Wachangiaji CHF Nguruka waongezeka
Kituo cha Afya Nguruka, wilayani Uvinza, Mkoa wa Kigoma, kimeongeza idadi ya kaya zinazochangia Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kutoka 620 hadi 1,110 mwaka jana, sawa na ongezeko la asilimia 79 hivyo kupata matibabu kwa urahisi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi31 May
Idadi ya wachangiaji damu yapungua
Ofisi ya Taifa ya Mpango wa Damu Salama imesema inakabiliwa na changamoto kubwa ya kupungua idadi ya wanafunzi wa sekondari wanaojitolea kuchangia damu kutokana na wengi wao kutokidhi umri wa kuchangia damu kwa mujibu wa sheria.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oFuljr4cuTg/XuY3AUJHAsI/AAAAAAALtyw/3xfJntAMfRMtG2WCkQHSTNLGc2NLBMVuACLcBGAsYHQ/s72-c/7026f8f2-8a89-416b-8e35-a013b2ff903e.jpg)
Muhimbili yawashukuru wachangiaji Damu
![](https://1.bp.blogspot.com/-oFuljr4cuTg/XuY3AUJHAsI/AAAAAAALtyw/3xfJntAMfRMtG2WCkQHSTNLGc2NLBMVuACLcBGAsYHQ/s640/7026f8f2-8a89-416b-8e35-a013b2ff903e.jpg)
Kaimu Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi Hospitali ya Taifa Muhimbili -Mloganzila Dkt. Lulu Sakafu akizungumza wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya uchangiaji damu duniani yenye kauli mbiu isemayo “damu salama, kwa wote” inayoadhimishwa Juni 14 kila mwaka
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/8c0d2427-ebab-462d-b28a-137876273317.jpg)
9 years ago
Mwananchi18 Nov
Wachangiaji wa hiari PSPF kupatiwa fao la matibabu
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) na Mfuko wa Pensheni wa Watumishi wa Umma (PSPF), wameingia mkataba wa ushirikiano wa kutoa huduma ya afya kwa wanachama wa mpango wa uchangiaji wa hiari.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-BwQHig-W6bs/U9IlXX1vbuI/AAAAAAACmK0/7-E5I5nqYSk/s72-c/IPTL+1.jpg)
Songas, IPTL wachangiaji pekee wa umeme gridi ya Taifa - Tanesco
MAKAMPUNI ya Songas Tanzania na Independent Power Tanzania Limited (IPTL) ni makampuni pekee ya binafsi yazalishayo umeme ambayo kwa sasa uzalisha umeme kwa ajili ya gridi ya Taifa wakati mengine yaliyobaki Aggreko na Symbion Power Tanzania yakiwa yanatumika tu wakati wa dharura.
Uwezo ulioongezwa katika mitambo ya gesi asilia ya Songas iliyopo Ubungo ni ya megawati 189, wakati kampuni ya IPTL inatumia mafuta mazito na uwezo wake ni kuzalisha megawati 103, ingawa uzalishaji huo ubadilika...
Uwezo ulioongezwa katika mitambo ya gesi asilia ya Songas iliyopo Ubungo ni ya megawati 189, wakati kampuni ya IPTL inatumia mafuta mazito na uwezo wake ni kuzalisha megawati 103, ingawa uzalishaji huo ubadilika...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cVqt3bHnET0/VfksXPwajEI/AAAAAAAH5QI/3aiNdZOBqI8/s72-c/IMG-20150916-WA0037.jpg)
DK. MAGUFULI AKIENDELEA NA KAMPENI KWENYE VIWANJA VYA SHULE YA NGURUKA KIGOMA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-cVqt3bHnET0/VfksXPwajEI/AAAAAAAH5QI/3aiNdZOBqI8/s640/IMG-20150916-WA0037.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Lh447t3dU-s/VfksXKnKRxI/AAAAAAAH5QM/tBiwhioHOcU/s640/IMG-20150916-WA0030.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/--uxTMPvFkNU/VfksW9ljjyI/AAAAAAAH5QE/wFzj5hTgm4k/s640/IMG-20150916-WA0032.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NGNOJpT9jhg/VSYF6mHn1lI/AAAAAAAHPpU/xNDnfdl94tg/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
MFUKO WA JIMBO WA MBUNGE WA KIGOMA KUSINI WATOA MAGODORO NA VITANDA KITUO CHA AFYA NGURUKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-NGNOJpT9jhg/VSYF6mHn1lI/AAAAAAAHPpU/xNDnfdl94tg/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
Na Editha Karlo wa Globu ya jamii, Kigoma
Mfuko wa Mbunge wa Jimbo la Kigoma kusini, Mhe. David Kafulila umetoa magodoro 20 na vitanda 20 kwa kituo cha afya cha Nguruka ili kuboresha huduma ya afya kituoni hapo hasa kwa akina mama wajawazito.
Mganga Mkuu wa kituo cha afya Nguruka, Dk. Stanford Chamgeni alisema kuwa kituo hicho...
10 years ago
MichuziMSAADA WA MATIBABU KWA NDUGU SELEMANI RASHIDI MKAZI WA KITONGOJI CHA LUGONGONI (A) NGURUKA MKOA WA KIGOMA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g7ffI9sue3Y/VVIaIOZ3DaI/AAAAAAAHW4A/6pz9zzB1Rc0/s72-c/unnamed%2B(53).jpg)
HUDUMA YA TRENI YA DELUXE KUSIMAMA KATIKA KITUO CHA NGURUKA KUANZIA TRENI ITAKAYOANDOKA DAR JUMAPILI IJAYO MEI 17, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-g7ffI9sue3Y/VVIaIOZ3DaI/AAAAAAAHW4A/6pz9zzB1Rc0/s640/unnamed%2B(53).jpg)
Kwa taarifa hii ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu na Wakazi wa maeneo yanayozunguka kituo cha Nguruka, shime wajitokeze kwa wingi kukata tiketi za safari kwa mujibu wa mahitaji yao . Halikadhalika safari za deluxe zitakuwa wiki...
10 years ago
MichuziWLF YAKABIDHI NYUMBA ZENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 156 KWA AJILI YA WATUMISHI WA AFYA KATIKA KITUO CHA AFYA NGURUKA WILAYANI UVINZA
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania