Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Wasipowalipia CHF wanyimeni unyumba’

MKUU wa Wilaya ya Igunga, Elibariki Kingu, amewataka wanawake walioolewa wilayani humo kuwagomea waume zao endapo watakataa kulipa fedha za kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF). Alisema mafanikio...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

FILIKUNJOMBE; MAFISADI WAMETUMA WATU WANING'OE UBUNGE NAOMBA WANANCHI WANYIMENI KURA

mbunge  wa Ludewa  Deo Filikunjombe kulia akiwa na mlemavu wa ngozi (ALBINO) mara  baada ya kumaliza mkutano wake wa kampeni za ubunge 
Na Matukiodaima Blog Ludewa WAKATI wanachama wa chama cha mapinduzi (CCM)  kesho   wanashiriki  zoezi la kupiga kura  za maoni kuwapata  madiwani na  wagombea  watakao gombea kwa CCM ,mbunge  wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amewashukuru wanachama wa CCM  katika jimbo hilo kwa kuonyeha  imani kubwa kwake  ukilinganisha na wagombea  wenzake  wawili na...

 

10 years ago

Habarileo

Aua mumewe wakigombea unyumba

POLISI mkoani Simiyu, inamtafuta Halima Bundala (28), kwa tuhuma za kumchoma kisu cha ubavu wa kushoto mume wake, Godfrey Daniel (21) katika ugomvi wa unyumba na kusababisha kifo chake papo hapo.

 

11 years ago

Mwananchi

Amchinja mke baada ya kunyimwa unyumba

Mkazi wa mmoja wa Nzega, mkoani Tabora, Juma Kiyabo (45) amemchija mke wake, Wande Monera (34), kabla ya mwenyewe kunusurika kifo baada ya kujijeruhi vibaya shingoni katika jaribio la kutaka kujiua.

 

11 years ago

Habarileo

Achinja mke kwa kunyimwa unyumba

MTU mmoja mkazi wa wilayani Nzega mkoani Tabora, Juma Kiyabo (45) amempiga kisha kumchinja shingo mkewe, Wande Monera (34) na yeye kujaribu kujiua kwa kujikata koromeo lake.

 

11 years ago

GPL

AHARIBU MALI ZA HAWARA BAADA YA KUNYIMWA UNYUMBA

Stori: Makongoro Oging’
MAKUBWA! RB nambari TBT/RB/3478/2014  ya Kituo cha Polisi Tabata, jijini Dar es Salaam ina kesi ya dereva taksi aliyepatikana kwa jina moja la Lindoya akidaiwa kuharibu mali za Asia Hakika kwa sababu eti alinyimwa unyumba, Uwazi linakuhabarisha. Asia Hakika anayedai kuharibiwa mali zake na dereva taksi aitwaye Lindoya.
Mlalamikaji Asia, mkazi wa Tabata – Chama na mtuhumiwa Lindoya...

 

10 years ago

Habarileo

RC acharukia wanaohusisha CHF na Freemasons

BAADHI ya wakazi wilayani Kyela wanadaiwa kupotosha kuhusu umuhimu wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwa kuuhusisha na mfumo wa Freemasons.

 

10 years ago

Mwananchi

Wachangiaji CHF Nguruka waongezeka

Kituo cha Afya Nguruka, wilayani Uvinza, Mkoa wa Kigoma, kimeongeza idadi ya kaya zinazochangia Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kutoka 620 hadi 1,110 mwaka jana, sawa na ongezeko la asilimia 79 hivyo kupata matibabu kwa urahisi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanasiasa watajwa kikwazo CHF

BAADHI ya wanasiasa mkoani Rukwa, wametajwa kuwa sehemu ya kikwazo cha kutofanikiwa kwa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwa kile kilichodaiwa kuwakataza wananchi kuchangia gharama. Mratibu wa CHF Mkoa,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani