AUNT AKUMBUKA KIPIGO CHA KUAMBIANA
![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBB375WWVe*h63TZh*mJaPjUF*fvdwDGnUOMGHOU1yEPL9VWl-EDZsUajB1bgCstv0Nyrh7Y1IwEw7HEADgeNsbR/ezekiely.jpg)
Stori: Mwandishi Wetu WAKATI staa wa muvi za Kibongo, Adam Kuambiana akizikwa jana jijini Dar es Salaam, msanii mwenzake Aunt Ezekiel amekumbuka kipigo alichoangushiwa na Kuambiana yeye na Wema, wiki chache zilizopita. Mrembo Aunt Ezekiel. Akiteta na kona hii, jana jijini Dar, Aunt alisema: “Nakumbuka hiyo siku, tulikuwa location, Mikocheni mimi, Wema, Martin Kadinda na wasanii wengine tukirekodi filamu ya Wema. Kuna...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/S6leBpJ8ovBjjNQuDV8frB8MTVk5vLHTqjo*xUP8E7GC0nUiEiWO3Eb5lc*7ckKDNkbu7227EnnQHerVXL5JNZ7mslmTh-dd/kumbiana.jpg?width=650)
KUAMBIANA: KIPIGO KIMEWAPA ADABU WEMA, AUNT
9 years ago
StarTV24 Aug
Timu ya Ngassa yapata kipigo cha mbwa mwizi cha 4-0
![](http://2.bp.blogspot.com/-O3yxJUEbx6U/VdmZnmQQGuI/AAAAAAABm1I/-CU5iUl2nIw/s640/13dc4207e53088253da60d7926d652d7.jpg)
TIMU ya Free State Stars yenye Mtanzania, Mrisho Khalfan Ngassa imefungwa mabao 4-0 jana na Kaizer Chiefs katika mchezo wa Ligi Kuu ya ABSA Afrika Kusini Uwanja wa FNB, Johannesburg.
Huo unakuwa mchezo wa pili Free State kufungwa, baada ya wiki mbili zilizopita kufungwa 1-0 nyumbani na Mpumalanga Blac Aces.
Katika mchezo wa jana ambao Ngassa hakucheza, mabao ya Kaizer Chiefs yalifungwa na Siboniso Gaxa dakika ya 34,...
10 years ago
Vijimambo11 Apr
BAADA YA KIPIGO CHA TAREHE 8 CHA BAO 8 JULIO ATUPIWA VILAGO KWENYE KAMATI YA UFUNDI YA COASTAL
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/04/Jamhuri-Kihwelo-Julio.jpg)
KOCHA wa Coastal Union, Jamhuri Musa Kiwhelo ‘Julio’ ametimuliwa baada ya kichapo cha magoli 8-0 alichopata kutoka kwa Yanga jumatano ya wiki hii.Taarifa za ndani na za uhakika kutoka kwa viongozi wa Coastal, siku hiyo baada ya kipigo walikubaliana kumtimua Julio na yeye alipewa taarifa hizo na kukubali.
Ili kulinda heshima yake, Julio akaomba aongoze mechi ya jumamosi uwanja wa Azam Complex dhidi ya Jkt Ruvu jumamosi ya wiki hii kwa nia ya kuogopa kudhalilishwa.
Baada ya mechi hiyo dhidi ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIm5dXp4wsQsMDZdIEH5WW34-akrC718ewKBGTNtexEOccZQSaHwHcQo32lEtMW0LTMs2PdgYiE2eIGHLBHXMYXh/kuambiana.jpg)
KIFO CHA KUAMBIANA SUMU YATAJWA
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Proin yaomboleza kifoa cha Kuambiana
KAMPUNI ya Proin Promotions Limited ambao ni waandaaji na waendeshaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents, wametoa pole kwa familia, ndugu na jamaa wa marehemu, Adam Kuambiana, aliyefariki hivi karibuni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*x4RtjZ2BFWZ*okgBKbPmv0-G-yXhzLcKXJqJKjr19kT0r0H1m5h4dGqV6EeSkijHN6F8aexxWHdJrlrZ8AhZ47hVmkrSDtv/koleta.jpg?width=650)
KIFO CHA KUAMBIANA, KOLETA AZIMIA, ALAZWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4S4DUD84Vb7dKOGX2xLtSV8Up3ntckWlLP*4ifbxVRMBaoA7LjBXMZHL7Xl0t1xx-xAQMorBC9UTmPXOzw6mILjIsbKlBZ7o/APK4b.jpg?width=650)
KIFO CHA KUAMBIANA... STEVE NYERERE: PIGO KWA MADAIREKTA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xMCtlOLhuRcqY74DAuxrcwjqIlq8PN8xdefI1AC-IGKIIVBI4fDbceaBWvRD01pONLR6vi8vEcOlKuWgRrR8iE9MMblVO8fX/MANJI.jpg?width=650)
MANJI AKUBALI KIPIGO CHA 3-1
10 years ago
Mtanzania04 Feb
JK afichua kipigo cha Lipumba
Na Fredy Azzah
SIKU chache baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba na wafuasi wake kupigwa na polisi, Rais Jakaya Kikwete amesema tukio hilo limetokea kwa sababu nchi inaongozwa kwa sheria na atakayekiuka atakumbana na mkono wa sheria.
Rais Kikwete alitoa kauli hiyo jana Ikulu jijini Dar es Salaam, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari baada ya kufanya mazungumzo ya faragha na mgeni wake, Rais wa Ujerumani, Joachim Gauck, ambaye yuko nchini kwa ziara...