Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasiasa watajwa kikwazo CHF

BAADHI ya wanasiasa mkoani Rukwa, wametajwa kuwa sehemu ya kikwazo cha kutofanikiwa kwa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwa kile kilichodaiwa kuwakataza wananchi kuchangia gharama. Mratibu wa CHF Mkoa,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Umasikini uliokithiri kikwazo cha kujiunga na CHF

UMASIKINI wa kipato uliokithiri miongoni mwa wananchi, upungufu wa dawa , vifaa na vifaa tiba katika vituo vinavyotoa huduma za afya wilayani Nkasi, vimetajwa kutoa changamoto kwa wananchi katika kujiunga na Mfuko wa Afya ya Msingi (CHF) wilayani humo.

 

9 years ago

Mwananchi

3,477 wajiunga na CHF Shinyanga

Wakazi 3,477 wa Manispaa ya Shinyanga ambao ni walengwa wa mpango wa kunusuru kaya maskini kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (Tasaf) awamu ya tatu, wamejiunga na Mfuko wa Bima ya Afya ya Jamii (CHF).

 

10 years ago

Mwananchi

Wachangiaji CHF Nguruka waongezeka

Kituo cha Afya Nguruka, wilayani Uvinza, Mkoa wa Kigoma, kimeongeza idadi ya kaya zinazochangia Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kutoka 620 hadi 1,110 mwaka jana, sawa na ongezeko la asilimia 79 hivyo kupata matibabu kwa urahisi.

 

11 years ago

TheCitizen

Campaign pays off as more join CHF

A health centre in Nguruka Ward in Uvinza District, Kigoma Region, has recorded a 79 per cent increase in registering Community Health Fund (CHF) subscribers.

 

10 years ago

Habarileo

Asilimia 87 wajiunga CHF Tanga

WILAYA ya Tanga imefanikiwa kushawishi asilimia 87 ya watu wake kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF).

 

10 years ago

Tanzania Daima

DC aipigia chapuo CHF Mufindi

MKUU wa Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, Evarista Kalalu amewashauri wanavijiji vya Ukami na Chogo kata ya Mapanda wilayani hapa kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ili kuondokana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wasipowalipia CHF wanyimeni unyumba’

MKUU wa Wilaya ya Igunga, Elibariki Kingu, amewataka wanawake walioolewa wilayani humo kuwagomea waume zao endapo watakataa kulipa fedha za kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF). Alisema mafanikio...

 

10 years ago

Habarileo

Kampeni ya CHF/ TIKA yaanza

MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa kushirikiana na Mamlaka za Serikali za Mitaa, umeanza kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha jamii kujiunga na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF/TIKA).

 

11 years ago

Dewji Blog

CHF yakusanya mamilioni Iramba

DSC00021

Mkuu wa wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Yahaya Nawanda akihamasisha wananchi wakazi wa kijiji cha Kizonzo na Mgongo,kujiunga na mfuko wa afya ya jamii (CHF), ili waweze kujihakikishia matibabu stahiki kipindi chote cha mwaka.Kwa mujibu wa Nawanda, Kuku moja wa kienyeji mwenye thamani ya shilingi 10,000 tu, anatosha kugharamia ada ya uanachama na mume, mke moja na watoto wanane kupata matibabu mwaka mzima bila kuongeza fedha nyingine.

Na Nathaniel Limu, Singida

MFUKO wa afya ya jamii...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani