Idadi ya wachangiaji damu yapungua
Ofisi ya Taifa ya Mpango wa Damu Salama imesema inakabiliwa na changamoto kubwa ya kupungua idadi ya wanafunzi wa sekondari wanaojitolea kuchangia damu kutokana na wengi wao kutokidhi umri wa kuchangia damu kwa mujibu wa sheria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oFuljr4cuTg/XuY3AUJHAsI/AAAAAAALtyw/3xfJntAMfRMtG2WCkQHSTNLGc2NLBMVuACLcBGAsYHQ/s72-c/7026f8f2-8a89-416b-8e35-a013b2ff903e.jpg)
Muhimbili yawashukuru wachangiaji Damu
![](https://1.bp.blogspot.com/-oFuljr4cuTg/XuY3AUJHAsI/AAAAAAALtyw/3xfJntAMfRMtG2WCkQHSTNLGc2NLBMVuACLcBGAsYHQ/s640/7026f8f2-8a89-416b-8e35-a013b2ff903e.jpg)
Kaimu Mkurugenzi wa Tiba Shirikishi Hospitali ya Taifa Muhimbili -Mloganzila Dkt. Lulu Sakafu akizungumza wakati wa maadhimisho ya siku ya kimataifa ya uchangiaji damu duniani yenye kauli mbiu isemayo “damu salama, kwa wote” inayoadhimishwa Juni 14 kila mwaka
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/8c0d2427-ebab-462d-b28a-137876273317.jpg)
10 years ago
Mwananchi07 Oct
‘Idadi ya wanafunzi elimu ya juu yapungua’
9 years ago
Bongo505 Oct
Idadi ya watazamaji wa Tamthilia ya Empire yapungua kwenye episode ya pili, 50 Cent ampiga dongo Cookie
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mv-gaqThutQ/Xn9NDIBwKpI/AAAAAAALlZU/asfiYKpU7E8OGVnsTHA21b36_A438Q9JgCLcBGAsYHQ/s72-c/5176c794-3a25-48da-94f1-aa1f6d914a01.jpg)
MATUKIO YA UHALIFU NCHINI YAPUNGUA KWA ASILIMIA 3.2 MAKOSA YA BARABARANI NAYO YAPUNGUA
IDADI ya matukio ya uhalifu nchini imepungua katika kipindi cha mwezi Januari na Februari mwaka huu ukilinganisha na kipindi kama hicho kwa mwaka 2019 .
Takwimu zinaonesha ndani ya kipindi cha mwaka huu matukio ya uhalifu 9,263 yaliripotiwa ukilinganisha na matukio 9,572 yaliyoripotiwa katika kipindi kama hicho cha mwaka jana hivyo kuwa na upungufu wa matukio 309 sawa na asilimia 3.2.
Akitoa taarifa hiyo mbele ya wandishi wa habari jijini Dodoma leo, Mkurugenzi wa...
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Wachangiaji CHF Nguruka waongezeka
11 years ago
Dewji Blog12 Jun
Wafanyakazi wa Benki ya Barclays wajitolea Damu kuadhimisha siku ya Damu Duniani
Mfanyakazi wa Benki ya Barclays Tanzania, Agnes Mushi akijitolea damu ikiwa ni sehemu ya matukio ya benki hiyo kuadhimisha Siku ya Damu Duniani inayotarajiwa kuadhimishwa kesho. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana. Anayemtoa ni Mtaalamu wa kutoa damu kutoka kitengo cha Damu Salama, Judith Goshashy.
Wafanyakazi wa Benki ya Barclays Tanzania, Marcy Mwakajwanga na Kassim Kanyamara (kulia) wakijitolea damu ikiwa ni sehemu ya matukio ya benki hiyo kuadhimisha Siku ya Damu Duniani...
11 years ago
GPLMPANGO WA TAIFA WA DAMU SALAMA -TANZANIA CHANGIA DAMU OKOA MAISHA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aPyzhBkuULU/XuRvet2I3eI/AAAAAAALtqM/fPH1AEqIU1oO5BzqONJHfkD7_8C7s6sSQCLcBGAsYHQ/s72-c/yanga%252Blogo.jpg)
AZAM FC, TFF KUADHIMISHA SIKU YA UTOAJI DAMU DUNIANI KWA KUCHANGIA DAMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-aPyzhBkuULU/XuRvet2I3eI/AAAAAAALtqM/fPH1AEqIU1oO5BzqONJHfkD7_8C7s6sSQCLcBGAsYHQ/s400/yanga%252Blogo.jpg)
Zoezi hilo la uchangiaji damu linatarajiwa kufanyika nje ya Uwanja wa Azam Complex kuanzia majira ya saa 6 mchana.
Juni 14, Azam itakuwa ikicheza mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) dhidi ya Mbao saa 1.00 usiku na kuhusisha watu wa aina mbalimbali.
Zoezi hilo la uchangiaji damu na kudumisha shirikiano huo...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-EYXbjlLREWo/U5vgEQs9ECI/AAAAAAACjZM/ewbmg7rMYIo/s1600/EXIM+BLOOD+PIX+1.jpg)
BENKI YA EXIM YACHANGIA DAMU KUADHIMISHA SIKU YA UCHANGIAJI DAMU DUNIANI JUNI 14, 2014