Kesi ya Askofu Gwajima kunguruma mwezi ujao
Kesi zinazomkabili Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima na wenzake watatu zitaanza kuunguruma katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Septemba 10 mwaka huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4i1w6W-bFmE/U7MBkgH5VuI/AAAAAAAFt_4/haAWClKy-xo/s72-c/images.jpg)
WAZIRI MKUU: OMBEENI TAIFA NA UCHAGUZI MKUU UJAO - Askofu Niwemugizi ataka UKAWA warudi bungeni mwezi ujao, asema siyo ombi
![](http://2.bp.blogspot.com/-4i1w6W-bFmE/U7MBkgH5VuI/AAAAAAAFt_4/haAWClKy-xo/s1600/images.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewaomba viongozi wa dini kote nchini na wananchi waungane pamoja ili kuombea uchaguzi mkuu wa viongozi wakuu wa Rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika mwakani.
Ametoa wito huo leo mchana (Jumanne, Julai mosi, 2014) wakati akizungumza na maelfu ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya Jubilei ya miaka 25 ya Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Iringa, Mhashamu Tarsicius Ngalalekumtwa katika uwanja wa Kichangani wa Kanisa Kuu la Kihesa.
"Maaskofu...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-GaIkHYvkC88/VZaestVTtcI/AAAAAAAAxBo/jh511g3rpWw/s72-c/gwajima%2Baskofu.jpg)
Je Unajua nini Kinaendelea Kuhusu ile Kesi ya Mchungaji Gwajima Kumtukana Askofu Pengo? Nimekuwekea Hapa Kinachoendelea
![](http://3.bp.blogspot.com/-GaIkHYvkC88/VZaestVTtcI/AAAAAAAAxBo/jh511g3rpWw/s640/gwajima%2Baskofu.jpg)
Askofu GwajimaMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana imeshindwa kumsomea maelezo ya awali Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya kutumia lugha ya matusi na kushindwa kuhifadhi silaha.Kesi hiyo ilitajwa jana kwa ajili ya washitakiwa kusomewa maelezo ya awali lakini iliahirishwa kwa kuwa Hakimu Mkazi Wilfred Dyansobera anayesikiliza kesi hiyo hakuwepo mahakamani.
Hakimu Mkazi, Thomas Simba aliahirisha kesi hiyo hiyo Julai 20, mwaka huu kwa ajili...
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Askofu Magike kunguruma Dar
ASKOFU Laurent Magike wa Kanisa la Living Water la jijini Mwanza, amesema anatarajia kutoa neno la Mungu kwa wakazi wa Dar es Salaam baada ya kubaini wanahitaji hilo. Magike ambaye...
10 years ago
Habarileo11 Feb
Kesi ya Ponda kunguruma Februari 16
KESI inayomkabili kiongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini Shehe Ponda Issa Ponda jana imeahirishwa hadi Februari 16, mwaka huu kwa mashahidi wa upande wa mashitaka kuendelea kutoa ushahidi mahakamani.
10 years ago
Mwananchi21 Feb
Kesi ya Badwell kunguruma tena Feb 24
9 years ago
Mwananchi29 Nov
Kesi ya Mwale yaanza kunguruma Arusha
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Kesi ya bilionea Msuya kuanza kunguruma leo
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Kesi Bunge la Katiba kunguruma rasmi leo
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Kesi kupinga ubunge Longido yaanza kunguruma
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
KESI ya kupinga matokeo ya ubunge wa Longido yaliyompa ushindi Onesmo Ole Nangole (Chadema), iliyofunguliwa na aliyekuwa mgombea wa CCM, Dk. Stephen Kiruswa, imeanza kusikilizwa.
Nangole ambaye aliwahi kuwa Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha, ambaye alitangaza kukihama chama hicho na kujiunga na upinzani, aligombea ubunge kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25, mwaka huu na kufanikiwa kushinda.
Kesi hiyo iliyopo mbele ya Jaji Methew Mwaimu, jana ilianza kusikilizwa...