Askofu asifu kuahirishwa Kura ya Katiba
ASKOFU wa Kanisa Katoliki, Jimbo la Morogoro, Mhashamu Telesphor Mkude ameipongeza Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kwa kusogeza mbele upigaji wa kura za maoni ya Katiba Inayopendekezwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo19 May
Askofu asifu Katiba iliyopo
WAKATI mchakato wa mabadiliko ya Katiba ukitarajiwa kuendelea katika ngazi ya Bunge Maalumu la Katiba Agosti mwaka huu, Askofu Mkuu mpya wa Jimbo Kuu Katoliki la Songea, Damian Dallu, amesifu Katiba iliyopo kwa kuunganisha Watanzania kwa miaka 50.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cFSv-yJm2DQhpnwyvuIRlxMCgvelqcSPjmL4wXBAxpwQUb3B5*CWvJXlxEUDlLohfpWTDJMkAipCMLXJzTGe7W5XbrZqVYCn/marando.jpg)
TAMKO LA CHADEMA KUHUSU KUAHIRISHWA KWA MUDA WA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Bunge la #Katiba kuahirishwa kabla ya maadhimisho ya #Muungano [VIDEO]
10 years ago
Michuzi02 Apr
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Askofu Angowi ahimiza amani, ataka kura maoni
11 years ago
Habarileo08 Apr
Askofu TAG ataja sababu za Watanzania kutopiga kura
SERIKALI imeshauriwa kuangalia upya siku za upigaji kura katika uchaguzi zake mbalimbali zinazowahusisha wananchi wote hususani zile za udiwani, ubunge na urais ili kuhamasisha wananchi wengi zaidi kujitokeza.
10 years ago
Habarileo20 Apr
Askofu Ruwa’ich aagiza waumini kujiandikisha kupiga kura
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza, Jude Thadei Ruwa’ich amewasisitiza wananchi kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la kupiga kura litakapofika mkoani hapa ili waweze kupiga kura na kuchagua kiongozi wanayemtaka wakati wa uchaguzi mkuu utakaofanyika baadaye mwaka huu.
10 years ago
Habarileo17 Aug
Askofu RC ahimiza kuombea Katiba mpya
MHASHAMU Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Songea mkoani Ruvuma, Damian Dallu amewataka waumini wa kanisa hilo kuuombea kwa dhati mchakato wa Katiba mpya unaoendelea, ili uweze kumalizika salama bila ya kuipitisha nchi katika majaribu ya machafuko.
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Askofu awafunda wajumbe Bunge la Katiba
WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wametakiwa kujikita zaidi katika mijadala yenye manufaa kwa jamii badala ya kutetea na kulinda masilahi ya vyama vyao. Kauli hiyo ilitolewa jana na Askofu...