Aua mumewe wakigombea unyumba
POLISI mkoani Simiyu, inamtafuta Halima Bundala (28), kwa tuhuma za kumchoma kisu cha ubavu wa kushoto mume wake, Godfrey Daniel (21) katika ugomvi wa unyumba na kusababisha kifo chake papo hapo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania26 Feb
Mwanafunzi aua mwenzake darasani wakigombea daftari
Na Kadama Malunde, Shinyanga
MWANAFUNZI wa darasa la tano katika Shule ya Msingi Ilola, Wilaya ya Shinyanga Vijijini, Mkoa wa Shinyanga, Veronica Venance (12), amefariki dunia baada ya kupigwa na mwanafunzi mwenzake wakati wakigombea daftari darasani.
Tukio hilo limetokea juzi mchana wakati wanafunzi hao wakiwa darasani wakiendelea na masomo.
Akizungumza na MTANZANIA jana kuhusu tukio hilo, Ofisa Mtendaji wa Kata ya Ilola, Mahona Joseph, alidai lilitokea wakati Veronoca alipong’ang’ania...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-m_XVvS1gIRY/VCwCQNGuXSI/AAAAAAAAOEE/Hecxlxw23pc/s72-c/1.jpg)
NDOA NDOANO:MKE AMWAGIA MUMEWE MAJI YA MOTO BAADA YA KUULIZWA NA MUMEWE KWANINI AMECHELEWA KURUDI NYUMBANI!!
![](http://1.bp.blogspot.com/-m_XVvS1gIRY/VCwCQNGuXSI/AAAAAAAAOEE/Hecxlxw23pc/s640/1.jpg)
11 years ago
Mwananchi14 Feb
Amuua mwenzake wakigombea sigara
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
‘Wasipowalipia CHF wanyimeni unyumba’
MKUU wa Wilaya ya Igunga, Elibariki Kingu, amewataka wanawake walioolewa wilayani humo kuwagomea waume zao endapo watakataa kulipa fedha za kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF). Alisema mafanikio...
11 years ago
Habarileo18 Feb
Amuua mwenzake wakigombea 10,000/-
MKAZI wa Kijiji cha Nyangoto Nyamongo Tarafa ya Ingwe Tarime mkoani Mara, Mwita Samson (23) ameuawa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali na Munyaru Waigama katika ugomvi wa kugombea Sh 10,000.
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Amchinja mke baada ya kunyimwa unyumba
11 years ago
Habarileo18 Feb
Achinja mke kwa kunyimwa unyumba
MTU mmoja mkazi wa wilayani Nzega mkoani Tabora, Juma Kiyabo (45) amempiga kisha kumchinja shingo mkewe, Wande Monera (34) na yeye kujaribu kujiua kwa kujikata koromeo lake.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm-LOT0JdwXunAUPZhorS29YOJeEs01iGJvP61*LRAN*O2kRSqAteVehLA4qvS8wH9r--inhQc*g-rd61Lm9A83n/HAWARA.jpg)
AHARIBU MALI ZA HAWARA BAADA YA KUNYIMWA UNYUMBA
9 years ago
Michuzi13 Oct
MWANAHABARI AMUUA POLISI KWA KISU WAKIGOMBEA MWANAFUNZI
Baadhi ya wakazi wa Babati walisema jana kuwa wanaume hao walikuwa wakimgombea mwanafunzi wa kidato cha pili walipokuwa baa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Christopher Fuime alimtaja aliyeuawa kuwa ni Rashid Haruna (30) mwenyeji wa Mkoa wa Njombe.Kamanda Fuime alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 5.30 usiku eneo la Kitalu X.
Alisema Polisi...