Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Askofu awashauri viongozi Dar


NA REHEMA MAIGALA
MWENYEKITI  wa Ushirika wa Wachungaji wa Kipentekoste Tanzania (PPFT), Askofu Pius Ikongo, amewashauri viongozi wa Jiji la Dar es Salaam, kubadilisha ratiba ya ufanyaji wa usafi barabarani.
Alisema wafanya usafi wanatakiwa  kufanya kazi zao  jioni, kuanzia saa 12, ili kuepukana na msongamano mbalimbali  ambayo inakwamisha utendaji wao wa kazi .
Akizungumza na Uhuru jana, Dar es Salaam, Pius alisema bado suala la usafi haliridhishi katika Jiji la Dar es Salaam, kwa sababu ya...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu awashauri UKAWA

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Endtime Havest, Dk Elia Mauza amewataka viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kutorudi katika Bunge Maalum la Katiba hadi maoni ya wananchi yatakapoheshimiwa....

 

10 years ago

Habarileo

Askofu: Viongozi wa dini tusitumike kisiasa

Alhadi Mussa SalumBAADHI ya viongozi wa dini nchini wametakiwa kutokubali kutumiwa na wanasiasa kama sehemu ya kampeni zao katika nyumba za ibada kwenye harakati zao za kutafuta uongozi.

 

10 years ago

Habarileo

Askofu Mkude aasa viongozi kuwa waadilifu

ASKOFU Telesphor Mkude wa Kanisa Katoliki Jimbo la MorogoroWATUMISHI wa umma wa ngazi mbalimbali waliopewa dhamana ya kuwatumikia wananchi wameombwa kuzisoma na kusikiliza kwa umakini hotuba mbalimbali za Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ili ziwaweke kwenye msingi wa kuwa na maadili mema, uadilifu na uwazi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Askofu awaponda viongozi wa dini bunge maalum

ASKOFU wa Kanisa la Hossana Life Mission, Ephraim Mwansasu, amesema asilimia 85 ya viongozi wa dini waliyoko ndani ya Bunge Maalum la Katiba wameshindwa kupigania maoni ya wananchi, badala yake...

 

11 years ago

Mwananchi

Askofu Tutu: Viongozi wa dunia hatuna budi kumuenzi Mandela

Mshindi wa Nishani ya Amani ya Nobel, Askofu Desmond Tutu amesema ana imani kwamba viongozi wanaotaka umashuhuri duniani watafuata mfano wa Nelson Mandela.

 

10 years ago

Mwananchi

Askofu ataka viongozi wa dini waache upambe kwa wagombea

Askofu Mkuu wa Kanisa la International Evengalist, Arumeru – Arusha, Elihudi Isangya amewataka viongozi wa dini nchini, kuviachia vyama vya siasa kuwateua wagombea wao wa urais katika Uchaguzi Mkuu ujao badala ya kuwa wasemaji wa wanasiasa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Askofu Magike kunguruma Dar

ASKOFU Laurent Magike wa Kanisa la Living Water la jijini Mwanza, amesema anatarajia kutoa neno la Mungu kwa wakazi wa Dar es Salaam baada ya kubaini wanahitaji hilo. Magike ambaye...

 

11 years ago

Habarileo

Pengo- Niliogopa kuwa Askofu Dar

ASKOFU Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema ya moyoni kwamba alipoteuliwa na Baba Mtakatifu Yohana Paulo II (marehemu) kuwa askofu wa jimbo hilo, aliogopa. Kardinali Pengo alisema alistaajabu kufika jijini na kupokewa vizuri na waumini na viongozi wa kanisa, akiwemo Askofu Mkuu mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Elinaza Sendoro.

 

5 years ago

Michuzi

ASKOFU MSAIDIZI EUSEBIUS NZIGILWA ATEULIWA KUWA ASKOFU MPYA JIMBO KATOLIKI LA MPANDA

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Baba Mtakatifu Francisco amemteua Askofu Msaidizi Eusebius Nzigilwa kuwa Askofu mpya wa Jimbo Katoliki la Mpanda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani