Aua kikongwe, muuaji naye auawa
KIKONGWE Yohana Msumari anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 80, ameuawa kikatili kwa kutenganishwa mwili na kichwa na kisha wauaji hao kukihifadhi kichwa hicho kwenye mfuko wa plastiki chini ya mwembe.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Mar
Aua kikongwe, naye auawa
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Aua mkewe naye auawa Arusha
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gs-vhNKdrvc/U77nVEftzzI/AAAAAAAF0nM/XAXMxB-Vz7U/s72-c/download.jpg)
aua kikongwe baada kufanya unyama manetomango, wengine adakwa na bangi kilo 12 na lita 21 za gongo bagamoyo
Na John Gagarini, Kibaha
![](http://1.bp.blogspot.com/-gs-vhNKdrvc/U77nVEftzzI/AAAAAAAF0nM/XAXMxB-Vz7U/s1600/download.jpg)
10 years ago
BBCSwahili31 Dec
Aua watu 8 naye ajiua Canada
10 years ago
Habarileo04 Dec
Aua mama mkwe, mwanawe naye ajiua
MKAZI wa kitongoji cha Ng’anandi kijiji cha Mpinga Kata ya Kigwe wilayani Bahi, Jumanne Ichirile (23) ameua mama mkwe wake na mtoto wake mwenye umri wa miaka miwili kwa kuwachoma visu.
10 years ago
CloudsFM04 Dec
NEWS: AUA MAMA MKWE, MWANAWE NAYE AJIUA
MKAZI wa kitongoji cha Ng’anandi kijiji cha Mpinga Kata ya Kigwe wilayani Bahi, Jumanne Ichirile (23) ameua mama mkwe wake na mtoto wake mwenye umri wa miaka miwili kwa kuwachoma visu.
Pia amemjeruhi mkewe kabla ya kujiua kwa kujichoma na kisu tumboni, kutokana na wivu wa kimapenzi. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime alisema tukio hilo ni la Jumamosi iliyopita.
Waliouawa walitajwa kuwa ni Sarah Mango wa miaka kati ya 60 na 70 na mtoto, Amina Jumanne mwenye umri wa miaka miwili,...
11 years ago
CloudsFM25 Jul
KIKONGWE AUAWA KWA KUCHARANGWA MAPANGA AKIWA NA WAJUKUU ZAKE WAWILI
Matukio ya mauaji ya wanawake vikongwe kutokana na ugomvi wa mashamba yameendelea kujitokeza mkoani Shinyanga ambapo huko katika kitongoji na kijiji cha Magwata kata ya Mwamalili katika manispaa ya Shinyanga,mwanamke aitwaye Sayi Nyenje(75) ameuawa kwa kukatwa mapanga shingoni na kiganjani akiwa amelala na wajukuu zake.
Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari kutoka wa kamanda wa polisi mkoa wa Shinyanga SAP Justus Kamugisha tukio hilo limetokea Julai 23,mwaka huu saa 11 alfajiri.
...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-TutPqtHSKEY/VNN7ThDmasI/AAAAAAAHB_o/ex3b-jQDxFc/s72-c/unnamed%2B(9).jpg)
Askari Polisi aliyeuliwa kikatili Mkoani Dodoma aagwa leo, Muuaji naye auliwa na wananchi
![](http://2.bp.blogspot.com/-TutPqtHSKEY/VNN7ThDmasI/AAAAAAAHB_o/ex3b-jQDxFc/s640/unnamed%2B(9).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-slymEk6GRKo/VNN7TUTVkqI/AAAAAAAHB_g/-cB0-acMHEY/s640/unnamed%2B(10).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Zylm-GMZXeg/VNN7TusxfII/AAAAAAAHB_k/xYQATAexhEk/s640/unnamed%2B(11).jpg)
11 years ago
Mwananchi23 Feb
Amchinja mtoto, naye auawa D’Salaam