Askofu Magike kunguruma Dar
ASKOFU Laurent Magike wa Kanisa la Living Water la jijini Mwanza, amesema anatarajia kutoa neno la Mungu kwa wakazi wa Dar es Salaam baada ya kubaini wanahitaji hilo. Magike ambaye...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Kesi ya Askofu Gwajima kunguruma mwezi ujao
10 years ago
VijimamboMagufuli kunguruma Dar leo.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Juma Simba, aliwaeleza waandishi wa habari jana kuwa mkutano huo utaanza majira ya mchana.
“CCM sasa hatuna shaka na ushindi wetu, mgombea tuliyenaye ni mchapa kazi, Watanzania na wana-CCM tunamuamni,” alisema Simba.
Kuhusu...
9 years ago
Habarileo11 Sep
Mgombea urais TLP kunguruma Dar kesho
CHAMA cha Tanzania Labour (TLP) kinatarajia kuzindua kampeni zake kitaifa kesho katika viwanja vya Mwembe Yanga jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Apr
Askofu awashauri viongozi Dar
NA REHEMA MAIGALA
MWENYEKITI wa Ushirika wa Wachungaji wa Kipentekoste Tanzania (PPFT), Askofu Pius Ikongo, amewashauri viongozi wa Jiji la Dar es Salaam, kubadilisha ratiba ya ufanyaji wa usafi barabarani.
Alisema wafanya usafi wanatakiwa kufanya kazi zao jioni, kuanzia saa 12, ili kuepukana na msongamano mbalimbali ambayo inakwamisha utendaji wao wa kazi .
Akizungumza na Uhuru jana, Dar es Salaam, Pius alisema bado suala la usafi haliridhishi katika Jiji la Dar es Salaam, kwa sababu ya...
11 years ago
Habarileo20 Mar
Pengo- Niliogopa kuwa Askofu Dar
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema ya moyoni kwamba alipoteuliwa na Baba Mtakatifu Yohana Paulo II (marehemu) kuwa askofu wa jimbo hilo, aliogopa. Kardinali Pengo alisema alistaajabu kufika jijini na kupokewa vizuri na waumini na viongozi wa kanisa, akiwemo Askofu Mkuu mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Elinaza Sendoro.
5 years ago
MichuziASKOFU MSAIDIZI EUSEBIUS NZIGILWA ATEULIWA KUWA ASKOFU MPYA JIMBO KATOLIKI LA MPANDA
11 years ago
MichuziHafla ya kumuaga Askofu wa jimbo la katoliki Dodoma,Mhashamu Baba Askofu Gervas John Nyaisonga yafana sana
Mgeni rasmi katika sherehe hiyo ambayo alikuwepo Mke wa Waziri Mkuu,Mama Tunu Pina,alikuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki hapa nchini,Mwadhama Polcarp Kardinal Pengo. Pia sherere hiyo ilihudhuriwa na Askofu...
11 years ago
GPLHAFLA YA KUMUAGA ASKOFU WA JIMBO LA KATOLIKI DODOMA,MHASHAMU BABA ASKOFU GERVAS JOHN NYAISONGA YAFANA SANA
10 years ago
MichuziAskofu Dk. Charles Gadi atawazwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Habari Njema kwa Wote Tanzania, atunukiwa shahada mbili za udaktari Bagamoyo
Askofu Gadi akisimikwa na Maaskofu mbalimbali kutoka nje na nchini Jumapili
Askofu Gadi akivikwa kofia kuashiria kutawazwa kuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Habari Njema kwa Wote...