AU YAWATUNUKU DKT. SALIM NA BALOZI MBITA TUZO ZA JUU ZA MWANA WA AFRIKA
Waziri Mkuu Mstaafu, Dkt. Salim Ahmed Salim akipokea Tuzo ya Juu ya Umoja wa Afrika ya Mwana wa Afrika kwa Mwaka 2014 kutoka kwa Kamishna wa Amani na Usalama wa Umoja wa Afrika, Mhe. Balozi Smail Chergui. Tuzo hiyo ilitolewa mjini Arusha pembezoni mwa Warsha ya Tano ya Ngazi ya Juu kuhusu Amani na Usalama Bararani Afrika iliyoandaliwa na Umoja wa Afrika inayoendelea mjini humo. Tuzo hiyo pia imetolewa kwa Balozi Mstaafu na Mpigania Uhuru Mahiri Barani Afrika, Balozi Hashim Mbita. Tuzo hizo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziUMOJA WA AFRIKA (AU) WAWATUNUKU DKT. SALIM NA BALOZI MBITA TUZO ZA JUU ZA MWANA WA AFRIKA
Tuzo hiyo pia imetolewa kwa Balozi Mstaafu na Mpigania Uhuru Mahiri Barani Afrika, Balozi Hashim Mbita. Tuzo hizo...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NSqX0Cic1jA/U89v1Uah6YI/AAAAAAAF5DQ/0ycfi9pWbq0/s72-c/unnamed+(10).jpg)
balozi mpya wa ujerumani nchini amtembelea Dkt Salim Ahmed Salim leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-NSqX0Cic1jA/U89v1Uah6YI/AAAAAAAF5DQ/0ycfi9pWbq0/s1600/unnamed+(10).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-D8HtEWABE5w/U89vD8hPMgI/AAAAAAAF5DE/h8af4afFBQY/s1600/unnamed+(9).jpg)
11 years ago
MichuziDkt. Salim Ahmed Salim akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri
10 years ago
Daily News20 Oct
Salim, Mbita to get prestigious AU award
Daily News
FORMER Prime Minister Salim Ahmed Salim and Retired Brigadier General Hashim Mbita are scheduled to become the first personalities to receive the new 'Sons of Africa,' honour being bestowed to people who advocate for peace in Africa. Dr Salim, who ...
Over 100 UN VIPs, heads of state to meet in ArushaIPPmedia
all 4
10 years ago
VijimamboBALOZI WA UMOJA WA AFRIKA AMINA SALUM ALI ATOA RAMBI RAMBI KWA KIFO CHA BRIGEDIA JENERALI HASHIM MBITA
Na mwandishi wako, Washington, DC
Balozi wa kudumu wa Umoja wa Afrika, Mhe. Amina Salum Ali leo ametoa salamu za rambi rambi kwa Brigedia Jenerali mstaafu Hashim Mbita aliyefariki siku ya siku ya Jumapili April 26, 2015 asubuhi na kuzikwa siku ya Jumanne April 28, 2015 katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Balozi Amina Salum Ali alisema amepokea kwa majonzi na simanzi kubwa taarifa za kifo cha mmoja wa watumishi wa miaka mingi wa Serikali, Jeshi la Ulinzi la...
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Balozi Iddi afungua rasmi mkutano wa kikanda juu ya ukuaji wa miji ya Afrika Mashariki
Afisa mtendaji mkuu wa Taasisi ya Uongozi wa Afrika kwa Maendeleo Endelevu (UONGOZI Institute) Prof. Joseph Semboja, (Kulia) akimkaribisha Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar , Mh. Balozi Seif Ali Iddi, (kushoto) kufungua rasmi Mkutano wa kikanda uliokutanisha viongozi na watunga sera kutoka nchi za Afrika mashariki, kuzungumzia changamoto za ukuaji wa miji na kushughulikia hali ya baadae ya miji ya Afrika mpaka ifikapo 2050, katikati ni mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick....
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FjC7WipaEHU/VRHO6Iiy0jI/AAAAAAAHM94/8wlGNw6wTVA/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-03-24%2Bat%2B11.51.44%2BPM.png)
BALOZI WA CHINA NCHINI NA MHE. MASELE WAZUNGUMZA JUU YA MKUTANO WA JUKWAA LA VIONGOZI VIJANA AFRIKA NA CHINA
![](http://2.bp.blogspot.com/-FjC7WipaEHU/VRHO6Iiy0jI/AAAAAAAHM94/8wlGNw6wTVA/s1600/Screen%2BShot%2B2015-03-24%2Bat%2B11.51.44%2BPM.png)
![](http://1.bp.blogspot.com/-c4wp21XLCpY/VRHOSfkSVoI/AAAAAAAHM9w/jR1P9CARMn8/s1600/unnamedXX.jpg)
9 years ago
MichuziBalozi Dkt. Mahiga akutana na Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje na iliyokuwa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Viongozi hao wapya wa Wizara walipokelewa na watumishi kwa shangwe walipowasili wizarani, muda mfupi baada ya kula kiapo mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli katika Ikulu ya Dar es Salaam.
Siku ya kwanza Wizarani,...
10 years ago
Habarileo29 Apr
Vigogo wa Afrika waja kumzika Mbita
RAIS Jakaya Kikwete leo anaongoza waombolezaji, wakiwemo viongozi mbalimbali wa nchi za Kusini mwa Afrika, katika maziko ya Brigedia Jenerali mstaafu, Hashim Mbita yatakayofanyika jijini Dar es Salaam.