‘Wasipowalipia CHF wanyimeni unyumba’
MKUU wa Wilaya ya Igunga, Elibariki Kingu, amewataka wanawake walioolewa wilayani humo kuwagomea waume zao endapo watakataa kulipa fedha za kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF). Alisema mafanikio...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziFILIKUNJOMBE; MAFISADI WAMETUMA WATU WANING'OE UBUNGE NAOMBA WANANCHI WANYIMENI KURA
Na Matukiodaima Blog Ludewa WAKATI wanachama wa chama cha mapinduzi (CCM) kesho wanashiriki zoezi la kupiga kura za maoni kuwapata madiwani na wagombea watakao gombea kwa CCM ,mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe amewashukuru wanachama wa CCM katika jimbo hilo kwa kuonyeha imani kubwa kwake ukilinganisha na wagombea wenzake wawili na...
10 years ago
Habarileo08 Sep
Aua mumewe wakigombea unyumba
POLISI mkoani Simiyu, inamtafuta Halima Bundala (28), kwa tuhuma za kumchoma kisu cha ubavu wa kushoto mume wake, Godfrey Daniel (21) katika ugomvi wa unyumba na kusababisha kifo chake papo hapo.
11 years ago
Mwananchi18 Feb
Amchinja mke baada ya kunyimwa unyumba
11 years ago
Habarileo18 Feb
Achinja mke kwa kunyimwa unyumba
MTU mmoja mkazi wa wilayani Nzega mkoani Tabora, Juma Kiyabo (45) amempiga kisha kumchinja shingo mkewe, Wande Monera (34) na yeye kujaribu kujiua kwa kujikata koromeo lake.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm-LOT0JdwXunAUPZhorS29YOJeEs01iGJvP61*LRAN*O2kRSqAteVehLA4qvS8wH9r--inhQc*g-rd61Lm9A83n/HAWARA.jpg)
AHARIBU MALI ZA HAWARA BAADA YA KUNYIMWA UNYUMBA
10 years ago
Jamtz.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-msVOU9GToQA/VCFSYVVWazI/AAAAAAAABKU/Wl6ijou5PJU/s72-c/G%2BNako%2B-%2BChunga%2BUnyumba.jpg)
10 years ago
Habarileo10 Sep
RC acharukia wanaohusisha CHF na Freemasons
BAADHI ya wakazi wilayani Kyela wanadaiwa kupotosha kuhusu umuhimu wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwa kuuhusisha na mfumo wa Freemasons.
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Wachangiaji CHF Nguruka waongezeka
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Wanasiasa watajwa kikwazo CHF
BAADHI ya wanasiasa mkoani Rukwa, wametajwa kuwa sehemu ya kikwazo cha kutofanikiwa kwa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwa kile kilichodaiwa kuwakataza wananchi kuchangia gharama. Mratibu wa CHF Mkoa,...