliyozinduliwa jana wakati wa Zari White Party iliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam jana. Msanii wa muziki wa Bongo Flavor Diamond...

 

10 years ago

BBCSwahili

Apple yazindua saa mpya ya iWatch

Kampuni ya Apple imezindua saa mpya aina ya smartwatch ijulikanayo kama 'The Apple Watch', ambayo wataalamu wanasema ni aina yake

 

9 years ago

Michuzi

Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imezindua application itakayowawezesha wateja wake kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi na kupitia application ijulikanayo kama “Airtel care App”.
Application hii mpya ya “Airtel care App” ni moja kati ya huduma nyingi za kibunifu zinazotelewa na Airtel zenye lengo la kuwawezesha wateja wa Airtel kutatua matatizo yao na mahitaji yao kwa urahisi wakati wowote.
Akizungumza Wakati wa uzinduzi wa “Airtel care App” Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yazindua Mashindano ya kuvumbua vipaji vya Muziki

Mkurugenzi wa kitengo cha Masoko wa Airtel Levi Nyakundi akiongea wakati wa uzinduzi wa mashindano ya kusaka vipaji kupitia simu ya mkononi yajulikanayo kama " Airtel TRACE Music Star" kwa lengo la kukuza na kuvumbua vipaji vya wana muziki chipukizi na kuwawezesha kufikia ndoto zao. Program hii ni kwa ushirikiano kati ya Airtel, kampuni ya Trace pamoja na Mwanamuziki wa Marekani Akon, uzinduzi huo ulifanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa high spirit - IT Plaza jijini Dar es saalam.

 

9 years ago

Michuzi

DSTV YAZINDUA CHANELI MPYA MUZIKI ,FILAM PAMOJA NA MAHOJIANO

 Meneja wa Mahusiano wa MultChoice Tanzania (DSTV),Barbara Kambogi akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya uzinduzi wa chaneli mpya ya Maisha Magic Bongo inayoanza leo kwa kuonyesha muziki,filam pamoja na mahojiano iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja Masoko wa MultChoice Tanzania,Furaha  Samari, na kulia ni Mwakakilishi wa MNET Afrika Mashariki,Lisa Venter.Mwakakilishi wa MNET Afrika Mashariki,Lisa Venter akizungumza na  waandishi (hawapo pichani) juu...

 

9 years ago

Michuzi

Airtel yazindua 'Airtel Care' programu kwa wateja * huduma ya kwanza na kipekee kutolewa na kampuni ya mawasiliano ya simu nchini, inawawezesha wateja kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imezindua application itakayowawezesha wateja wake kupata huduma zote za Airtel kwa urahisi na kupitia application ijulikanayo kama "Airtel care App"  Application hii mpya ya "Airtel care App" ni moja kati ya huduma nyingi za kibunifu zinazotelewa na Airtel zenye lengo la kuwawezesha wateja wa Airtel kutatua matatizo yao na mahitaji yao kwa urahisi wakati wowote Akizungumza Wakati wa uzinduzi wa "Airtel care App" Meneja Uhusiano wa Airtel, Bw Jackson...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani