Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Awilo; muziki ulimfanya akimbie shule

>Kwa wapenzi na wafuatiliaji wa muziki wa Kongo,  Awilo Longomba siyo jina geni masikioni mwao. Hii ni kutokana na mbwembwe alizonazo nyota huyu awapo katika jukwaa la sanaa ya muziki.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JHIKOMAN ATEMBELEA SHULE YA MUZIKI YA REUTLINGEN,UJERMANI : WANAFUNZI NA WAKUU WA SHULE WAAHIDI KUTEMBELEA BAGAMOYO ! KILA WAKATI

Darasa la muziki katika taasisi ya shule ya muziki Reutlingen,Ujerumani . Jhikoman akiwafundisha wanafunzi kutumia gitaa katika shule ya muziki Reutlingen.…

 

11 years ago

Bongo5

New Music Video: Awilo Longomba — Bundelele

Baada ya kimya cha muda mrefu mwanamuziki nyota kutoka DRC, Awilo Longomba amerudi tena. Ameachia video mpya ya wimbo uitwao ‘Bundelele’ ambayo imefanyika London, Uingereza. Itazame

 

10 years ago

Bongo5

Davido kuhitimu shahada ya kwanza mwezi June 2015, ni baada ya kuacha shule mwaka 2011 kwaajili ya muziki

Staa wa Nigeria, David ‘Davido’ Adeleke ambaye anatokea kwenye familia bora na aliyepata mafanikio makubwa kupitia muziki, aliwahi kuacha shule mwaka 2011 ili afanye muziki. Lakini baada ya kupata ushauri na kugundua umuhimu wa elimu alikubali kurudi shule na hatimaye sasa anakaribia kuhitimu. Kupitia ukurasa wake wa Instagram Davido ameshare furaha yake ya kumaliza mitihani […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Ni collabo ama P-Square kumsainisha Awilo Longomba?

Tangu aachie wimbo mpya ‘Bundelele’, muimbaji mkongwe kutoka DRC, Awilo Longomba ameonekana kuwa karibu na wasanii wakubwa wa Nigeria. Lakini picha iliyowekwa na Peter Okoyo wa P-Square inaashiria neema zaidi kwa Longomba aliyepo nchini Nigeria kujitangaza zaidi. Peter ameweka picha akisherehekea jambo na Longomba na kuandika: Will let y’all knw what we are celebrating soon…. […]

 

10 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee kutumbuiza jukwaa moja na Awilo, Iyanya, Burna Boy, Nigeria mwezi ujao

Miongoni mwa wasanii wa muziki wa kike wanaofanya vizuri kwa sasa hapa Tanzania ni pamoja na Vanessa “Vee Money” Mdee. Juhudi zake zimemsababisha kwa muda mfupi aliokuwepo kwenye muziki kuanza kupata deals kubwa za makampuni, matangazo, na video zake kuchezwa kwenye vituo vikubwa vya TV za nje na sasa milango ya shows za nje inaendelea […]

 

10 years ago

Bongo5

Diamond atajwa kuwania tuzo za IRAWMA, Marekani kupitia ‘Mdogo mdogo’, anachuana na Davido, Awilo Longomba na Bracket

Kwa mara nyingine Diamond Platnumz ametajwa kuwania tuzo nyingine za kimataifa nchini Marekani, ambapo safari hii wimbo wake wa ‘Mdogo mdogo’ wenye miezi miwili tangu utoke umemuwezesha kuingia kwenye tuzo za IRAWMA (International Reggae and World Music Awards). Wimbo wa ‘Mdogo mdogo’ wa Diamond umeingia kwenye tuzo hizo katika kipengele cha ‘Best African Song/Entertainer’. Kwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Beka Ibrozama: Muziki wa biashara usitufanye tuutupe muziki wa asili ya Tanzania

beka

Muimbaji aliyewahi kutamba na wimbo wake ‘Natumaini’, Beka Ibrozama ameonya kuwa kama wasanii watajisahau na kufanya zaidi ule wanaouita muziki wa biashara wenye kukopa vionjo vya nje, muziki wenye asili ya Tanzania utapotea.

beka

Akiongea kwenye kipindi cha Chill na Sky hivi karibuni, Beka alisema pamoja na kufanya nyimbo za kisasa, bado amekuwa akitumia muziki wenye asili ya Tanzania kumpa inspiration.

“Nasikiliza tu jinsi muziki unavyoelekea, naona ni muziki ambako upo wa kukopi sana, watu...

 

10 years ago

Bongo5

Nikki Wa Pili: Nguvu ya muziki wa nyumbani bado imeonekana ni kubwa zaidi ya muziki wa kigeni

Msemaji wa kundi la Weusi Nickson Simon a.k.a Nikki Wa Pili ni miongoni mwa wasanii waliopanda kwenye jukwaa la Fiesta 2014 kwenye viwanja vya Leaders, Dar Jumamosi October 18 akiwa na Joh Makini, Lord Eyez na G-Nako. Nikki ambaye pia hakupitwa na show za wasanii wengine alikuwa na machache ya kusema kwa kile alichokiona kwenye […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani