Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIFO CHA KUAMBIANA SUMU YATAJWA

Stori: OSCAR NDAUKA
KIFO cha ghafla cha mwigizaji na mwongoza filamu za Kibongo, Adam Philip Kuambiana  kimeibua mazito ya kutosha, Uwazi limeshika kitu mkononi.
Moja kati ya mazito hayo ni kuwepo kwa madai kwamba marehemu alikula au alilishwa sumu kupitia chakula. Mwili wa mwigizaji na mwongoza filamu za Kibongo, Adam Philip Kuambiana ukipelekwa Hospitali ya Taifa Muhimbili. Kwa mujibu wa rafiki mmoja wa karibu wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Sababu kifo cha Mgimwa yatajwa

>Wakati mwili wa Waziri wa Fedha, Dk William Mgimwa ukitarajiwa kuzikwa leo, Serikali imesema kilichosababisha  kifo chake ni ugonjwa wa figo.

 

11 years ago

GPL

KIFO CHA KUAMBIANA, KOLETA AZIMIA, ALAZWA

Na Nyemo Chilongani
BAADA ya kupewa taarifa za msiba wa Adam Kuambiana, staa wa filamu za Kibongo, Coletha Rymond ‘Koleta’ alijikuta akizimia na kulazwa katika Hospitali ya Kairuki jijini Dar. Staa wa filamu za Kibongo, Coletha Rymond ‘Koleta’ akiwa hospitali baada ya kuzimia kwenye msiba wa msanii mwenzake Kuambiana. Sosi ambaye ni mtu wa karibu na staa huyo, alipenyeza habari kuwa Koleta alishindwa...

 

11 years ago

GPL

KIFO CHA KUAMBIANA... STEVE NYERERE: PIGO KWA MADAIREKTA

Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ akisoma wasifu wa Adam Phillip Kuambiana. Na Mayasa Mrisho MWENYEKITI wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema kuondokewa na Adam Kuambana ni pigo kubwa kwa tasnia ya filamu lakini zaidi pengo lake linajidhihirisha katika eneo la madairekta. Akizungumza na paparazi wetu, Steve alisema katika tasnia ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani

Afisa akamatwa kwa mauaji ya Mmarekani mweusi aliyekuwa amekamatwa na polisi

 

9 years ago

Mwananchi

Sababu kipigo cha Cheka yatajwa

Kipigo alichopewa bondia Francis Cheka kimetafsiliwa kwa mitazamo tofauti na baadhi ya wadau wa ngumi za kulipwa huku baadhi wakieleza chanzo kilichomnyima Cheka ushindi kwenye pambano hilo la uzani wa Suiper middle lililofanyika wikiendi iliyopita mjini Morogoro.

 

10 years ago

Vijimambo

Tanzania yatajwa tena kama kiini cha ujangili

Ndovu wa Afrika wako katika hatari ya kumalizwa kwa kutokana na ujangili.Tanzania imetajwa kwa mara nyingine kama moja ya nchi ambako ndovu wanauawa kwa wingi kwa ajili ya biashara za pembe. Wachunguzi wa kimataifa waliotumia DNA kutoka pembe za ndovu ili kutambua chanzo chake wametaja maeneo mawili ambapo mauaji ya ndovu yanafanyika kwa kiwango kikubwa.

Matokeo ya utafiti yaliyochapishwa Alhamisi yanaonyesha maeneo hao mawili ni Tanzania, ikifuatiwa na eneo la nchi kadha katika eneo la magharibi ya kati barani Afrika.

Samuel Wasser, mmoja wa waandishi wa ripoti...

 

11 years ago

GPL

AUNT AKUMBUKA KIPIGO CHA KUAMBIANA

Stori: Mwandishi Wetu
WAKATI staa wa muvi za Kibongo, Adam Kuambiana akizikwa jana jijini Dar es Salaam, msanii mwenzake Aunt Ezekiel amekumbuka kipigo alichoangushiwa na Kuambiana yeye na Wema, wiki chache zilizopita. Mrembo Aunt Ezekiel. Akiteta na kona hii, jana jijini Dar, Aunt alisema: “Nakumbuka hiyo siku, tulikuwa location, Mikocheni mimi, Wema, Martin Kadinda na wasanii wengine tukirekodi filamu ya Wema. Kuna...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Proin yaomboleza kifoa cha Kuambiana

KAMPUNI ya Proin Promotions Limited ambao ni waandaaji na waendeshaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents, wametoa pole kwa familia, ndugu na jamaa wa marehemu, Adam Kuambiana, aliyefariki hivi karibuni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani