Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam yakiri kupata upinzani Zanzibar

NAHODHA wa timu ya Azam FC, Himid Mau amekiri kupata upinzani mkali katika mechi yao ya kirafiki na ya kumalizia ratiba ya mazoezi visiwani Zanzibar na JKU iliyochezwa juzi Amaan mjini hapa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Upinzani, Tume watofautiana uandikishaji Zanzibar

Tume yatoa siku mbili kila kituo kukamilisha kazi ya kuandikisha wapiga kura, wapinzani wadai muda huo hautoshi.

 

10 years ago

Mwananchi

cuf,zanzibar,duni,juma,haji,uchaguzi,2015,upinzani,

Juma Duni Haji ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF) ngazi ya Taifa na ni Waziri wa Afya wa Serikali ya Zanzibar.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Karafuu ya Zanzibar yazidi kupata umaarufu

MSHAURI wa Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar, Sadruddin Govinji, amesema karafuu ya Zanzibar imeendelea kupata umaarufu katika soko la Dunia kutokana na sifa zake za kipekee zenye ubora. Akiwasilisha...

 

9 years ago

Habarileo

Samia ataka Zanzibar iombewe kupata mwafaka

MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan amewaomba viongozi wa dini kuiombea Zanzibar ili dosari zilizojitokeza wakati wa Uchaguzi Mkuu zipatiwe mwafaka wa kiungwana.

 

10 years ago

Vijimambo

ZANZIBAR YAANZA KUTUMIA MFUMO WA ELEKRONIKI KUSAMBAZA NA KUPATA TAARIFA YA MADAWA VITUONI

Mfamasia Mkuu wa Zanzibar Habib Ali Shariff akitoa maelezo kuhusu Mfumo mpya wa Kielectroniki wa Ugavi wa madawa jinsi unavyofanyakazi zake kwa haraka, katika hafla ya uzinduzi wa mfumo huo. Uliofanyika Park Hyatt Hotel Shangani Mjini Zanzibar.Mkurugenzi wa Shirika la John Snow Incorporated (JSI) nchini, Deo Kimera akitoa nasaha zake kwa Viongozi na Maafisa wa Afya waliopata elimu juu ya matumizi ya mfumo mpya wa Ugavi wa madawa wa kielektroniki walioshiriki katika hafla ya uzinduzi wa mfumo...

 

9 years ago

Habarileo

Simba yaiendea Azam Zanzibar

TIMU ya Simba imesema kuwa inatarajia kuweka kambi Zanzibar kuanzia wiki ijayo kwa ajili ya maandalizi ya mchezo ujao dhidi ya vinara wa Ligi Azam FC utakaochezwa Desemba 12 mwaka huu.

 

11 years ago

Mwananchi

Azam yaleta jeuri Zanzibar

Azam jeuri bwana, ndivyo unavyoweza kusema baada ya kuondoka na ndege kwenda Pemba na ndege hiyo kuwasubiri kurudi Unguja.

 

10 years ago

Habarileo

Azam kuongeza makali Zanzibar

MABINGWA wa Kombe la Kagame, Azam FC itaondoka Jumapili kwenda kisiwani Zanzibar kuweka kambi ya wiki mbili kujiandaa na Ligi Kuu Tanzania Bara inayotazamia kuanza Septemba 12.

 

10 years ago

TheCitizen

Azam aim to win title in Zanzibar

The Mainland champions, Azam Fc have said that they aim to win the Mapinduzi Cup and add titles in their yard.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani