Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AY meza moja na Obama

NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ambwene Yesaya ‘AY’ ni miongoni mwa wasanii wa Afrika walioalikwa na Rais Barrack Obama wa Marekani kutembelea Ikulu ya nchi hiyo (White House)...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Maamuzi ya Mawaziri watatu kwenye meza moja walivyofika machinjio ya Vingunguti Dar..

January 02 2016 ni siku nyingine Jumamosi inayobeba kichwa cha habari cha ziara za ghafla za Mawaziri wa Rais Magufuli, hii ya leo wameongozana mguu kwa mguu Mawaziri watatu kwenda eneo la Vingunguti ambapo ni machinjio ya wanyama Dar es Salaam. Mawaziri hao George Simbachawene, Dk. Hamisi Kigwangalla na Mwigulu Nchemba wamefanya ziara hiyo na […]

The post Maamuzi ya Mawaziri watatu kwenye meza moja walivyofika machinjio ya Vingunguti Dar.. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

5 years ago

Michuzi

CCM BAGAMOYO KUKAA MEZA MOJA NA VIONGOZI WA HALMASHAURI YA MJI MDOGO NA WILAYA

****************************
NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO .
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Bagamoyo Mkoa wa Pwani, kimejipanga ,kuwakutanisha viongozi wa Halmashauri ya Mji Mdogo na wa Halmashauri ya Wilaya, ili kuhakikisha wanashirikiana na kuondoa muingiliano wa mambo kwa maslahi ya wananchi. 
Hatua hiyo inalenga kila Mamlaka kutimiza majukumu kulingana na mipaka yake, lengo kubwa ni kuondoa muingiliano wa kazi, hali inayoonekana kujitokeza ikichangia kukwama kwa baadhi ya shughuli za...

 

9 years ago

MillardAyo

Picha tatu kutoka kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Mawaziri wote kwenye meza moja

Siku ya alhamisi December 10 2015 tulishuhudia kwa mara nyingine Rais wa Tanzania, Dk. John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kuipanga timu yake itakayoongoza jahazi la Serikali ya Tanzania kwa awamu wa tano. Tunajua kwamba kuna Wizara ambazo hazijapata Mawaziri bado lakini Rais Magufuli alituhakikishia kwamba Wizara zitakuwa 18 na Mawaziri watakuwa 19… Wale Mawaziri na […]

The post Picha tatu kutoka kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Mawaziri wote kwenye meza moja appeared first on...

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama:atoa ahadi ya dola bilioni moja

Wajasiriamali jijini Nairobi wamesifu rais wa Marekani Barack Obama kwa kuwachangia dolla billion moja

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama:Katibu wa jeshi ni mpenzi wa jinsia moja

Rais Barack Obama amemteua Eric Fanning kuwa katibu mpya katika jeshi la Marekani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Meza yazidi kujiimarisha

TIMU ya taifa ya mpira wa meza iliyoweka kambi nchini China, imezidi kuongezewa mashindano ya kujipima nguvu. Akizungumza na Tanzania Daima Jumapili, mmoja wa wachezaji wanaounda timu hiyo, Amon Tumaini, alisema katika...

 

10 years ago

BBCSwahili

Unamfahamu dadake rais Obama,Auma Obama?

Je ulimwona rais Obama akimkumbatia mwanamke aliyekuwa mwisho kabisa katika foleni ya wale waliomkaribisha Kenya ijumaa usiku

 

10 years ago

Bongo5

Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’

Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]

 

10 years ago

GPL

WAKALA SALUM KANYUNYA WA SHINYANGA AKABIDHIWA MEZA

Mwakilishi wa Global Publishers Mkoa wa Shinyanga, Gasper Mchele (kulia) baada ya kukabidhiwa meza.
Baadhi ya wauza magazeti wa Mkoa wa Shinyanga baada ya kukabidhiwa meza zao wakiwa katika picha ya pamoja.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani