Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AVUNJIKA TAYA, AOMBA MSAADA WA 60, 000/= ATIBIWE

Emmanuel Nelson akiwa wodini Hospitali ya  Taifa Muhimbili. EMMANUEL NELSON mwenye umri wa miaka kati ya (30 au 35, ambaye ni  mzaliwa wa Mbamba Bay, Ruvuma, na ambaye wazazi wake wanaishi Dodoma, anaomba msaada wa kutibiwa…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Baba aomba msaada mtoto wake atibiwe

PAULO Msangawale anayesoma Shule ya Msingi Katusa, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa ameshindwa kuendelea na masomo baada ya kupata ulemavu wa kudumu na sasa anaomba msaada wa matibabu zaidi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aomba msaada wa matibabu

GERALD Mwambungu (35) mkazi wa Ubungo Chuo Kikuu jijini Dar es Salaam, anaomba msaada wa kwenda India kwa ajili ya matibabu ya mguu wake wa kulia. Akizungumza jana katika ofisi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Al-Sisi,aomba msaada dhidi ya IS

Rais wa Misri Abdel Fattah al-Sisi ameomba jumuiya ya kiarabu Pan-Arab kutoa majeshi ili kukabiliana na Islamic State.

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama aomba msaada wa dharura

Anahitaji dola bilioni 3.7 za dharura kusaidia kukabiliana na ongezeko la watoto waliohama peke yao kutoka Amerika ya kati

 

10 years ago

Habarileo

Jaji aomba msaada ACHPR

Rais wa ACHPR, Jaji Augustino Ramadhani RAIS wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu (ACHPR), Jaji Augustino Ramadhani amemwomba Rais Joachim Gauck wa Ujerumani kutumia uwezo wake kuzishawishi nchi zingine za Afrika kuridhia mkataba wa Malabo, unaotaka mahakama hiyo kushughulikia pia mashauri ya kijinai na masuala mengine ya kisheria.

 

11 years ago

Mwananchi

Kisaka aomba msaada wa matibabu

Kocha wa makipa wa Simba, James Kisaka amewaomba Watanzania na wadau wote wa soka kumsaidia katika kutibu maradhi yanayomsumbua.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aliyejifungua pacha wanne aomba msaada

MKAZI wa Kijiji Chakijage, Kata ya Rwabwere, Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera, aliyejifungua watoto wanne pacha, Jodephina Rugambwa (30), ameiomba serikali kumpatia msaada ili kumsaidia kulea watoto wake. Akizungumza na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Njavike aungua moto, aomba msaada

ADOLOTEA Njavike (1), ameungua moto hadi kukaribia kupata ulemavu. Juhudi zinahitajika ili kuokoa hali hiyo inayomkabili. Wazazi wa mtoto huyo hawana uwezo hivyo imewabidi waombe msaada utakaosaidia katika matibabu ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani