AY meza moja na Obama
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ambwene Yesaya ‘AY’ ni miongoni mwa wasanii wa Afrika walioalikwa na Rais Barrack Obama wa Marekani kutembelea Ikulu ya nchi hiyo (White House)...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Maamuzi ya Mawaziri watatu kwenye meza moja walivyofika machinjio ya Vingunguti Dar..
January 02 2016 ni siku nyingine Jumamosi inayobeba kichwa cha habari cha ziara za ghafla za Mawaziri wa Rais Magufuli, hii ya leo wameongozana mguu kwa mguu Mawaziri watatu kwenda eneo la Vingunguti ambapo ni machinjio ya wanyama Dar es Salaam. Mawaziri hao George Simbachawene, Dk. Hamisi Kigwangalla na Mwigulu Nchemba wamefanya ziara hiyo na […]
The post Maamuzi ya Mawaziri watatu kwenye meza moja walivyofika machinjio ya Vingunguti Dar.. appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
MichuziCCM BAGAMOYO KUKAA MEZA MOJA NA VIONGOZI WA HALMASHAURI YA MJI MDOGO NA WILAYA
NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO .
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, kimejipanga ,kuwakutanisha viongozi wa Halmashauri ya Mji Mdogo na wa Halmashauri ya Wilaya, ili kuhakikisha wanashirikiana na kuondoa muingiliano wa mambo kwa maslahi ya wananchi.
Hatua hiyo inalenga kila Mamlaka kutimiza majukumu kulingana na mipaka yake, lengo kubwa ni kuondoa muingiliano wa kazi, hali inayoonekana kujitokeza ikichangia kukwama kwa baadhi ya shughuli za...
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Picha tatu kutoka kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Mawaziri wote kwenye meza moja
Siku ya alhamisi December 10 2015 tulishuhudia kwa mara nyingine Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kuipanga timu yake itakayoongoza jahazi la Serikali ya Tanzania kwa awamu wa tano. Tunajua kwamba kuna Wizara ambazo hazijapata Mawaziri bado lakini Rais Magufuli alituhakikishia kwamba Wizara zitakuwa 18 na Mawaziri watakuwa 19… Wale Mawaziri na […]
The post Picha tatu kutoka kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Mawaziri wote kwenye meza moja appeared first on...
10 years ago
BBCSwahili26 Jul
Obama:atoa ahadi ya dola bilioni moja
9 years ago
BBCSwahili19 Sep
Obama:Katibu wa jeshi ni mpenzi wa jinsia moja
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Meza yazidi kujiimarisha
TIMU ya taifa ya mpira wa meza iliyoweka kambi nchini China, imezidi kuongezewa mashindano ya kujipima nguvu. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, mmoja wa wachezaji wanaounda timu hiyo, Amon Tumaini, alisema katika...
10 years ago
BBCSwahili25 Jul
Unamfahamu dadake rais Obama,Auma Obama?
10 years ago
Bongo528 Jul
Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’
10 years ago
GPLWAKALA SALUM KANYUNYA WA SHINYANGA AKABIDHIWA MEZA