Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bajeti ya Kilimo ‘chupuchupu’ kukwama

Bajeti ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imepita kwa kusuasua baada ya wabunge wanane kutishia na kujaribu kuiondoa shilingi katika mshahara wa waziri.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI WA BAJETI: Shughuli za maendeleo 2015/16 kukwama Wizara ya Sheria

>Hotuba ya Waziri wa Katiba na Sheria ililenga kutoa bajeti kwa wizara hii na taasisi zake.

 

5 years ago

Michuzi

MASAWE AGUSIA BAJETI 2020/2021 NA KUSISITIZA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA KILIMO ILI KUENDANA NA TEKNOLOJIA YA KILIMO CHA KIDIGITAL

 Na Mwinyi Mvua PwaniBAADHI wataalamu wa kilimo na mifugo Kibaha, Pwani wamesema bajeti iliyopendekezwa imegusa maslahi ya Mtanzania licha ya kutoa maoni yao kuwa yapo maeneo hayajaguswa kumnufaisha mkulima wa kisasa ikiwemo wataalamu wa ugani wasajiliwe ili kwenda sambamba teknolojia ya kisasa katika kilimo pamoja na kujenga viwanda vingi vya mbolea ndani ya nchi .
Aidha upande wa suala la uboreshaji wa kilimo kwa kuweka mazingira ya upatikanaji wa vifaa vya kilimo kwa gharama nafuu ikiwa ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bajeti ya kilimo itamkomboa mkulima?

PAMOJA na mafanikio yaliyopatikana kutokana na bajeti ya 2013/2014 yanayotajwa kwenye hotuba ya Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika ya mwaka 2014/2015 bado kuna mengi ya kuhoji juu ya bajeti...

 

11 years ago

Habarileo

Bajeti ya Wizara ya Kilimo yapita

PAMOJA na wabunge kuchachamalia makadirio ya Bajeti ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika kwa kuondoa shilingi mara kadhaa, bajeti hiyo ilipita pamoja na maboresho.

 

10 years ago

Mwananchi

Bajeti ya Wizara ya Kilimo na Chakula yapitishwa na wabunge 68

 Ni wabunge 68 tu, wakiwamo mawaziri 10, waliokuwa ndani ya ukumbi wa Bunge wakati chombo hicho cha kutunga sheria kikipitisha bajeti ya Wizara ya Kilimo na Chakula, lakini uongozi umesema “hakuna tatizo”.

 

11 years ago

Mwananchi

Wazee wazidi kukwama

Mpango wa pensheni kwa wazee unaonekana kuota mbawa baada ya Serikali kueleza kuwa utekelezaji wake ni mgumu ingawa imeahidi kuwa bado inalifanyia kazi jambo hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda

>Bajeti ya Serikali iliyowasilishwa jana bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum imewagawa wabunge ambao baadhi wameipongeza, huku wengine wakiiponda.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI BAJETI: Wananchi mikoani waiponda Bajeti 2014

>Baadhi ya wakazi wa mikoa mbalimbali nchini, wamedai kuwa bajeti ya mwaka 2014/2015 iliyosomwa bungeni juzi mjini Dodoma na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya, haiwezi kumkomboa mwananchi kutoka katika umaskini.

 

11 years ago

Habarileo

RC chupuchupu kuhadaiwa

MKUU wa Mkoa wa Katavi , Dk Rajab Rutengwe ametoa ushuhuda wake jinsi alivyoponea chupuchupu, kuhadaiwa na mkazi wa mjini Mpanda jana asubuhi, ambayo ilikuwa Siku ya Wajinga Duniani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani