ARUSHA WADHAMIRIA KUFUFUA MFUKO WA ULINZI SHIRIKISHI
Afisa Mnadhimu namba wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Japhet Lusingu akitoa ufafanuzi wa mada mbalimbali zilizojadiliwa kati ya Jeshi hilo na wadau wa Polisi Jamii Mkoa wa Arusha katika kikao kilichofanyika ukumbi wa Bwalo la Afisa wa Polisi (Police Officers Mess) mwishoni mwa wik
Mkuu wa Polisi wilaya ya Arusha Mrakibu wa Polisi (SP) Francis Duma akitoa elimu ya Polisi Jamii katika kikao kilichowajumuisha viongozi wa Jeshi la Polisi na Wadau wa Polisi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania30 Sep
Kashfa nzito ulinzi shirikishi Ubungo
![Eneo la Ubungo jijini Dar](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/ubungo.jpg)
Eneo la Ubungo jijini Dar
NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
WAFANYABIASHARA ndogo ndogo maarufu kama ‘wamachinga’ wa eneo la Ubungo, Manispaa ya Kinondoni, wamegeuzwa kitega uchumi na kikundi kinachojiita cha ulinzi shirikishi kwa kuwatoza ushuru kinyume na sheria.
Uchunguzi uliofanywa na MTANZANIA umebaini kikundi hicho kimekuwa kikikusanya fedha kwa wafanyabiashara hao kati ya Sh 1,000 na 5,000 kutegemea aina ya biashara, ushuru ambao unaingia mifukoni mwao bila halmashauri kujua.
Mbali na...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Ugombolwa vinara bonanza la ulinzi shirikishi Segerea
TIMU ya soka ya Polisi Jamii ya Mtaa wa Ugombolwa, Kata ya Segerea jijini Dar es Salaam imeibuka mabingwa katika Bonanza la Ulinzi Shirikishi kata hiyo baada ya kuibwaga Segerea...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kx4plQ9IGB8/U4rZYMNaOZI/AAAAAAAFm2g/FS8qW1-G4AU/s72-c/unnamed+(6).jpg)
MRADI WA ULINZI SHIRIKISHI WASHIKA KASI MKOANI TABORA
![](http://1.bp.blogspot.com/-kx4plQ9IGB8/U4rZYMNaOZI/AAAAAAAFm2g/FS8qW1-G4AU/s1600/unnamed+(6).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-LCGfvX5NiyY/U4rZYV0Kx-I/AAAAAAAFm2k/8LYKSYHrFdA/s1600/unnamed+(7).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8AKas2xJKag/U4rZYfktzXI/AAAAAAAFm2s/bPHey9WD_BI/s1600/unnamed+(8).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FoAbBSCCLMw/U04UVB5omKI/AAAAAAAFbOY/rC3tQhCynWc/s72-c/unnamed+(69).jpg)
elimu ya ulinzi shirikishi na polisi jamii yatolewa wilayani simanjiro
![](http://2.bp.blogspot.com/-FoAbBSCCLMw/U04UVB5omKI/AAAAAAAFbOY/rC3tQhCynWc/s1600/unnamed+(69).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-V90xBzjKKmQ/U6REdOqqedI/AAAAAAAFr_E/g0g4nXq_W_o/s72-c/unnamed+(18).jpg)
KAMANDA WA POLISI MKOA WA TABORA AHAMASISHA ULINZI SHIRIKISHI MKOANI MWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-V90xBzjKKmQ/U6REdOqqedI/AAAAAAAFr_E/g0g4nXq_W_o/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zc3gtxBLBTQ/U6REeTdwCeI/AAAAAAAFr_M/uUSx-uSNTnY/s1600/unnamed+(17).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QVPKwH--iBM/U6REhOr7cfI/AAAAAAAFr_U/ba39-YXQUX0/s1600/unnamed+(19).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0hms6ITm9zw/UySIhTPGkjI/AAAAAAAFTqc/RIWZyhAXvZM/s72-c/unnamed+(20).jpg)
kamanda suzana kaganda atembelea vikundi vya ulinzi shirikishi mkoani tabora
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
Mfuko wa GEPF wafanya mkutano na wadau Arusha wajadili maswala mbalimbali ya mfuko huo
MKUU wa mkoa wa Arusha, Felix Ntibenda akiwa anafungua mkutano ulioandaliwa na mfuko wa mafao ya kustaafu wa GEPF kwa wadau wake jijini Arusha uliolenga kujadili maswala mbalimbali ya mfuko wa mafao ya kustaafu (GEPF) sambamba na mabadiliko katika mfuko huo.(Habari Picha na Pamela Mollel wa http://jamiiblog.co.tz/)
Meneja masoko wa mfuko wa GEPF, Aloyce Ntukamazina akizungumza katika mkutano na wadau kutoka sekta mbalimbali uliofanyika jijini Arusha uliolenga kujadili maswala mbalimbali...